Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kisheria (De Jure) Bali ni De Factor?!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,466
113,551
Wanabodi,

Wakati mchakato wa kelekea kwenye Katiba Mpya unakwenda vizuri na sasa ni wazi tunaelekea kwenye serikali tatu, baada ya miaka hii 50 ya Muungano uliozaa Taifa la Tanzania, tufike mahali tujiulize hivi Taifa letu la Tanzania lipo kisheria (De Jure) au kimabavu tuu (De Factor)?!.

Andamana nami katika ziara hii fupi kukufanyia utambuzi wa uhalali wa Taifa la Tanzania kisheria ili kuwa taifa de jure, na pia kulijua taifa the facto.

  1. Ili taifa lolote liweze kuwepo, ule tuu uwepo wake wa being, likiwa na eneo na mipaka inayotambulika, ni tayari taifa hilo lipo, litambulike au lisitambulike, linakuwa lipo tuu, ila lisipotambulika, linakuwa japo lipo, ila ni lipo lipo tuu!. Hivyo Tanzania kama taifa, japo lipo kuhalali, kisheria Taifa la Tanzania lipo lipo tuu!.
  2. Ili taifa lolote liwepo kihalali kwa kisheria (de jure) au isivyo kihalali kisheria lakini lipo (de factor) taifa hilo lazima lijitambulishe Umoja na Mataifa na umoja huo ulipitishe rasmi kama Taifa.
  3. Tanzania nayo pia ilipitishwa rasmi kule UN kama Taifa huru, la Jamuhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mnamo tarehe 14 May, 1964 kufuatia kuwasilishwa kwa taarifa rasmi ya maandishi, Note Verbale toka kwa Balozi wa Tanganyika kwenye Umoja wa Mataifa, wakati huo, Chief Arasto Mang'enya na kuitambulisha United Republic of Tanganyika and Zanzibar. Wakati huo, jina la Tanzania halijaanza kutumika. Mwezi June Balozi Mang'enya aliteuliwa rasmi kuwa balozi wa kudumu wa Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar kwenye Umoja wa Mataifa, na mwezi September ndipo akawasilisha rasmi hati zake za utambulisho na jina rasmi la United Republic of Tanzania kuwasilishwa UN.
  4. Hii ni taarifa rasmi ya UN kuhusu kuungana kwa mataifa -MERGER OF MEMBER STATES, during the period under review, the issue of the merger of Member States arose in the United Nations in connexion with the formation of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, later called the United Republic of Tanzania. Tanganyika and Zanzibar, which had been admitted in the United Nations since 14 December 1961 and 16 December 1963 respectively, informed the Secretary-General by a note verbale dated 6 May 1964 of the following:
  5. Hiki ndicho kilichokuwemo ndani ya Note Verbale ile
    " . . . the Republic of Tanganyika and the People's Republic of Zanzibar were united as one Sovereign State on 26 April 1964, under the name of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar and under the presidency of Mwalimu Julius K. Nyerere. A copy of the said Articles of Union is enclosed herewith.
    "The Secretary-General is asked to note that the United Republic of Tanganyika and Zanzibar declares that it is now a single Member of the United Nations bound by the provisions of the Charter, and that all international treaties and agreements in force between the Republic of Tanganyika or the People's Republic of Zanzibar and other States or international organizations will, to the extent that their implementation is con- sistent with the constitutional position established by the Articles of Union, remain in force within the regional limits prescribed on their conclusion and in accordance with the principles of international law."
  6. On 14 M a y , the Secretary-General, at the request of the Government of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, communicated the note to all States Members of the United Nations, to the principal organs of the United Nations and to the subsiding organs of the United Nations to which Tanganyika or Zanzibar had been appointed or admitted, and to the specialized agencies and to the International Atomic Energy Agency, by a note verbale which included the following statement:
