Graduate wa Vyuo 2020 CCM imewatendea makuu msiyoweza kuyalipa

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Wanabodi,Huu ni mwezi wa wanavyuo au Graduate kuhitimisha safari yao vyuo vikuu ,Kwa ufupi ni kipindi cha Graduation au Mahafali

Pongezi za kwanza ni kwa Rais Magufuli ambaye aliamua hawa vijana kurudi shule baada ya mtikisiko wa corona waendelee na masomo yao,Bila Rais Magufuli kuamua hawa vijana warudi vyuo mwaka huu Graduation au Mahafali ingebaki hadithi or story

Hawa vijana watakwenda kuajiriwa moja kwa moja kwenye Viwanda vilivyojengwa na kuimarishwa zaidi ,Viwanda vimetapakaa mkoa wa pwani na ndio mkoa wenye viwanda vingi tangu 2014, Rejea hotuba ya Rais wakati akizindua Bunge la 12

Vijana hawa watakuwa wazalendo zaidi kwani hawa ni matokeo ya shule za kata,Wamesomeshwa kwa ada nafuu yaani sawa na bure,Hivyo lazima waishukuru serikali,Hata wakijisahau wazazi wao watawakumbusha kuwa wazalendo kwani hawakuingia gharama kuwasomesha

Sekta ya biashara yaani Mabenki yenye nguvu na Mifuko ya hifadhi za jamii hapa naongelea Pension Fund imeimarishwa zaidi tayari kuwapokea hawa vijana kuchapa kazi kwenye Mabenki na NSSF au Psssf au Bank of Tanzania (BOT)

Kwa tuliosoma zamani mambo yalikuwa magumu sana sana ,Taasisi za serikali zilikuwa hazijakuwa kama sasa na nyingi hazikuwepo kabisa,Maamuzi ya ccm kupitia Marais wake leo tuna taasisi na mashirika kibao ambayo yanatoa ajira kwa vijana wetu

Graduate wa mwaka huu ni neema tupu na Furaha, Kikubwa msiogope na kutishwa na watu kuwa hakuna ajira sio kweli, Kuna maelfu ya viwanda vimefunguliwa Tanzania nzima,Kikubwa ni uzalendo

Viva ccm,Viva ccm

Wazee wa Shikwambi tunawachora tu ,Ahaaa tutatoa ajira kwa mbinu kama tulivyoshinda kwa mbinu za kitanda kwa kitanda
 
Mkuu Uchafuzi umekwisha mbona bado unaendelea kupiga campaign!
Sio kampeni ni uhalisia huu ni mwezi wa mahafali

Hawa vijana wengi wamesoma bure kabisa kwa msaada wa serikali

Kwa hiyo hawa ni Product rasmi ya shule za kata lazima wawe wazalendo kwa Taifa

Viwanda vimejengwa vinahitaji watu na watu ndio hawa vijana
 
No offence labda graduate wa nchi nyingine. Si wa nchi hii ninao wafaham mm na hali zao
Mkuu wewe upo Marekani au upo Ulaya

Mosi,Maamuzi ya JPM ndio yamepelekea watu wamalize vyuo,Angalia kenya wanahaha

Pili ,Viwanda vipo na vingi sana mkoa wa Pwani

Tatu,Taasisi za fedha zimeimarika sana hapa ukiangalia mifuko ya Pension na Mabenki yamekuwa imara

Angalia jengo jipya la CRDB posta huu ni ushahidi tosha ,Lile CRDB Tower linaacha historia mjini

Angalia gawio la NMB Bank kwa serikali
 
Haki kuna vitu unasoma unabaki tu kuwaza "hivi nipo ndotoni au"
Sio kila unalosoma lazima uelewe,Mambo muhimu kama haya huwezi kuelewa

Tungeandika Tanzania imewekewa vikwazo ungelewa haraka bila hata kusoma uzi wote

Akili yako imeelekeza kwenye mambo hasi au negative

Jaribu kuwa kati au neutral na kutumia akili utaelewa tu
 
Mkuu wewe upo Marekani au upo Ulaya

Mosi,Maamuzi ya JPM ndio yamepelekea watu wamalize vyuo,Angalia kenya wanahaha

Pili ,Viwanda vipo na vingi sana mkoa wa Pwani

Tatu,Taasisi za fedha zimeimarika sana hapa ukiangalia mifuko ya Pension na Mabenki yamekuwa imara

Angalia jengo jipya la CRDB posta huu ni ushahidi tosha ,Lile CRDB Tower linaacha historia mjini

Angalia gawio la NMB Bank kwa serikali
Acha upuuzi hapa.
Unajitekenya na kucheka mwenyewe.

