Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hii ni kumchafua Rais Samia kwa waliomshauri amsweke Lisu ndani na kumfungulia kesi ya UONGO ya uhaini. I am convinced that such a serious case for the chairman of the main opposition party...
11 Reactions
36 Replies
2K Views
UHAINI ? Jinai ambayo adhabu yake ni Kunyongwa . Kwa Tanzania mambo ni tofauti kabisa, Mwabukusi Alisema, nitawaongoza watanzania kwenye maandamano suala la DP World, eeehhh maajabu Polisi na DPP...
0 Reactions
16 Replies
866 Views
Mbinu moja wapo ya Watawala wachovu na waoga ni kutisha na kuogopesha umma wa unaowapinga kwa kutumia vyombo vya dola na adhabu za jela. Kwa kuwa basi kila mtu anajua kesi ya UHAINI inayomkabili...
3 Reactions
6 Replies
497 Views
Chama kikuu cha upinzani, Chadema bado kinaendelea kusimamia ajenda yao ya No reforms, No elections ambayo ina lengo la kuitaka serikali kufanya mabadiriko kwenye sera na kanuni za uchaguzi mkuu...
0 Reactions
9 Replies
860 Views
ZAIDI YA MITI MILIONI 226 IMEPANDWA TANZANIA NZIMA Kupitia kampeni ya kitaifa ya upandaji miti millioni 1.5 kwa kila Halmashauri nchini, jumla ya miti milioni 226.97 ilipandwa kwa mwaka 2023/2024...
1 Reactions
1 Replies
291 Views
Vyama vya upinzani kutokuwepo kwenye uchaguzi kuna athari nyingi, ambazo zinaweza kuwa na matokeo makubwa kwa mfumo wa kisiasa na jamii kwa ujumla. 1. Kuimarisha Tawala za Kidemokrasia -...
1 Reactions
0 Replies
240 Views
Na:Mathias Byabato Binafsi uwa siandiki sana kuhusu mambo ya siasa. Leo nimeona nisaidie muktadha kadri ya uelewa wangu. Kwa watu wanaojua mantiki na umuhimu demokrasia katika taifa lolote...
6 Reactions
53 Replies
3K Views
Hatua ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kufunguliwa mashitaka ya uhaini na uasi inakiweka chama hicho njiapanda, hasa ikielezwa kuwa kiongozi huyo ameonyesha ujasiri mkubwa kuikabili Serikali...
1 Reactions
8 Replies
957 Views
Nyaraka za pasaka toka makanisa tofauti zitajaa masimango, vijembe na ukosoaji wa serikali ya rais Samia. Hii inatarajiwa kutokea kufuataia makosa ya kubambikiwa aliyopewa Lisu na kupelekea...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Hawa waasisi wa Taifa hili wamekuja wamekwenda. Tuna wajibu wa kudumisha amani waliyotuachia. Kama yupo taahira,punguani,muovu, anayetaka kuvuruga amani ya nchi,bado tuna wajibu wa kudumisha amani...
1 Reactions
8 Replies
503 Views
Wafadhili na Waachangiaji pesa wa CHADEMA kama hakiendi kwenye uchaguzi,pesa mtakuwa mnachangia watu wazile tu hakuna maana acheni Zitaishia kuliwa tu
2 Reactions
14 Replies
443 Views
Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi ana Mamlaka ya kukifungia chama chochote kutoshiriki uchaguzi. Pili ni Kwa kutumia kifungu kipi na hicho kifungu hakiendi kinyume cha Katiba.
0 Reactions
4 Replies
485 Views
Kama dini ni muongozo wa haki na maadili katika jamii inakuajae nchi zenye kiwango kikubwa cha raia na viongozi washika dini ndizo zinazoongoza kwa uvinjifu wa haki za watu, rushwa na ufisadi ...
4 Reactions
34 Replies
1K Views
Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Marko Henry Ng’umbi. Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai...
32 Reactions
389 Replies
22K Views
Habari wanajukwaa na heri ya sikukuu ya matawi. Ndugu wanabodi kama mtakumbuka mwaka 2023 ilitokea ajali ya pawatila na pikipiki iliyopelekea kifo Cha mbunge wa Jimbo letu ndg. Mtega. Tukio Hilo...
1 Reactions
4 Replies
514 Views
Ruzuku ya CHADEMA itaisha June mwaka huu 2025 bunge baada ya kuvunjwa Wamesusa uchaguzi hivyo kwa miaka mitano ijayo CHADEMA haitakuwa na pesa za ruzuku hata shilingi 100 Maana yake kwa miaka...
3 Reactions
45 Replies
2K Views
Baada ya mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe kuilalamikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa madai ya kutotenda haki, mkurugenzi wa uchaguzi wa tume hiyo, Kailima Ramadhan amesema hawezi...
4 Reactions
119 Replies
14K Views
Twende pamoja: Hoja hii kwamba “Hata kama CHADEMA ( Na vyama vingine) watashiriki au wangeshiriki, wanakuwa kama hawajashiriki tu.” ina mizizi katika hali halisi ya kisiasa na kisheria nchini...
0 Reactions
2 Replies
337 Views
Kitu kimoja kutoka kwa Magufuri hakuwa mnafiki, alidiali na Upinzania mchana kweupe kabisa, hakudanganya kwamba ni mwana Democrasia hapana alikuwa wazi kabisa na alitanka wazi wazi kudili na...
1 Reactions
2 Replies
239 Views
1. Hamkusaini Maadili na hivyo hamna sifa ya kushiriki uchaguzi. 2. Suppose sasa CCM wanaamua kutimiza matakwa ya madai yenu ie wameweka mifumo huru ya uchaguzi kama mnavyoitaka ( na inabidi...
6 Reactions
96 Replies
3K Views
Back
Top Bottom