  7. Hili ndilo Tamko la Katibu Mkuu wa UN wakati huo, kulitangaza rasmi taifa la Tanganyika and Zanzibar (Tanzania) "The Secretary-General is taking action, within the limits of his administrative responsibilities, to give effect to the declaration in the attached note that the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, is now a single Member of the United Nations bound by the provisions of the Charter. This action is undertaken without prejudice to and pending such action as other organs of the United Nations may take on the basis of the notification of the establishment of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar."
  8. Hivyo msingi mkuu wa Taifa la Tanzania ni zile hati ambazo zimeelezwa kuwasilishwa na lile tangazo la Balozi, swali ni jee Hati hizo, ziliwasilishwa?, kwanini hazikuwasilishwa?, bila hati hizo Tanzania bado ni taifa?. Uhalali wa Tanzania kama Taifa bila hati ukoje?.
  9. Wakati wa Kipindi cha Rais Benjamin Mkapa nilibahatika kwenda UN, na nikaenda ubalozi wetu kunusa nusa tuu kama hizo hati zinaonekanika, nikashindwa kufuatia urasimu fulani. Wakati wa Kipindi cha JK nikaenda tena pale pale ubalozini, this time receptionist ni shemeji yetu (mke wa member mwenzetu wa jf), nikaomba appoinment kumuona balozi bila mafanikio!. Hata hivyo nilipokwenda maktaba ya UN, Note Verbale ile ipo, ila hakuna hiyo attachment ya Articles of Union!. Hivyo swali la kujiuliza jee kuna nini kuhusu hizi articles hadi zisiwepo?!.
  10. Ukweli ni kuwa au hiki kitu kinaitwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union" sio mkataba halali, (Contract) bali ni makubaliano tuu "agreement" ya Muungano, tofauti kati ya Mkataba (Contract) na Makubaliano (Agreement au MoU) ni kuwa mkataba uko kisheria zaidi una vipengele vya kisheria na unatawaliwa na sheria, (legal binding) wakati makubaliano yanategemea mapatano tuu na maelewano, hakuna legal binding ya mapatano japo yakisajiliwa kisheria yana legal binding ya kimapatano na sio kimkataba!. Jee kwa nini hizi "Articles of Union" naziita ni mapatano tuu na sio mkataba?!.
  11. Ili makubaliano yoyote yaitwe mkataba ni lazima yawe na sifa kuu 4 za mikataba, zinazoitwa vipengele, na kikikosekana kimoja wapo cha sifa hizo, then huo sio mkataba bali ni makubaliano tuu ambayo nayo ni halali ila sio binding kisheria.
  12. Makubaliano hayo ya Muungano yaani zile Hati za Muungano (articles of the Union), hazina zile sifa kuu 4 za mkataba wa kisheria (legal binding), hivyo Wanzanzibari wakiamua kuyavunja makubaliano hayo wakati wowote, they can just walk out, kwa sababu siyo legal binding!.
  13. Jee sifa hizo kuu 4 za mkataba wa kisheria ni zipi?!. (Hii sio thread ya contents za Hati za Muungano bali presence ya hati hizo). Ili kujua kwa nini hati za muungano sio mkataba bali ni makubaliano, then itakubidi unitembelee hapa!- Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano tuu?!.
  14. Kufuatia uwezekano wa Taifa la Tanzania kuwasilishwa kwa NV tuu kule UN, bila ya Mkataba wenyewe wa Mungano, hivyo ile nchi ya Tanzania iliyopo UN ni Tanzania De Facto na sio Tanzania De Jure. Tanzania bado ni nchi, iwe de jure au de facto bado ni nchi!. Yaani inchi yetu Tanzania, imekalia kiti chake cha UN kama nchi De Jure, kumbe infact Tanzania sio nchi De Jure, bali ni nchi De Factor, hivyo uanachama wenu UN kwa miaka yote hii, ni a big lie!. Tanzania we are an existing lie!, Tanzania, we are a living a lie and we continue living lie till to date!.
  15. Hivyo kufuatia huu mchakato wa katiba mpya unaoendelea, pia natoa wito kuwa sasa ni wakati muafaka, pia turekebishe makosa tulioyafanya huko nyuma, lets make things right kwa Tanzania kuwa na Mkataba halali kabisa wa Muungano ambao njia pekee ya kuupata ni kupitia referandum, hivyo wakati tukipiga kura ya katiba mpya, tupigie na kura ya referendum ya muungano wetu ili sasa kuuhalalisha huu muungano bandia uliopo!.

https://www.google.com/url?sa=t&sou...cQFnoECBgQAQ&usg=AOvVaw1rq5EAFapufDcpElW4fsdJ

Asanteni na Happy New Year!
Pasco.
 