Ngoja nikupe ukweli hapa.
Aliyetangaza vyuo kufungwa kwa sababu ya Corona ni Magufuli na aliyetangaza kufunguliwa ni Magufuli. Kipi ni kipya hapo?

Wanachuo wanaopata mkopo walikatwa posho zao ili kufidia siku walizokuwa nyumbani wakati vyuo vimefungwa. Na hili walililamikia sana. Na hilo tumpongeze Magufuli?

Wakati wanachuo wanamaliza sasa, kuna maelfu kwa maelfu ya wahitimu wa vyuo wako mitaani bila kuajiriwa kwa zaidi ya miaka tano sana. Na hilo tumpongeze Magufuli?

Wanachuo wanaomaliza sasa ikiwa walipewa mkopo wa serikali, basi deni la mkopo wao linaanza kuongezeka kwa 6% kila mwaka kuanza sasa, na ikiwa wataajiriwa basi watakatwa 15% ya mishahara yao kila mwezi. Na hilo tumpongeze Magufuli?

Ukweli mchungu kuliko wote ni huu, huenda zaidi ya 90% ya hao wanachuo wanaohitimu sasa hawana uhakika wa kupata ajira popote hapa Tanzania katika kipindi kisichopungua miaka mitano kuanzia sasa. Na hilo tumpongeze Magufuli?


Angalizo kuu ni kuwa, mifuko ya fedha mingi iko hoi bin taaban (hakuna fao la kujitoa na watu wameshataafu kwa zaidi ya miaka mitatu sasa bila kulipwa viinua mgongo vyao), hakuna benki mpya kwa sasa, nyingi zinafungwa na chache imara zinajikongoja kwa shida. Majengo ya marefu pale Posta hayana maana yoyote kwa mhitimu wa chuo na hawana mchango wowote kwa uchumi wa Tanzania uliodora vibaya.
 
Graduate wa mwaka huu ni neema tupu na Furaha,Kikubwa msiogope na kutishwa na watu kuwa hakuna ajira sio kweli,Kuna maelfu ya viwanda vimefunguliwa Tanzania nzima,Kikubwa ni uzalendo
Mkuu, unaongelea nchi gani?!
 
Wanabodi,Huu ni mwezi wa wanavyuo au Graduate kuhitimisha safari yao vyuo vikuu ,Kwa ufupi ni kipindi cha Graduation au Mahafali

Pongezi za kwanza ni kwa Rais Magufuli ambaye aliamua hawa vijana kurudi shule baada ya mtikisiko wa corona waendelee na masomo yao,Bila Rais Magufuli kuamua hawa vijana warudi vyuo mwaka huu Graduation au Mahafali ingebaki hadithi or story

Hawa vijana watakwenda kuajiriwa moja kwa moja kwenye Viwanda vilivyojengwa na kuimarishwa zaidi ,Viwanda vimetapakaa mkoa wa pwani na ndio mkoa wenye viwanda vingi tangu 2014,Rejea hotuba ya Rais wakati akizindua Bunge la 12

Vijana hawa watakuwa wazalendo zaidi kwani hawa ni matokeo ya shule za kata,Wamesomeshwa kwa ada nafuu yaani sawa na bure,Hivyo lazima waishukuru serikali,Hata wakijisahau wazazi wao watawakumbusha kuwa wazalendo kwani hawakuingia gharama kuwasomesha

Sekta ya biashara yaani Mabenki yenye nguvu na Mifuko ya hifadhi za jamii hapa naongelea Pension Fund imeimarishwa zaidi tayari kuwapokea hawa vijana kuchapa kazi kwenye Mabenki na NSSF au Psssf au Bank of Tanzania(BOT)

Kwa tuliosoma zamani mambo yalikuwa magumu sana sana ,Taasisi za serikali zilikuwa hazijakuwa kama sasa na nyingi hazikuwepo kabisa,Maamuzi ya ccm kupitia Marais wake leo tuna taasisi na mashirika kibao ambayo yanatoa ajira kwa vijana wetu

Graduate wa mwaka huu ni neema tupu na Furaha,Kikubwa msiogope na kutishwa na watu kuwa hakuna ajira sio kweli,Kuna maelfu ya viwanda vimefunguliwa Tanzania nzima,Kikubwa ni uzalendo

Viva ccm,Viva ccm

Wazee wa Shikwambi tunawachora tu ,Ahaaa tutatoa ajira kwa mbinu kama tulivyoshinda kwa mbinu za kitanda kwa kitanda
Toa takataka yako hapa. Hivi huwa hamuoni aibu kuandika upumbavu tu?
 
