kama tunavyojua muda hausimami muda unakimbia tufanye magufuli tunaye hadi 2025
je ni nani atapeperusha bendera ya ccm mwaka wa 2025?
huu ni mjadala unaondelea chini kwa chini kwa sasa kila...
Leo, kwenye uzinduzi wa ukawa kitu ambacho nimeona,
1) Mbowe analazimisha kitu ambacho akiwezekani kabisa kabisa, kwenye uzinduzi sikusikia point za maana kabisa tofauti na marudio ya magufuri...
Anasema Lisu nyota yake inangara sana, akiichezea hataipata tena. Anakubalika na kila mmoja. Asipoteze nafasi , asipoteze kete hii.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi...
Mkutano wa 19 wa Bunge la 12 unaendelea leo Aprili 10, 2025 Jijini Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine, kama kawaida kutakuwa na Kipindi cha Maswali na Majibu kwa wabunge kuiuliza maswali...
SHIKWAMBI maana yake ni shinda kwa mbinu
Kwa sisi wazee wa kwenye siasa za mchangani ukisikia mtu analalamika mambo magumu ujue kwenye siasa anafikiria mbinu mpya
Shikwambi ya 2020 bado...
Wanabodi,Huu ni mwezi wa wanavyuo au Graduate kuhitimisha safari yao vyuo vikuu ,Kwa ufupi ni kipindi cha Graduation au Mahafali
Pongezi za kwanza ni kwa Rais Magufuli ambaye aliamua hawa vijana...
Meya mstaafu wa jiji la Dar es Salaam, Boniface Jacob, amesema kuwa alipokea taarifa kwamba Jumanne, tarehe 10 Septemba 2024, Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, kupitia Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa...
Nchi mbalimbali zimeamua kuwalinda wazalishaji wake na Uchumi wa Nchi zao Kwa kuongeza Ushuru wa bidhaa za Marekani kama nayo ilivyowaongezea wengine.
Kujikalisha kimya Kwa watu wenye maamuzi ni...
Hili swali la kiufundi sana. Kwamba tunazuia uchaguzi kwa kuwa huko watu wanakufa, hatutaki waendelee kufa.
Lakini tunataka kuwatumia watu hao hao kupambana na majeshi ya nchi kuzuia uchaguzi...
HALI ya kisiasa jimboni Nzega Mjini kwa Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussein Bashe ni mbaya tofauti kutokana na kutokubalika na wananchi licha ya kutumia fedha nyingi kugawa kwa wajumbe na baadhi...
Kutokana na report ya CAG Shirika la TTCL chini ya waziri Nape Nnauye aliyekuwa waziri wa mawasiliano limeongeza hasara kutoka Sh 4.32billioni mwaka 2022 hadi 27.7billioni mwaka 2023 licha ya...
CHADEMA IN AUTOLYSIS
This is precisely what is precipitating in CHADEMA
HEAVY WEIGHTA IN LOGGERHEADS
The Riverr between them is turning out to be the fourth global rift valley that only cosmic...
Mkuu wetu mtukufu ambaye ni mtumishi namba moja wa Taifa ili, Mheshimiwa John Pombe Joseph Magufuli, anaendelea kuliongoza Taifa katika misingi aliyoirithi kwa Viongozi waliopita hususani Baba wa...
We got a good one to deal with Corruption in the country, we must support and defend him,
When people think that corruption is becoming a growing problem, they tend to be less willing to report...
Tunakumbuka ile hotuba ya mara ya kwanza pale Bungeni dodoma
Ilikuwa hotuba ambayo imejaa mambo ambayo watanzania wanapenda kusikia na kutekelezwa
Kwa mawazo yangu nilidhani itaishia tu maneno...
1. Watanzania tunayo imani na Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli kwa sababu ya kasi yake ya kupambana na rushwa,madawa ya kulevya,watumishi hewa,Ukusanyaji wa kodi,Maendeleo ya kilimo,ulinzi...
RC CHALAMILA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI JIMBO LA KIBAMBA UBUNGO.
-Amshukuru Rais Dkt Samia kwa kutoa pesa nyingi zinazowezesha utekelezaji wa miradi hiyo
-Ataka usimamizi mzuri wa...
Ni miaka imepita , Kama Taifa tumekwama maeneo yote muhimu Kama kuwa na
👇🏾
-Afya bora
-Elimu bora
-Ajira kwa vijana
-Miundombinu bora
Kinachotokea tunaenda hatua tano mbele na kurudi hatua...
Mimi mganguzi sina chama cha siasa bali naheshimu sana maoni ya watu !G55 sio wahalifu na hawavunji katiba yoyote isipokuwa wamefuata Sheria ! Badala ya kujibiwa hoja zao wanatukanwa na badala ya...