Pasco uhalali wa mkataba upo mikononi mwa waliokatibiana na si vinginevyo, ndo maana UN hawana na hawakuwa na jinsi ispokuwa kuheshi makubaliano yetu "hata kama haikidhi matakwa ya sheria ya mikataba"

kwa maan hiyo ondoa porojo zako hapa.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Wakati mchakato wa kelekea kwenye Katiba Mpya unakwenda vizuri na sasa ni wazi tunaelekea kwenye serikali tatu,
baada ya miaka hii 50 ya Muungano uliozaa Taifa la Tanzania, tufike mahali tujiulize hivi Taifa letu la Tanzania lipo kusheria (De Jure) au kimabavu tuu (De Factor)?!.

Andamana nami katika ziara hii fupi kukufanyia utambuzi wa uhalali wa Taifa la Tanzania.

  1. Ili taifa lolote liwepo kihalali kwa kisheria (de jure) au isivyo kihalali kisheria lakini lipo (de factor) taifa hilo lazima lijitambulishe Umoja na Mataifa na umoja huo ulipitishe rasmi kama Taifa.
  2. Tanzania nayo pia ilipitishwa rasmi kule UN kama Taifa huru, la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo tarehe 14 May, 1964 kufuatia kuwasilishwa kwa taarifa rasmi ya maandishi, Note Verbale toka kwa Balozi wa Tanganyika kwenye Umoja wa Mataifa, wakati huo, Chief Arasto Mang'enya na kuitambulisha United Republic of Tanganyika and Zanzibar. Wakati huo, jina la Tanzania halijaanza kutumika. Mwezi June Balozi Mang'enya aliteuliwa rasmi kuwa balozi wa kudumu wa Jamuhuri ya Tanganyika na Zanzibar, na mwezi September ndipo akawasilisha rasmi hati zake za utambulisho na jina rasmi la United Republic of Tanzania.
  3. Hii ni taarifa rasmi ya UN kuhusu kuungana kwa mataifa -MERGER OF MEMBER STATES. During the period under review the issue of the merger of Member States arose in the United Nations in connexion with the formation of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, later called the United Republic of Tanzania. Tanganyika and Zanzibar, which had been admitted which in the United Nations since 14 December 1961 and 16 December 1963 respectively, informed the Secretary-General by a note verbale dated 6 May 1964 of the following:
  4. Hiki ndicho kilichokuwemo ndani ya Note Verbale ile
    " . . . the Republic of Tanganyika and the People's Republic of Zanzibar were united as one Sovereign State on 26 April 1964, under the name of the United Republic of Tanganyika and Zanzi- bar and under the presidency of Mwalimu Julius K. Nyerere. A copy of the said Articles of Union is enclosed herewith.
    "The Secretary-General is asked to note that the United Republic of Tanganyika and Zanzibar declares that it is now a single Member of the United Nations bound by the provisions of the Charter, and that all international treaties and agreements in force between the Republic of Tanganyika or the People's Republic of Zanzibar and other States or international organizations will, to the extent that their implementation is con- sistent with the constitutional position established by the Articles of Union, remain in force within the regional limits prescribed on their conclusion and in accordance with the principles of international law."
  5. On 14 M a y , the Secretary-General, at the request of the Government of the United Republic of Tan- ganyika and Zanzibar, communicated the note to all States Members of the United Nations, to the principal organs of the United Nations and to the subsiding organs of the United Nations to which Tanganyika or Zanzibar had been appointed or admitted, and to the specialized agencies and to the International Atomic Energy Agency, by a note verbale which included the following statement:
  6. Hili ndilo Tamko la Katibu Mkuu wa UN wakati huo, kulitangaza rasmi taifa la Tanzania
