Wakuu kwema? Nini kiitokea kikafanya Mbowe aahirishe ghafla safari aliyokuwa ameipanga? Hamuoni kwamba ana machale?
Nashauri tumpitishe kwa kishindo ili machale yake yaendelee kukibeba chama...
Baraza la wasanii CHADEMA maarufu kama BAVICHA leo katika mkutano wao wa kuadhimisha siku ya wazee duniani wameoneshwa jinsi wanavyokereka na tabia wanazoonesha vijana kwenye mwendokasi.
Soma...
Katika nchi nyingi za demokrasia halisi uongozi wa vyama vya siasa huwa unabadilishwa punde tu baada ya matokeo ya uchaguzi, hicho ndicho kipindi kizuri cha kufanya tathmini ya uongozi kutokana na...
Wiki iliyopita nilikuwa napita ghetto usiku saa mbili hivi, nikawaona watoto wachache wamekaa pale,wasichana nikatoa offer,nikawapa sh.1000(elfu moja) buku. Wakaikataa.
Sasa,I was very shocked...
KUTOKA KWA MALISA GJ
Nimejiuliza maswali kadhaa nikakosa majibu;
1. Balozi Mushi alikua anajiendesha mwenyewe? Tena usiku wa manane? Protocal za kidiplomasia zinasemaje, Balozi anapokua na...
Mapungufu Kumi ya Freeman Mbowe kama Sababu za Kuangushwa na Wapiga Kura na Kumpigia Lissu Kura:
Uongozi wa Muda Mrefu na Kukosekana kwa Mabadiliko
Freeman Mbowe ameongoza CHADEMA kwa zaidi ya...
Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (UWT) Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa (MCC) Mary Pius Chatanda ameshiriki zoezi la ujenzi wa nyumba ya Maria Ngoda maarufu kama 'Mjane wa Nyama...
Ni wazi ana hamaki na mawenge ya kiwango cha juu mno. Anaweweseka sana na amekosa utulivu, hana uhakika wa amani na kwakweli kujiamini kwake, mdomo na makelele kuna pungua kadiri siku...
Haya ndio Maajabu yanayoitofautisha Tanzania na Nchi zingine Duniani.
Yaani Wananchi wamefunga safari eti kuja kumshukuru mtu ambaye ametimiza tu Wajibu wake na amelipwa na mshahara kwa kazi...
Katika nchi ambazo Mungu ameweka rasilimali nyingi ardhini ni pamoja na Msumbiji, Kongo, Zimbabwe, Zambia, Angola na Tanzania.
Lakini hizo nchi tajwa zina watu wenye maisha magumu mno...
Kuna habari kuwa Gen Z wa Kenya wana mpango wa kukinukisha tena. Katika kusikiliza habari baada ya kutekwa kwa mchoraji vibonzo vinavyompinga Ruto aitwaye Kibet Bull, wamesema kuna watekaji toka...
Normal human red blood cells have an average life span of about 120 days in the circulation after which they
are engulfed by macrophages. This is an extremely efficient process as macrophages...
Jana Kamishina wa Mamlaka Kudhibiti na kupambana na madawa ya kulevya (DCEA) Bw. Lyimo alitangaza kumnasa mmoja wa Mapapa wakubwa duniani wa biashara ya madawa ya kulevya akiwa na wenzake watatu...
Wanabodi,
Tukubaliane kwamba CHADEMA kuingia madarakani ni kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano. Ni Jambo ambalo litahitaji maandalizi ya muda mrefu na tofauti na wengi wanavyo fikiria...
Nimeanza mazungumuzo ya awali ya kutaka kuweka mdahalo baina ya wagombea wa nafasi ya mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mazungumuzo yatakapokamilika nitatangaza siku ya...
Kuna jambo nalitafakari kwa kina na ninadhani watu wengi hawajaliona Wala kulifikiria. Iwapo Lissu atafanyiwa figisu kwenye uchaguzi ndani ya CHADEMA na akatimkia ACT Nini kitatokea? Hili Jambo...
Wanabodi,
Tangu kuasisiwa kwa ACT, leo ndio mara yangu ya kwanza, mimi Paskali kuzungumzia lolote kuhusu ACT, kwa sababu, mimi ni muumini wa "Umoja ni Nguvu, Utengano ni Udhaifu". Naamini...
Tanzania: Usultani wa Oman na Jamhuri ya Tanzania zasaini makubaliano ya kuondoa kodi maradufu
Desemba 15, 2024
Usultani wa Oman na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametia saini leo mjini Muscat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.