Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Je chadema watatumia mbinu hii ya kufanyia vyama vingine vurugu ili visipitishe wagombea, au kitawadhuru au hata kuwatishia maisha watu watakaotumia haki yao kugombea pamoja na familia zao? Haya...
1 Reactions
16 Replies
712 Views
==== Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi Tanzània (PPP-Centred) Bw. David Kafulila ametoa wito kwa Sekta binafsi au watu binafsi wenye mitaji, teknolojia na...
29 Reactions
112 Replies
4K Views
Bado nitaendelea na msimamo ule ule wa CHADEMA kuwafuta uanachama, wanachama wanaotaka kukwamisha mipango ya chama. Kama ningekuwa sehemu ya maamuzi ya CHADEMA, ningeshauri wajibiwe hoja zao zote...
0 Reactions
14 Replies
859 Views
Jana Mjadala wa suala la IPTL kupitia Jamii Media JamiiForums umezuiwa kwa hoja kwamba jambo lipo mahakamani. Sikubaliani na tafsiri hiyo ya jambo kuwa mahakamani kwamba lisijadiliwe. Jambo hili...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Mkurugenzi wa Ubia nchi Bwana David Kafulila ameiambia ARIDHIO ya TBC kuwa sasa ni rasmi mtu au kikundi chochote chenye uwezo na nia ya kununua na kuendesha vichwa vya treni pamoja na...
20 Reactions
156 Replies
5K Views
Moja ya sifa kubwa ya kiongozi kwenye taasisi yoyote ni uwezo wa kuunganisha watu, kusuluisha migogoro na kujenga timu. Kinachotokea sasa hivi CHADEMA ni dhahiri kwamba mwenyekiti wa chama na...
3 Reactions
71 Replies
2K Views
Mi nadhani ukiona CHADEMA wanasema No Reforms No Election. Njoo CCM, TLP, ACT, CUF, NCCR, CHAUMA n.k mbona rahisi sana. Haina hata haja ya kujiuliza mara mbilimbili. Hii kauli mbiu alianzisha...
9 Reactions
40 Replies
1K Views
Kwenye kikao cha watia nia wa Chadema walioitwa HQ Dar es salaam, ilitangazwa rasmi kwamba tayari ndugu Tundu Lisu ameshawasilisha barua ya kutangaza nia ya kugombea urais kwa katibu mkuu wa...
3 Reactions
106 Replies
3K Views
TRA YAKUSANYA TRILIONI 7.53 JANUARI HADI MACHI 2025 . Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kukusanya Sh. Trilioni 7.53 katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/25, sawa na...
0 Reactions
4 Replies
458 Views
Wakati uongozi wa Chadema ukikutana na watia nia ya kugombea ubunge na udiwani katika ofisi ya makao makuu jijini Dar es Salaam Machi 3, 2025, kundi hilo linaundwa na wagombea na watiania wa...
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Tanzania imeshika nafasi ya 5 Duniani Kwa Mazingira Bora ya Utayari wa kufanya biashara ikijinyakulia pointi 78.73 kati ya 100. Vipengele vilivyoibeba Tanzania ni Operational efficiency na...
4 Reactions
9 Replies
398 Views
No reforms No election ni kaulimbiu inayopanga kuzuia kufanyika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025 ikiwa hakutakuwa na Reforms za Uchaguzi. Kwa hiyo itakuwa kama ifuatavyo:- 1. Wapinzani watazuia...
1 Reactions
1 Replies
406 Views
Kwa kifupi No Reform No Election haina madhara yoyote kwake 1. Akiikubali na kufanya Reform anakuwa Rais wa Kipindi cha Mpito cha Miaka 3 na kwa kuwa sifa zote atapata yeye kwa kukubali Reforms...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Huyu ni mwanamke wa shoka. Dodoma ni mkoa wenye harakati nyingi sana za kisiasa na kiserikali. Lakini huyu mama kazimudu bila kuwa na kashfa yoyote ole wala mikwaruzano. Nadhani anastahili...
0 Reactions
22 Replies
912 Views
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Emmanuel Nchimbi amesema kuwa ni kosa la kisheria na kikatiba kukilazimisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kushiriki uchaguzi bali kiungwe...
1 Reactions
11 Replies
544 Views
!!!!!!! Tuache kuingizwa kwenye mtego na watu walio busy kuwaza jinsi ya kutengeneza uchochoro wa kupiga pesa kwa kuongeza zaidi dau la malipo kutoka kwa walipaji maana watu wa aina hii mbele ya...
8 Reactions
33 Replies
2K Views
Inashangaza kuona mgawanyiko wa makundi ndani ya chadema swali muhimu kwa maslahi ya nani?
1 Reactions
2 Replies
344 Views
Naamini Watanzani wengi wanataka mageuzi ila walikosa mtu sahii wa kuwasemea katika mda sahihi,Walipita Viongozi wengi kuanzia kina Mrema, Lipumba,Mbatia mpaka Mbowe,lakini wote waliwasi wanainchi...
3 Reactions
9 Replies
672 Views
CHADEMA wanasema " no election" na wanasikilizwa na watu wengi na hii inaleta taharuki,kwa sababu hawa wana haki gani ya kuhamasisha wananchi wasipige kura. Saa ya Uchaguzi imefika, Uchaguzi...
8 Reactions
64 Replies
2K Views
Ukisoma huo waraka sehemu ya tatu aya ya 2 inasema lengo la kupitisha "No reforms, no election" ilikuwa si kuzuia uchaguzi bali kuhamasisha tu. Huo ndiyo ulikuwa mpango wa kauli mbiu? Tunaposema...
4 Reactions
11 Replies
591 Views
Back
Top Bottom