    "The Secretary-General is taking action, within the limits of his administrative responsibilities, to give effect to the declaration in the attached note that the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, is now a single Member of the United Nations bound by the provisions of the Charter. This action is undertaken without prejudice to and pending such action as other organs of the United Nations may take on the basis of the notification of the establishment of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar."
  7. Hivyo msingi mkuu wa Taifa la Tanzania ni zile hati ambazo zimeelezwa kuwasilishwa na lile tangazo la Balozi, swali ni jee Hati hizo, ziliwasilishwa?, kwanini hazikuwasilishwa?, bila hati hizo Tanzania bado ni taifa?. Uhalali wa Tanzania kama Taifa bila hati ukoje?.
  8. Wakati wa Kipindi cha Rais Benjamin Mkapa nilibahatika kwenda UN, na nikaenda ubalozi wetu kunusa nusa tuu kama hizo hati zinaonekanika, nikashindwa kufuatia urasimu fulani. Wakati wa Kipindi cha JK nikaenda tena pale pale ubalozini, this time receptionist ni shemeji yetu (mke wa member mwenzetu wa jf), nikaomba appoinment kumuona balozi bila mafanikio!. Hata hivyo nilipokwenda maktaba ya UN, Note Verbale ile ipo, ila hakuna hiyo attachment ya Articles of Union!. Hivyo swali la kujiuliza jee kuna nini kuhusu hizi articles hadi zisiwepo?!.
  9. Ukweli ni kuwa au hiki kitu kinaitwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union" sio mkataba halali, (Contract) bali ni makubaliano tuu "agreement" ya Muungano, tofauti kati ya Mkataba (Contract) na Makubaliano (Agreement au MoU) ni kuwa mkataba uko kisheria zaidi unavipengele vya kisheria na unatawaliwa na sheria, (legal binding) wakati makubaliano yanategemea mapatano tuu na maelewano, hakuna legal binding ya mapatano japo yakisajiliwa kisheria yana legal binding ya kimapatano na sio kimkataba!. Jee kwa nini hizi "Articles of Union" naziita ni mapatano tuu na sio mkataba?!.
  10. Ili makubaliano yoyote yaitwe mkataba ni lazima yawe na sifa kuu 4 za mikataba, zinazoitwa vipengele, na kikikosekana kimoja wapo cha sifa hizo, then huo sio mkataba bali ni makubaliano tuu ambayo nayo ni halali. Makubaliano hayo ya Muungano hayana zile sifa kuu 4 za mkataba. Jee sifa hizo kuu 4 za mkataba ni zipi?!. (Hii sio thread ya contents za Hati za Muungano bali presence ya hati hizo). Ili kujua kwa nini hati za muungano sio mkataba bali ni makubaliano, then itakubidi unitembelee hapa!- Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu!.
  11. Kufuatia uwezekano wa Taifa la Tanzania kuwasilishwa kwa NV tuu bila Mkataba wowote wa Mungano, hivyo ile nchi ya Tanzania iliyopo UN ni Tanzania De Facto na sio Tanzania De Jure. Ila kuwa inchi, Tanzania bado ni nchi, iwe de jure au de facto bado ni nchi!. Yaani inchi yetu imekalia kiti cha UN kama De Jure, kumbe infact ni De Factor, hivyo uanachama wenu UN could be a lie!. We are existing a lie, living a lie and continue lying!.
  12. Hivyo kufuatia huu mchakato wa katiba mpya, turekebishe makosa, lets make things right kwa Tanzania kuwa na Mkataba halali kabisa wa Muungano ambao njia pekee ya kuupata ni kupitia referandum, hivyo wakati tukipiga kura ya katiba mpya, tuupigie na muungano!.

Suala hili bado linahitaji uchunguzi wa kina na uthibitisho pasipo shaka, kwa vile mwakani nitakuwa na safari binafsi ya US, this time nitafanya juhudi za makusudi kupita tena Ubalozi wetu pale UN na kutembelea tena Maktaba ya UN kuziona hizo "Hati za Muungano!
Asanteni.
Pasco.
utakapofika huko tafadhali nipigie simu namba yangu ni 0766079901 ili tuwe tunawasiliana hatua kwa hatua mkuu
 
​Acha kupotosha! Uhalali upi unahitaji?! Kwanza unazungumzia sheria ipi na nani aliitunga?!
 
​Acha kupotosha! Uhalali upi unahitaji?! Kwanza unazungumzia sheria ipi na nani aliitunga?!

Mkuu tatizo la baadhi ya wasomi wetu muungano lazima uandikwe kwa kizungu kilichojaa maneno ya kilatini na kukubalika na walimu wa kizungu waliowafundisha darasani kuongea kizungu.

