Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu kwema? Nini kiitokea kikafanya Mbowe aahirishe ghafla safari aliyokuwa ameipanga? Hamuoni kwamba ana machale? Nashauri tumpitishe kwa kishindo ili machale yake yaendelee kukibeba chama...
5 Reactions
49 Replies
2K Views
Baraza la wasanii CHADEMA maarufu kama BAVICHA leo katika mkutano wao wa kuadhimisha siku ya wazee duniani wameoneshwa jinsi wanavyokereka na tabia wanazoonesha vijana kwenye mwendokasi. Soma...
0 Reactions
9 Replies
581 Views
Katika nchi nyingi za demokrasia halisi uongozi wa vyama vya siasa huwa unabadilishwa punde tu baada ya matokeo ya uchaguzi, hicho ndicho kipindi kizuri cha kufanya tathmini ya uongozi kutokana na...
4 Reactions
18 Replies
674 Views
Wiki iliyopita nilikuwa napita ghetto usiku saa mbili hivi, nikawaona watoto wachache wamekaa pale,wasichana nikatoa offer,nikawapa sh.1000(elfu moja) buku. Wakaikataa. Sasa,I was very shocked...
2 Reactions
10 Replies
712 Views
KUTOKA KWA MALISA GJ Nimejiuliza maswali kadhaa nikakosa majibu; 1. Balozi Mushi alikua anajiendesha mwenyewe? Tena usiku wa manane? Protocal za kidiplomasia zinasemaje, Balozi anapokua na...
64 Reactions
166 Replies
21K Views
Mapungufu Kumi ya Freeman Mbowe kama Sababu za Kuangushwa na Wapiga Kura na Kumpigia Lissu Kura: Uongozi wa Muda Mrefu na Kukosekana kwa Mabadiliko Freeman Mbowe ameongoza CHADEMA kwa zaidi ya...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Wanabodi Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi...
4 Reactions
54 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (UWT) Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa (MCC) Mary Pius Chatanda ameshiriki zoezi la ujenzi wa nyumba ya Maria Ngoda maarufu kama 'Mjane wa Nyama...
1 Reactions
6 Replies
642 Views
Ni wazi ana hamaki na mawenge ya kiwango cha juu mno. Anaweweseka sana na amekosa utulivu, hana uhakika wa amani na kwakweli kujiamini kwake, mdomo na makelele kuna pungua kadiri siku...
7 Reactions
46 Replies
1K Views
Haya ndio Maajabu yanayoitofautisha Tanzania na Nchi zingine Duniani. Yaani Wananchi wamefunga safari eti kuja kumshukuru mtu ambaye ametimiza tu Wajibu wake na amelipwa na mshahara kwa kazi...
7 Reactions
39 Replies
805 Views
Katika nchi ambazo Mungu ameweka rasilimali nyingi ardhini ni pamoja na Msumbiji, Kongo, Zimbabwe, Zambia, Angola na Tanzania. Lakini hizo nchi tajwa zina watu wenye maisha magumu mno...
9 Reactions
34 Replies
2K Views
Kuna habari kuwa Gen Z wa Kenya wana mpango wa kukinukisha tena. Katika kusikiliza habari baada ya kutekwa kwa mchoraji vibonzo vinavyompinga Ruto aitwaye Kibet Bull, wamesema kuna watekaji toka...
0 Reactions
2 Replies
381 Views
Normal human red blood cells have an average life span of about 120 days in the circulation after which they are engulfed by macrophages. This is an extremely efficient process as macrophages...
4 Reactions
8 Replies
508 Views
Jana Kamishina wa Mamlaka Kudhibiti na kupambana na madawa ya kulevya (DCEA) Bw. Lyimo alitangaza kumnasa mmoja wa Mapapa wakubwa duniani wa biashara ya madawa ya kulevya akiwa na wenzake watatu...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Wanabodi, Tukubaliane kwamba CHADEMA kuingia madarakani ni kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano. Ni Jambo ambalo litahitaji maandalizi ya muda mrefu na tofauti na wengi wanavyo fikiria...
0 Reactions
3 Replies
284 Views
Mwenye kujua kiwango cha juu cha Elimu ya Mwenyekiti anayaliza muda wake CHADEMA
0 Reactions
1 Replies
378 Views
Nimeanza mazungumuzo ya awali ya kutaka kuweka mdahalo baina ya wagombea wa nafasi ya mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mazungumuzo yatakapokamilika nitatangaza siku ya...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Kuna jambo nalitafakari kwa kina na ninadhani watu wengi hawajaliona Wala kulifikiria. Iwapo Lissu atafanyiwa figisu kwenye uchaguzi ndani ya CHADEMA na akatimkia ACT Nini kitatokea? Hili Jambo...
12 Reactions
75 Replies
3K Views
Wanabodi, Tangu kuasisiwa kwa ACT, leo ndio mara yangu ya kwanza, mimi Paskali kuzungumzia lolote kuhusu ACT, kwa sababu, mimi ni muumini wa "Umoja ni Nguvu, Utengano ni Udhaifu". Naamini...
30 Reactions
572 Replies
62K Views
Tanzania: Usultani wa Oman na Jamhuri ya Tanzania zasaini makubaliano ya kuondoa kodi maradufu Desemba 15, 2024 Usultani wa Oman na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametia saini leo mjini Muscat...
1 Reactions
12 Replies
615 Views
Back
Top Bottom