Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, Wakili Boniface Mwabukusi ameeleza kusikitishwa na tafsiri ya sheria inayochukuliwa na Tume huru ya Taifa ya uchaguzi, akisema hakuna sheria...
16 Reactions
61 Replies
4K Views
CHADEMA inatimiza miaka 33 mwaka huu toka kuanzishwa kilianzishwa 1992 Jua siri ya namba 33 na uhusiano na kifo cha CHADEMA Katika ulimwengu wa Freemason kiwango cha juu cha cheo cha...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Kumbukumbu ya miaka 103 ya Mwalimu Julius Nyerere https://m.youtube.com/watch?v=OAQFxrJBfPc Makamu wa Rais Dk. Philiph Mpango ameyaongea haya katika kumbukumbu ya miaka 103 ya Mwalimu Nyerere...
0 Reactions
4 Replies
517 Views
Barabara ya Mlimba–Ifakara imekuwa kero ya muda mrefu kwa wananchi, ambapo inadaiwa imekuwa kama sehemu ya kupatia Kura kila ifikapo Uchaguzi. Kwa mujibu wa mtumiaji huyu wa X "Barabara Mlimba...
0 Reactions
0 Replies
286 Views
"Ukiwa hutaki kufuata Maadili wewe unataka kuchagua nchi, sisi CHAUMA tunasema jambo vla kwanza baada ya ubwabwa ni amani na huu ubwabwa kama hakuna amani hauliki" Katibu Mkuu Chama Cha Cha...
2 Reactions
6 Replies
554 Views
Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa X (zamani Twitter), Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema hatakuwepo katika kusaini maadaili Uchaguzi ya 2025 na hajateua Afisa au Kiongozi yeyote kwenda...
33 Reactions
215 Replies
11K Views
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji wa makala za mwandishi nguli wa mtandao wetu wa jamii forum hususani Jukwaa la Siasa kwa muda mrefu sana. Huyu si mwengine ni Guru la uandishi na ufatiliaji wa mambo...
2 Reactions
4 Replies
617 Views
Mara yangu ya mwisho kupiga kura ilikuwa mwaka 2019, wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Mwaka 2020 sikupiga. Haukuwa na mvuto kwangu. Mwaka huu naona changamoto ya mwaka 2020 inaninyemelea...
3 Reactions
8 Replies
552 Views
Wakuu Katibu Mkuu wa Chama cha United Democratic Party (UDP), Saumu Rashid, kajitambulisha kwa Salamu ya Rais Samia kwa kusema "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..." wakati wa hafla ya kusaini...
1 Reactions
5 Replies
490 Views
Kimsingi hawa G55 wa Chadema yawezekana ndio wenye nia ovu zaidi kwa sababu lengo na nia yao haiko wazi Kwanini wamejiita G55 jina la lkundi la Njelu Kasaka? Nadhani ndani ya Chadema tatizo ni...
6 Reactions
17 Replies
657 Views
Jambo kubwa lipo nyuma ya Taifa baada ya ccm chama tawala kuingia kwenye msuguano mkali wa no reform no election. Upo msemo unasema ogopa akili ya mwanadam. Mwisho wakunukuu. Soku zote ktk dunia...
22 Reactions
65 Replies
3K Views
Wakuu, Mambo ni motooo! ==== Heche amaesema lolote likimpata lissu akiwa gerezani Samia si tu atawajibu Watanzania bali ataijibu Dunia. Heche amesema suala la Lissu linafika kimataifa, wakili...
18 Reactions
69 Replies
3K Views
Sioni wagombea wa TADEA, CUF, NLD, SAU, ACT n.k wakishinda viti vya ubunge. Na sioni mgombea wa CCM ashinde Jimbo afu ushindi wake utolewe kafara na kupewa wapinzani ili kuzuga kuwa Kuna free and...
27 Reactions
75 Replies
3K Views
Wakuu, Inasemekana hapo ni Moshi majira ya saa 19:35 maeneo ya Mbuyuni sokoni ambapo watekaji walikuja na Noah nyeusi wakamkamata kijana mmoja wakataka kuondoka naye ila wananchi waliwagomea...
18 Reactions
32 Replies
2K Views
Unalionaje hilo? Profesa wa Hesabu akishiriki kwenye mitihani ya darasa la saba! 1. Akifurahia kufaulu atachekwa! Haitarajiwi darasa la saba amshinde Profesa. Bora hata kama angekuwa ni Ph.D...
4 Reactions
9 Replies
619 Views
Ni bora turudi tu kwenye mfumo wa chama kimoja hizi purukushani za interview wakati ajira zishapangwa ni kupoteza muda na kodi za wananchi
3 Reactions
15 Replies
571 Views
Wakuu mbunge wa viti maalum eti naye anamwambia Lissu kwamba ameishiwa sera, mtu ambaye yupo bungeni ni kama kwa hisani tu. Kwanza ule utaratibu wa kuwawekea ukomo hawa viti maalum ungeanza...
0 Reactions
0 Replies
315 Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili mkoani Tabora kwa ajili ya ziara ya siku mbili, ambapo baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Tabora, na kupokelewa...
2 Reactions
3 Replies
443 Views
Simlaumu, ila nahisi amechangia pakubwa mtatiziko wa kisiasa uliopo nchini kwa sasa. CHADEMA wameamua kususia uchaguzi kwa sababu ya mapungufu yaliyopo kwenye mfumo mzima wa uchaguzi. Inaaminika...
1 Reactions
4 Replies
376 Views
Chadema mnachanganya mambo!! Kwa sasa chadema ni chama kidogo sana chenye mbunge Mmoja wa kuchaguliwa!!! Mmeharibu zaidi kwa kukataa kushiruki uchaguzi .Hili siyo sawa .kumbe hamna mipango...
1 Reactions
11 Replies
670 Views
Back
Top Bottom