Babu yangu na bibi na baba yangu na mama yangu waliungana kuoana bila kuandikiana popote wala kusainiana popote lakini miungano yao ilidumu vizuri.

Muungano wowote ule uwe wa kuandikwa au kutoandikwa uwezeshe maisha ya watu kwenda hayo mambo mengine ya kilatini sijui DE JURE na DE FACTOR yanafaa kuyaongelea mtu akishalewa pombe za kizungu.
 
Wakati wabunge wa bunge letu la katiba wakikutana mjini Dodoma, kutuundia katiba mpya!, ni matumaini hii sintofahamu kuhusu uhalali wetu pia itapatiwa majibu ndani ya katiba mpya!.

Nawatakia majadiliano mema!.

Pasco.
 
Wanabodi,

Wakati mchakato wa kelekea kwenye Katiba Mpya unakwenda vizuri na sasa ni wazi tunaelekea kwenye serikali tatu,
baada ya miaka hii 50 ya Muungano uliozaa Taifa la Tanzania, tufike mahali tujiulize hivi Taifa letu la Tanzania lipo kusheria (De Jure) au kimabavu tuu (De Factor)?!.

Andamana nami katika ziara hii fupi kukufanyia utambuzi wa uhalali wa Taifa la Tanzania.

  1. Ili taifa lolote liwepo kihalali kwa kisheria (de jure) au isivyo kihalali kisheria lakini lipo (de factor) taifa hilo lazima lijitambulishe Umoja na Mataifa na umoja huo ulipitishe rasmi kama Taifa.
  2. Tanzania nayo pia ilipitishwa rasmi kule UN kama Taifa huru, la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo tarehe 14 May, 1964 kufuatia kuwasilishwa kwa taarifa rasmi ya maandishi, Note Verbale toka kwa Balozi wa Tanganyika kwenye Umoja wa Mataifa, wakati huo, Chief Arasto Mang'enya na kuitambulisha United Republic of Tanganyika and Zanzibar. Wakati huo, jina la Tanzania halijaanza kutumika. Mwezi June Balozi Mang'enya aliteuliwa rasmi kuwa balozi wa kudumu wa Jamuhuri ya Tanganyika na Zanzibar, na mwezi September ndipo akawasilisha rasmi hati zake za utambulisho na jina rasmi la United Republic of Tanzania.
  3. Hii ni taarifa rasmi ya UN kuhusu kuungana kwa mataifa -MERGER OF MEMBER STATES. During the period under review the issue of the merger of Member States arose in the United Nations in connexion with the formation of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, later called the United Republic of Tanzania. Tanganyika and Zanzibar, which had been admitted which in the United Nations since 14 December 1961 and 16 December 1963 respectively, informed the Secretary-General by a note verbale dated 6 May 1964 of the following:
  4. Hiki ndicho kilichokuwemo ndani ya Note Verbale ile
    " . . . the Republic of Tanganyika and the People's Republic of Zanzibar were united as one Sovereign State on 26 April 1964, under the name of the United Republic of Tanganyika and Zanzi- bar and under the presidency of Mwalimu Julius K. Nyerere. A copy of the said Articles of Union is enclosed herewith.
    "The Secretary-General is asked to note that the United Republic of Tanganyika and Zanzibar declares that it is now a single Member of the United Nations bound by the provisions of the Charter, and that all international treaties and agreements in force between the Republic of Tanganyika or the People's Republic of Zanzibar and other States or international organizations will, to the extent that their implementation is con- sistent with the constitutional position established by the Articles of Union, remain in force within the regional limits prescribed on their conclusion and in accordance with the principles of international law."
  5. On 14 M a y , the Secretary-General, at the request of the Government of the United Republic of Tan- ganyika and Zanzibar, communicated the note to all States Members of the United Nations, to the principal organs of the United Nations and to the subsiding organs of the United Nations to which Tanganyika or Zanzibar had been appointed or admitted, and to the specialized agencies and to the International Atomic Energy Agency, by a note verbale which included the following statement:
