Madikteta mara nyingi Huwa mafisadi vilevile. Hawa watu hupenda sana kuwapa watu rushwa ili kuwanyamazisha,Wengine hupewa rushwa kubwa
Wengine huambulia vitu vidogovidogo kama mtungi wa...
"Naitwa Pendo, Jana nilitoka nyumbani kwa ajili ya kwenda mahakamani kusikiliza kesi ya Lissu, niliwahi sana kufika mahakamani, nikakuta akina Pambalu, Mwaipaya na viongozi wengine. Tulishauriana...
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amemuagiza Katibu tawala wa mkoa kuwaandikia barua za onyo wakuu wa wilaya 5 kwa kushindwa kutimiza wajibu wao.
Gambo amesema wao kama mkoa walipeana malengo...
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ameeleza kwamba Jiji la Arusha halina uwezo wa kifedha wa kutekeleza miradi yoyote ya maendeleo kwani miradi yote inayojengwa kwa sasa katika jiji la Arusha...
Hii ni Updates kutoka kwenye Timu yetu inayozunguka Mahospitalini
Tutaendelea kuweka orodha ya majeruhi pamoja na vifo kutoka Mahospitali mengine kwa kadri timu yetu itakavyoripoti
=======...
Ukiangalia mradi wa ujenzi wa barabara za mwendo kasi kwa makini utagundua wahusika wakuu kufanya maamuzi kishawishi kwao kikuu sio lengo la kutatua tatizo la usafiri jijini ila tatizo la usafiri...
Sasa ni rasmi kuwa nchi imeendelea na ustawi wa watu umeanza kuonekana.
Mwalimu Nyerere na Mzee wetu Karume wanaweza kuwa wanafuraha huko walipo miaka 61 ya Muungano Serikali zote zimejitahidi...
Kilikuwa kikao cha dharura au ghafla lilichoandaliwa na makardinali baada ya lkuona Trump anataka kumkoromea tena Zelenesky
Katoliki wanapenda Amani kwa kweli
Mlale unono 😁🇹🇿
Ukisika ubaya ubwela ndiyo huu baada ya kusikia wimbo ukiibwa na baadhi ya wanachama wa CCM wakisema wapinzani wakifa atulii bali tunawatupa mtoni waliwe na mamba!
Sasa kwenye video hii...
Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.
Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa...
Wanabodi,
Wakati mchakato wa kelekea kwenye Katiba Mpya unakwenda vizuri na sasa ni wazi tunaelekea kwenye serikali tatu, baada ya miaka hii 50 ya Muungano uliozaa Taifa la Tanzania, tufike...
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera ndugu Faris Buruhani ametoa wito kwa vijana kuendelea kuyasema mema na mazuri yanayofanywa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Samia Suluhu...
Hii ni aibu! Hii ni fedheha kwa jeshi letu la polisi! Hii imevunja rekodi ya dunia kwa polisi kuwakamata "wahalifu" na kuwatupa porini badala ya kuwaweka mahabusu! Eti polisi wa Tanzania wanatupa...
Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu, amewataka wananchi wa Buchosa kuendelea kumuunga mkono Dk. Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine walioko madarakani ili waendelee kuwaletea...
MOja kwa moja kwenye mada,siku za karibuni kumekuwa na zoezi la serikali kutoa pesa kuchangia makanisa.
Makanisa mbalimbali likiwemo Kanisa Katoliki, Takatifu la Mitume, ambalo makanisa yake...
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Steven Wasira, amesema kuwa sababu kuu iliyosababisha kuundwa kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964 ilikuwa ni kuhakikisha usalama na kudumisha amani ya...
Mheshimiwa Maximilian Iranghe, amesema shughuli za maendeleo jijini zinaenda kwa kasi 💨 kutokana na usimamizi bora wa Mkuu wa Mkoa, Mhe. Paul Christian!
Akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 61...
Haijalishi kwenye kampeni umejaza watu kiasi gani, wingi wa watu sio wingi wa wapiga kura. Kama hawajajiandisha hao ni watazamaji tu .
Haijalishi una sera nzuri kiasi gani ila ili sera zako...
Reform=mabadiliko
Resilience=ustahimilivu
Reconciliation=kuridhiana
Rebuilding=kujenga Upya
Sasa kumetokea kambi moja inayotumia maneno hayo kama vile ni maneno au tabia yao na wengine wanapata...
Katibu Tawala wa Wilaya ya Mvomero Said Nguya amewaasa vijana kuendelea kuilinda kwa wivu mkubwa amani iliyopo na kuwapuuza wale wote wanaotaka kuiyumbisha amani tuliyonayo kwa maslahi yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.