Sio kila unalosoma lazima uelewe,Mambo muhimu kama haya huwezi kuelewa

Tungeandika Tanzania imewekewa vikwazo ungelewa haraka bila hata kusoma uzi wote

Akili yako imeelekeza kwenye mambo hasi au negative

Jaribu kuwa kati au neutral na kutumia akili utaelewa tu
Sasa wewe nae unajua nini kubwa G
 
UMESAHAU NAMBA YAKO YA SIMU NA MAJINA..

Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na wilaya HAUPO.

JITAHIDI KUFICHA UJINGA WAKO.
AIBU KWA TAIFA.
 
Uchafu huu ulifaa kuwa dampo la Lumumba asee!! Kama na wewe umesoma basi elimu haina maana kwasababu inaongeza ujinga badala ya kuupunguza.
 
Hawa hawa magraduate wanaomaliza kwa kuwa na outomatic loan ya zaidi ya 15 millioni with interest annually
Ambao kwa utaratibu mbovu wa serikali wategemee kupata vyeti vyao after one year
Ambao kwa utaratibu mbovu wa ajira zetu ni lazima uonyeshe cheti Cha kuhitimu ili kuthibitisha ujuzi uliosomea
Eti watapata ajira moja kwa moja
Acha kudanganya hao watoto.
Kuna kundi la magraduate karibia elfu 30 wanavyeti vyao na wapo kitaa hawana ajira wengine tokea 2015
Serikali haieleweki Mara magraduate jiajirini msitegemee ajira Mara ooh msiwe na wasiwasi mtapata ajira kwenye viwanda
Watu kama nyie mnatakiwa kunyongwa kwa kuimba mapambio yenu haya ya kipumbavu.
Nyie vijana mnaotaraji kugraduate mwaka huu msimtilie maanani huyu mtoa post kawadanganya
Tegemeeni kumaliza chuo na bonge la mkopo likiwa na riba kila mwaka
Pili tegemeeni kusota kitaa mwaka mzima mkisubiri vyeti vyenu ndio mvitumie kuomba kazi
Tatu mtaani kuna wenzenu waliotangulia kugraduate zaidi ya elfu 30 wengine tokea 2015 hawana ajira ushindani ni mkubwa Sana
Nawashauri yafuatayo
1 kama wewe ulikuja chuo ukitokea kijijini na hauna ndugu mjini rudi haraka kijijini ukajishughulishe na kilimo zile zama zetu unatokea bush unakuja chuo ukimaliza unakomaa town hata kwa kujishikiza kwa washkaji hadi unapata ajira hazipo Tena nakumbuka mimi nilipata ajira kwa kutumia provisional results nilisota kitaa kama miezi 5 nikapata ajira.
2 mikopo yenu mikubwa Sana mi mkopo wangu ulikuwa million 1.7 enzi zetu tulikuwa tunakopeshwa boom tu na sio tuition fee kama nyie hivyo basi kama una uwezo
uanze haraka kulipa mkopo hata kidogo kidogo kwa njia yeyote ili kuepuka penalties na mainterest ya hselb
3 Acha kabisa kufikiria ajira sijui za viwanda or serikalini haraka Sana jifikirieni kujishughulisha na kilimo hata Cha mbogamboga huko vijijini kama utaweza kukomaa fanya hata kazi za umachinga wa kuchukua Mali kauli kwa wahindi na kama utakuwa na uwezo wa kamtaji kadogo funguo hata goli la chipsi hata genge upate kipato Cha kuishi na kuanza kulipa mkopo wa elimu ya juu unaweza ukashangaa ukilichelewesha ukakutana na bonge la figure kutokana na penalty
4 kwa wale ambao wazazi wenu wanajiweza kiuchumi waombeni wazazi wenu mitaji mfungue biashara yeyote utakayoona inalipa ata kama ni tofauti na fani uliyosomea au mshawishi akulipie chuo America au Europe ukapige master huko pamoja na kutafuta maisha hukohuko nje ingawaje bado janga la korona linaleta changamoto kidogo ila ukifanikiwa kuondoka kakomae hukohuko huku shit hole ni pa kipuudhi Sana kimbia haraka kama inawezekana
5 Mtaani maisha magumu saba msitegemee wepesi wowote jiandaeni kabisa kisaikolojia mabint kuweni makini sana kuna mapedeshe yana Ukimwi halafu mabazazi yanawasubiria kwa hamu kuweni makini sana na acheni tamaa watachafua damu zenu dakika 0 bila kujijua
6 Kama kuna hopes za maisha mazuri mlikuwa mnapeana huko chuoni immediately after graduating achaneni nazo ingieni mtaani Kama mnaenda vitani ambapo bila umakini na matumizi ya mbinu za medani utakufa
Mwisho-) unapokuwa student you are neither employed nor unemployed but once you graduate you become one of the either depends on your struggles and luckiness
KARIBUNI SANA KITAA
Achaneni na mtoa post hawa wanaitwa waimba mapambio ni watu wanafki waongo na wazandiki ni watu wa kuwaepuka
 