  6. Hili ndilo Tamko la Katibu Mkuu wa UN wakati huo, kulitangaza rasmi taifa la Tanzania
    "The Secretary-General is taking action, within the limits of his administrative responsibilities, to give effect to the declaration in the attached note that the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, is now a single Member of the United Nations bound by the provisions of the Charter. This action is undertaken without prejudice to and pending such action as other organs of the United Nations may take on the basis of the notification of the establishment of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar."
  7. Hivyo msingi mkuu wa Taifa la Tanzania ni zile hati ambazo zimeelezwa kuwasilishwa na lile tangazo la Balozi, swali ni jee Hati hizo, ziliwasilishwa?, kwanini hazikuwasilishwa?, bila hati hizo Tanzania bado ni taifa?. Uhalali wa Tanzania kama Taifa bila hati ukoje?.
  8. Wakati wa Kipindi cha Rais Benjamin Mkapa nilibahatika kwenda UN, na nikaenda ubalozi wetu kunusa nusa tuu kama hizo hati zinaonekanika, nikashindwa kufuatia urasimu fulani. Wakati wa Kipindi cha JK nikaenda tena pale pale ubalozini, this time receptionist ni shemeji yetu (mke wa member mwenzetu wa jf), nikaomba appoinment kumuona balozi bila mafanikio!. Hata hivyo nilipokwenda maktaba ya UN, Note Verbale ile ipo, ila hakuna hiyo attachment ya Articles of Union!. Hivyo swali la kujiuliza jee kuna nini kuhusu hizi articles hadi zisiwepo?!.
  9. Ukweli ni kuwa au hiki kitu kinaitwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union" sio mkataba halali, (Contract) bali ni makubaliano tuu "agreement" ya Muungano, tofauti kati ya Mkataba (Contract) na Makubaliano (Agreement au MoU) ni kuwa mkataba uko kisheria zaidi unavipengele vya kisheria na unatawaliwa na sheria, (legal binding) wakati makubaliano yanategemea mapatano tuu na maelewano, hakuna legal binding ya mapatano japo yakisajiliwa kisheria yana legal binding ya kimapatano na sio kimkataba!. Jee kwa nini hizi "Articles of Union" naziita ni mapatano tuu na sio mkataba?!.
  10. Ili makubaliano yoyote yaitwe mkataba ni lazima yawe na sifa kuu 4 za mikataba, zinazoitwa vipengele, na kikikosekana kimoja wapo cha sifa hizo, then huo sio mkataba bali ni makubaliano tuu ambayo nayo ni halali. Makubaliano hayo ya Muungano hayana zile sifa kuu 4 za mkataba. Jee sifa hizo kuu 4 za mkataba ni zipi?!. (Hii sio thread ya contents za Hati za Muungano bali presence ya hati hizo). Ili kujua kwa nini hati za muungano sio mkataba bali ni makubaliano, then itakubidi unitembelee hapa!- Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu!.
  11. Kufuatia uwezekano wa Taifa la Tanzania kuwasilishwa kwa NV tuu bila Mkataba wowote wa Mungano, hivyo ile nchi ya Tanzania iliyopo UN ni Tanzania De Facto na sio Tanzania De Jure. Ila kuwa inchi, Tanzania bado ni nchi, iwe de jure au de facto bado ni nchi!. Yaani inchi yetu imekalia kiti cha UN kama De Jure, kumbe infact ni De Factor, hivyo uanachama wenu UN could be a lie!. We are existing a lie, living a lie and continue lying!.
  12. Hivyo kufuatia huu mchakato wa katiba mpya, turekebishe makosa, lets make things right kwa Tanzania kuwa na Mkataba halali kabisa wa Muungano ambao njia pekee ya kuupata ni kupitia referandum, hivyo wakati tukipiga kura ya katiba mpya, tuupigie na muungano!.

Suala hili bado linahitaji uchunguzi wa kina na uthibitisho pasipo shaka, kwa vile mwakani nitakuwa na safari binafsi ya US, this time nitafanya juhudi za makusudi kupita tena Ubalozi wetu pale UN na kutembelea tena Maktaba ya UN kuziona hizo "Hati za Muungano!
Asanteni.
Pasco.
Kwa vile hii ngoma imeibukia kwenye bunge la Katiba, kauli kuwa Mkataba wa Muungano uko UN ni Uongo Mtakatifu!, Mkataba hauko UN, kilichopaswa kuwepo huko UN ni Copy tuu ya huo mkataba ambayo nayo haipo!.

