Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jamani hivi hakuna mkono wa mtu yeyote ambaye anapata manufaa kwa wagonjwa kupelekwa kwenye hospitali hii??au nani anawaelewa wamiliki wa hospitali hii??
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo, ameunda kamati ya watu 15 inayoongozwa na Edda Tandi Lwoga wa Chuo cha Elimu ya Biashara-CBE ili kuchunguza biashara za rejareja zinazofanywa na...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwanza nianze kwa kutoa orodha kamili ya makatibu wakuu wa CCM tokea ilipoanzishwa mwaka 1977 baada ya kuungana na ASP: Ukiacha Pius Msekwa na Rashid Kawawa, Mwenyezi Mungu amweke mahali pema...
1 Reactions
141 Replies
43K Views
DR. BILALI-MAKAMU WA RAIS TANZANIA Dr.Bilali (born Mohamed Gharib Bilal), the nuclear scientist was born in Zanzibar in 1945 , was Chief Minister of Zanzibar from October 1995 to 15 November 2000...
2 Reactions
49 Replies
19K Views
Hii speech ni ya kujiamini sana. Sijui alipata wapi hizi nguvu za kujiamini kiasi hiki kutaka chukua maeneo hayo.
16 Reactions
155 Replies
7K Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya wa Watanzania Waishio Nchini China, Alawi Abdallah, ameeleza azimio la jumuiya hiyo kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu. Soma Pia: Wajumbe...
0 Reactions
0 Replies
328 Views
1. Huyu Mheshimiwa Mstaafu yupo wapi siku hizi? 2. Alisharejea au anarejea lini CCM ale mema ya nchi? 3. Daah, Kuna watu wanasahaulika haraka Sana.
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Hii sasa ni balaa, speed inatisha. Leo ni siku ya tatu nimeona video clips tatu za wasanii Mbali mbali wanaoigiza Sauti ya Adv Tundu Lissu. Kinachofurahisha zaidi ni wasanii hawa kuigiza maneno...
5 Reactions
6 Replies
977 Views
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Lupembe mkoani Njombe ambaye kwa sasa ni Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Njombe Jolam Hongoli amewataka Watanzania kuacha kufikiria kuwa...
0 Reactions
1 Replies
408 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa Tanzania haitakubali kulazimishwa kuiga tamaduni za mataifa ya Magharibi, ikiwemo ndoa za jinsia moja, na...
4 Reactions
79 Replies
4K Views
WAZIRI KOMBO AWASILI UAE KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHUSIANO KATI YA TANZANIA NA UAE Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo...
0 Reactions
1 Replies
399 Views
Kipenga kimepulizwa, wito umetolewa. Shime kila mtanzania anayechukia wizi, ufisadi, uuzwaji wa rasilimali za umma kwa wageni, utawala usiozingatia haki na heshima anaombwa kwa unyenyekevu...
1 Reactions
7 Replies
464 Views
JUMUIYA YA UMOJA WA MABAHARIA TANZANIA YAMPONGEZA WAZIRI KOMBO KWA KAZI NZURI YA KUHUDUMIA MABAHARIA WA TANZANIA NJE YA NCHI Jumuiya ya Umoja wa Mabaharia Tanzania imempongeza Waziri wa Mambo ya...
1 Reactions
2 Replies
412 Views
Uamuzi uliotarajiwa kutolewa leo Januari 31, 2025 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwenye shtaka linalomkabili Dkt. Wilbrod Slaa ikiwa ni baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuagiza shauri la Dkt...
2 Reactions
93 Replies
6K Views
M23 wasije wakatawanya ndege zetu angani huko Congo
0 Reactions
0 Replies
301 Views
DC KILAKALA: UKUSANYAJI WA MAPATO KUSAIDIA MOROGORO KUWA JIJI Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Musa Kilakala amesema kuwa Manispaa ya Morogoro haiwezi kufanikiwa kuwa jiji pasipo na mipango thabiti ya...
1 Reactions
2 Replies
388 Views
Kupunguza umasikini wa hali ya juu . Tanzania pamoja na South Africa tuombe kwa congo kuwa watawala rasmi wa sehemu hii ya mashariki mwa congo kwasababu congo peke yake wameshidwa. Tanzania tuna...
0 Reactions
8 Replies
480 Views
Wakuu Mchungaji Mtikila aliwahi kuzungumza jambo zito sana miaka 12 nyuma leo Athari yake tunaiona ndani ya Ardhi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa hakika yajayo yanafikirisha sana...
0 Reactions
2 Replies
364 Views
Naona kimya kimekuwa kikubwa? Baada ya kumgaraza Mbowe ktk media wakati wa kampeni hivi sasa amekuwa mnyonge sana. Na hata juzi wakati wa mapokezi ya Lissu alionekana mtu ambae asie na furaha...
3 Reactions
5 Replies
521 Views
Kiongozi yeyote ambaye sio humble, anayejitengenezea ufalme, asiyejishusha kwa watendaji wake wakuu katika serikali yake, hafai hata kidogo! Atajikweza na kujiweka mbali na wananchi wake, Kamwe...
0 Reactions
1 Replies
323 Views
Back
Top Bottom