Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kwa mujibu wa katiba ya chama hicho uchaguzi kila baada ya miaka mitano ndio ukomo wa madaraka. Mbowe aliyeiongoza Chadema kwa miaka 20 tangu 2004...
2 Reactions
11 Replies
579 Views
Mwenyekiti wa Chadema Mbowe amesema Katika nafasi zote za uongozi pale Chadema hakunaga Ukomo wa Uongozi Lakini mimi nafahamu Bavicha Wana Ukomo Kwa kigezo Cha umri na hii siyo Sawa Umri wa...
0 Reactions
0 Replies
246 Views
Posted on January 1, 1990 by editor Tanzanian workers are lazy and unproductive says Tanzania’s National Productivity Council (NPC) quoted in ‘Business News’ on September 29th 1989. The NPC...
6 Reactions
39 Replies
3K Views
Kuna interview Lissu aliifanya kama si Clouds Tv basi ni Global Tv kwenye hiki kipindi cha kugombea uenyekiti wa chadema Global Tv, alisema kuna kiongozi mmoja wa Dini alimpigia Simu Kumuomba...
4 Reactions
13 Replies
883 Views
kwa yanayoendelea sasa ndani ya chadema kuna ombwe la uongozi na kutokuwepo kwa nidhamu, ustahimilivu na kuheshimiana. uchaguzi wa kidemokrasia huwa una sura ya ustaarabu. vyama vidogo visivyokuwa...
0 Reactions
1 Replies
260 Views
Ni dhahiri kuwa sasa hivi Lissu anaishambulia serikali ya CCM na Mwenyekiti wake wa CHADEMA Bw Freeman Mbowe kwa pamoja. Kama tujuavyo ni kuwa siasa ya Afrika ni uadui na sio mashindano ya amani...
2 Reactions
18 Replies
988 Views
Serikali ya China inapanga kujenga bwawa la umeme lengine kubwa zaidi duniani mara tatu la sasa Three gorges dam lenye uwezo wa kuzalisha Megawatts 22,500 MW lilipo Yangtze River, Hubei province...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa chama cha Mkoa wa Mwanza, Abbas Mayala amewatahadharisha wanachama, wafuasi na wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa juu katika chama hicho kuepuka kutafuta...
1 Reactions
1 Replies
287 Views
Nikitembea katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengi ya Tanzania jambo kuu linalonijia kichwani ni kwamba, Tanzania tutapata maendeleo ya kweli pale tu tutakapopata Viongozi wenye akili na...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Mbowe ameyasema hayo wakati akihojiwa na Salim Kikeke katika kipindi cha Kasri kinachorushwa na CrownFM Mbowe amesema kwamba Lissu anashiriki vikao vyote vya chama lakini hajawahi kuwasilisha...
12 Reactions
69 Replies
3K Views
Wote wanaomchafua Hayati Magufuli watakufa na kusahaulika lakini Magufuli ataendelea kukumbukwa vizazi na vizazi. Historia inaonyesha mtu aliyeacha legacy hazuiliki. Erick Kabendera, askofu...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Najua ni kosa la jinai kuwakosoa lakini nadhani haya ni mapungufu yasiyohitaji Katiba mpya kuyarekebisha. Lissu amehutubia taifa kupitia YouTube, Spaces na Clubhouse kama sijakosea, lakini akaunti...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe ameahidi kuheshimu Ukomo wa Madaraka pindi Chadema ikiingia Ikulu Source: Crown media
3 Reactions
19 Replies
842 Views
Yanayotokea Libya yanawatia taabu baadhi ya wakuu wa vyuo huko Ulaya. Kwa mfano huu; The director of the London School of Economics (LSE), Sir Howard Davies has resigned over its links to Libyan...
53 Reactions
916 Replies
133K Views
Mwandishi nguli wa habari wa Kimataifa Salim KIKEKE amempiga Mbowe nyundo ya kichwa na akapatoza fahamu palepale. ****** Salim Kikeke: "Unasemaje kuhusu UKOMO wa MADARAKA" Freeman Mbowe: "Katiba...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Ukomo wa Madaraka ni Mjadala mzito katika kipindi hiki cha mchakato wa Uchaguzi wa CHADEMA. Mchokoza Mada, Mh. Tundu Lissu katika hotuba yake tarehe 12/12/2024 aliiweka vizuri sana kwa Viongozi...
3 Reactions
16 Replies
670 Views
Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti Ndio...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari, Nikiri kwa kusema yote yasemwayo kwa sasa yana asilimia kubwa ya uongo kuliko uhalisia. Na shida kubwa ni kutafuta neutrality ili watu waone mtu wao waliyemkubali na kumpenda alikuwa...
5 Reactions
20 Replies
957 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema, dhamira njema ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ya kuipa kipaumbele Sekta ya Afya nchini ni...
0 Reactions
6 Replies
855 Views
Ustaadh Yasin wa Taqwa masjid anasema kama Chadema hawatasimama sawa sawa Kifo Cha Meddy Kibao ndio Mwanzo wa Mwisho wao Ustaadh Yasin anasema kitendo cha Chadema kushindwa kumfanyia hata Hitma...
3 Reactions
11 Replies
523 Views
Back
Top Bottom