Nawasisitiza wajumbe wenye kutaka kuijua kweli, wakomae, mkataba halisi kama upo, uletwe, watu waushuhudie!.

Niliwahi kuulizia hadi kule Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa!, sii mkataba walau hata copy!, hakuna!. Mhifadhi Mkuu (jina nalihifadhi) akalisema mkataba ulibaki kwa Mwalimu!, ila kwenye maktaba yake haupo!.

Pasco
 
Kwa vile hii ngoma imeibukia kwenye bunge la Katiba, kauli kuwa Mkataba wa Muungano uko UN ni Uongo Mtakatifu!, Mkataba hauko UN, kilichopaswa kuwepo huko UN ni Copy tuu ya huo mkataba ambayo nayo haipo!.

Nawasisitiza wajumbe wenye kutaka kuijua kweli, wakomae, mkataba halisi kama upo, uletwe, watu waushuhudie!.

Niliwahi kuulizia hadi kule Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa!, sii mkataba walau hata copy!, hakuna!. Mhifadhi Mkuu (jina nalihifadhi) akalisema mkataba ulibaki kwa Mwalimu!, ila kwenye maktaba yake haupo!.

Pasco

Umeeleweka Mkuu Pasco. Big up.
 
Last edited by a moderator:
Pasco ahsante uchambuzi mzuri ila mimi nataka kufahamu yafuatayo.
Zanzibar ilikua memba wa UN kama ulivo elezea na umeeleza ni balozi wa Tanganyika ndie aliyepeleka barua kwa UN juu ya kuitambulisha Jamhuri mpya ya Tanganyika na Zanzibar..sasa jee kuna ushahidi wowote ule kuonesha zanzibar walipeleka barua ya kujitoa ama kukubali kuwa uwakilishi au kiti chao kichukuliwe na jamhuri mpya ?
Jee jamhuri mpya ilio mba upya uanachama ? Au ni Tanganyika ilijitambulisha kama jamhuri ya muungano kwa kutumia kiti chake na namba yake ya usnachama ?
Nitafurahi kupata maelezo kama unayo
 
Last edited by a moderator:
Katiba ni sheria ni lazima turudi ktk mikataba ya muungano mtoa mada upo juu unaupeo mpana ....
 
Tutayajua mengi mwaka huu. Kweli hakuna uongo wa kudumu ila uko ukweli wa kudumu hata uufiche vipi.

Haya yote Zanzibar wanayajua vizuri,Ndio Maana wakaamua Kuichuna Tanganyika kwa kila hali ,ili siku mambo yakiwa wazi na muungano kuyeyuka Zanzibar abaki Kuwa Mjanja mbele ya Tanganyika , ingawa Mtanganyika Nyerere Ndio aliyetoa jina la Tanzania na likasajiliwa UN , lakini Baada ya Nyerere kufariki kila kitu kimebadilika,Zanzibar anatumia nafasi vizuri amejiimarisha kiutawala Ana kila kitu chake kuanzia katiba hadi Rais wake Kuwa Amiri jeshi wa Nchi ya Zanzibar .Haya yote yamefanyika kwa kutumia Pesa za Tanganyika huku Watanganyika wakiwa Wamezibaa saana,ni kweli huu muungano ni wa Makubaliano tu si muungano wa mkataba,Ndio Maana Zanzibar inaipelekesha Tanganyika watakavyo Hakuna wa kuwauliza.
 
Muungano huu wa Mdomo ni muungano wa Ajabu sana uliosalia Duniani,kwani muungano huu licha ya kudumu kwa miaka 50 ,ni muungano wenye Ukiritimba wa ajabu,mianya ya Mafisadi kujilia pesa za Umma kiulaini kwa kisingizio cha kumaliza kero za muungano, kero za muungano na mladi wa watu wachache ambao hawataki Amani ZNZ ili fungu la kumaliza Kero liendelee kupewa bajeti na wao huvuna hizo pesa kirahisi,hao watu hawataki kusikia Serikari 3 Maana zitakimbiza Ulaji wao.
 
Back
Top Bottom