Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naomba kuelimishwa maana Ruto katuvuruga sana huko Uchina. Nawatakia Union Day yenye furaha 😁🇹🇿
2 Reactions
11 Replies
673 Views
Mazingira, muundo, maudhui, mabaya, mapengo na mapendekezo kuhusu hotuba ya Rais Samia ya tarehe 25 Aprili 2025: Mazingira ya hotuba Hotuba ya Rais Samia imeandaliwa, na inapaswa kutathminiwa...
7 Reactions
16 Replies
2K Views
UTANGULIZINajitokeza kuandika walaka huu huku nikitambua ya kwamba Rais Nyerere alisema maadui watatu wa taifa ni ujinga ,maradhi na umaskini lakini mimi Kaberwa nasema maadui wetu ni uvivu,uoga...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Katibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito Keep waiting…. Britanicca
20 Reactions
111 Replies
20K Views
Mungu huweka serikali na viongozi kwa wakati na muda anautaka yeye. Warumi 13. Najuwa kuna watu hamuwezi kupenda ila leo natamani mjiulize ktk serikali ya hayati Magufuli idadi ya viongozi ndani...
28 Reactions
65 Replies
5K Views
Mwali tunae Oktoba na tunatamba nae. Hivyo kuanzia sasa hadi Oktoba Media zote, Wasanii, wananchi wote wapi upande wetu. Tupewe nini tena?
2 Reactions
7 Replies
816 Views
Tatizo la viongozi hawa Mama zetu ni kwamba wanaogopana wenyewe kuliko kuogopa viongozi wanaume. Tuone tu mfano wa huyu Mama Viongozi wote wanawake ambao yeye mwenyewe ndiye alikuwa anataka kuwa...
1 Reactions
5 Replies
719 Views
Makamu mwenyeki CHADEMA Bara Heche, ataongea na Wanahabari leo. Pia ataelezeza kinagaubaga kilichotokea na kinachoendea na kitakachoendelea. Nitakuwepo mbele kabisa...
17 Reactions
61 Replies
4K Views
1. John Pambalu, Mkurugenzi wa Mafunzo, Oganaizesheni na Uchaguzi. 2. Twaha Mwaipaya. 3. Lucas Ngoto mwenyekiti wa Chama kanda ya Serengeti. 4. Na wanachama wengine Wamepigwa na kuumizwa sana...
18 Reactions
287 Replies
16K Views
Tusimlaumu Raisi Samia pekee viongozi wa vyombo vya usalama TZ hawana Uzalendo Polisi na usalama kuiba kura wakati wameapa kulinda sheria huo ni uzalendo wa aina gani? Polisi na usalama kula...
10 Reactions
66 Replies
4K Views
Mambo vipi? Mimi kwa akili zangu tu ninavyoona watanzania wanaofuatilia kesi ya UHAINI inayomkabili kamanda TUNDU LISSU na kufikiri hataukumiwa kifungo cha maisha wote ni wajinga kwa sababu pale...
2 Reactions
2 Replies
444 Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya Chama Cha Mapinduzi UVCCM Taifa, CDE. Mohamed Kawaida amewataka Vijana nchini kutojiusisha na kuvuruga amani ya nchi tuliyonayo katika kipindi hiki cha...
0 Reactions
0 Replies
409 Views
Akitokea Kijijini Chato akapita Dodoma,akamwapisha Jaji mmoja aliyetoa hukumu kwa lugha ya kiswahili,ndani ya wiki mbili ndani ya Ikulu ya Dodoma akaota ndoto,kwa kiingereza wanasema "nightmare"...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Nilikuwa naongea na rafiki yangu yupo Kariakoo kuhusu kupigwa Kwa wanachadema waliokwenda kuhudhuria kesi ya Lissu kwenye mahakama ya Kisutu. Jamaa yangu huyo akaniambia CHADEMA wamejitakia...
9 Reactions
25 Replies
937 Views
Lucas Ngoto Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kanda ya Serengeti ni miongoni mwa walikamatwa nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam wakati akitaka...
1 Reactions
3 Replies
421 Views
"kuanzia saa tatu asubuhi niliwekwa kizuizini ndani ya gari mpaka saa moja na nusu usiku, ni tukio ambalo nalitafsiri kwamba polisi waliniteka na kuniweka kizuizini ndani ya gari mpaka saa moja...
6 Reactions
38 Replies
1K Views
Kinachotakiwa sasa kuwekewa mkazo sio tu katiba mpya ni mifumo ya kiuchaguzi bali na jeshi jipya, haiwezekani leo hii jeshi linauwa raia wasio na hatia bila huruma alafu alichukuliwi hatua zozote...
3 Reactions
11 Replies
610 Views
Leo mzee mmoja wa chadema, na mwanamke mmoja mwanachama hai wa chadema, wameongea na Wana habari, na kusimulia yaliyowakuta Jana, Jana watu walitekwa ,pigwa ,vunjwa miguu na wengine kupigwa na...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Huwezi kulala usiku, Asubuhi utoe zuio kama hilo, Bila kujua ni Bidhaa gan ' perishable goods ' ziko njiani kuelekea Nchi Jirani , na Zuio kama lake litagharimu Hasara kiasi gani. Pia soma...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Dr Nchimbi Amekuwa Mwenyekiti wa UVCCM, DC, Mbunge, Waziri, Balozi, Katinu mkuu wa CCM na inshara October atakuwa Makamu wa Rais wa JMT Songea hadi Mbambabay mbarikiwe sana kwa hii CV ya kijana...
0 Reactions
6 Replies
415 Views
Back
Top Bottom