Nathan Jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,445
- 1,891
Tunakumbuka ile hotuba ya mara ya kwanza pale Bungeni dodoma
Ilikuwa hotuba ambayo imejaa mambo ambayo watanzania wanapenda kusikia na kutekelezwa
Kwa mawazo yangu nilidhani itaishia tu maneno pale Bungeni, kumbe haikuwa maneno tupu, nimefarijika sana kuona ahadi zake, hotuba yake vinaendana na vitendo
Wala rushwa kawabana
Wazembe ndo usiseme
Wahujumu uchumi amekuwa mwiba kwao
Waliokuwa wadanganyifu kazini kawamaliza
Tukadhani ni nguvu ya soda, kumbe tulijidanganya jamaa hakati tamaa
Tunakuunga mkono mheshimiwa
Ilikuwa hotuba ambayo imejaa mambo ambayo watanzania wanapenda kusikia na kutekelezwa
Kwa mawazo yangu nilidhani itaishia tu maneno pale Bungeni, kumbe haikuwa maneno tupu, nimefarijika sana kuona ahadi zake, hotuba yake vinaendana na vitendo
Wala rushwa kawabana
Wazembe ndo usiseme
Wahujumu uchumi amekuwa mwiba kwao
Waliokuwa wadanganyifu kazini kawamaliza
Tukadhani ni nguvu ya soda, kumbe tulijidanganya jamaa hakati tamaa
Tunakuunga mkono mheshimiwa