Hawa hawa magraduate wanaomaliza kwa kuwa na outomatic loan ya zaidi ya 15 millioni with interest annually
Ambao kwa utaratibu mbovu wa serikali wategemee kupata vyeti vyao after one year
Ambao kwa utaratibu mbovu wa ajira zetu ni lazima uonyeshe cheti Cha kuhitimu ili kuthibitisha ujuzi uliosomea
Eti watapata ajira moja kwa moja
Acha kudanganya hao watoto.
Kuna kundi la magraduate karibia elfu 30 wanavyeti vyao na wapo kitaa hawana ajira wengine tokea 2015
Serikali haieleweki Mara magraduate jiajirini msitegemee ajira Mara ooh msiwe na wasiwasi mtapata ajira kwenye viwanda
Watu kama nyie mnatakiwa kunyongwa kwa kuimba mapambio yenu haya ya kipumbavu.
Nyie vijana mnaotaraji kugraduate mwaka huu msimtilie maanani huyu mtoa post kawadanganya
Tegemeeni kumaliza chuo na bonge la mkopo likiwa na riba kila mwaka
Pili tegemeeni kusota kitaa mwaka mzima mkisubiri vyeti vyenu ndio mvitumie kuomba kazi
Tatu mtaani kuna wenzenu waliotangulia kugraduate zaidi ya elfu 30 wengine tokea 2015 hawana ajira ushindani ni mkubwa Sana
Nawashauri yafuatayo
1 kama wewe ilikuja chuo ukitokea kijijini na hauna ndugu mjini rudi haraka kijijini ukajishughulishe na kilimo zile zama zetu unatokea bush unakuja chuo ukimaliza unakomaa town hata kwa kujishikiza kwa washkaji hadi unapata ajira hazipo Tena nakumbuka mimi nilipata ajira kwa kutumia provisional results nilisota kitaa kama miezi 5 nikapata ajira.
2 mikopo yenu mikubwa Sana mi mkopo wangu ulikuwa million 1.7 enzi zetu tulikuwa tunakopeshwa boom tu na sio tuition fee kama nyie hivyo basi kama unauwezo uanze haraka kulipa mkopo hata kidogo kidogo kwa njia yeyote ili kuepuka penalties na mainterest ya hselb
3 Acha kabisa kufikiria ajira sijui za viwanda or serikalini haraka Sana jifikirieni kujishughulisha na kilimo hata Cha mbogamboga huko vijijini kama utaweza kukomaa fanya hata kazi za umachinga wa kuchukua Mali kauli kwa wahindi na kama utakuwa na uwezo wa kamtaji kadogo funguo hata goli la chipsi upate kipato Cha kuishi na kuanza kulipa mkopo wa elimu ya juu unaweza ukashangaa ukilichelewesha ukakutana na bonge la figure kutokana na penalty
4 kwa wale ambao wazazi wenu wanajiweza kiuchumi waombeni wazazi wenu mitaji mfungue biashara yeyote utakayoona inalipa ata kama ni tofauti na fani uliyosomea au mshawishi akulipie chuo America au Europe ukapige master huko pamoja na kutafuta maisha hukohuko nje ingawaje bado janga la korona linaleta changamoto kidogo ila ukifanikiwa kuondoka kakomae hukohuko huku shit hole ni pa kipuudhi Sana kimbia haraka kama inawezekana
5 Mtaani maisha magumu saba msitegemee wepesi wowote jiandaeni kabisa kisaikolojia mabint kiweni makini sana kuna mapedeshe yana Ukimwi halafu mabazazi yanawasubiria kwa hamu kuweni makini sana na acheni tamaa watachafua damu zenu bila kujijua
6 Kama kuna hopes za maisha mazuri mlikuwa mnapeana huko chuoni immediately after graduating achaneni nazo ingieni mtaani Kama mnaenda vitani ambapo bila umakini na matumizi ya mbinu za medani utakufa
Mwisho-) unapokuwa student you are neither employed nor unemployed but once you graduate you become one of the either depends on your struggles and luckiness
KARIBUNI SANA KITAA
Achaneni na mtoa post hawa wanaitwa waimba mapambio ni watu wanafki waongo na wazandiki ni watu wa kuwaepuka
Acha kuogopesha watu, kila gumu Lina solution Yake Cha msingi ni mtu kuwa flexible na mazingira.


Hayo mengine yote ni kutengenezea watu uoga usio na maana.
 
Back
Top Bottom