Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Bora Waganda wametangaziwa kuzimiwa internet, sisi tulikuta tupo korokoroni, wakawaua watoto zetu kama nzige wakachimba mashimo wakawafukia kama takataka. Waganda wamezimiwa huku wakiwa na...
0 Reactions
1 Replies
96 Views
  • Redirect
Nianze kwa kuwapa pongezi nyingi sana DW Africa. Kazi waliyoifanya ya kuripoti mauaji ya Samia na askari wake ni muhimu sana katika safari ya upatikanaji wa haki na uwajibishwaji wa wote...
14 Reactions
Replies
Views
  • Featured
TAARIFA KWA UMMA Mnamo Septemba 6, 2025, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilisitisha Leseni ya Maudhui Mtandaoni ya JamiiForums na kuzuia upatikanaji wa jukwaa kwa siku 90, kwa madai ya...
114 Reactions
150 Replies
8K Views
  • Redirect
TCRA wanakueleza nini ukienda kulalamika? Kwanini wanafanya unyama kama huu! Najua mahakamani hakuna kitu. Sisi consumers wa JF news tujue.
2 Reactions
Replies
Views
Japo suala la Samia kufikishwa mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) bado halijafikia mwisho wake wala kujadiliwa. Je, Watanganyika tumejandaaje kama hii kitu itafanyika? Je...
6 Reactions
25 Replies
416 Views
Katika mawaziri wanaofanya kazi katika mazingira magumu ni Prof. Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Technolojia. Eti Wanu, mtoto wa Samia ndiye naibu wako! Wanu ambaye upeo wake wa kufikiri...
15 Reactions
51 Replies
1K Views
Waziri wa Habari, Paulo Makonda ameonesha nia nzuri ya kutaka Tanzania ifahamike kimataifa. Hata hivyo utaratibu aliouzungumza ili Tanzania iandikwe aljazeera, CNN na maeneo mengine ina walakini...
4 Reactions
17 Replies
324 Views
"Inawezekana watu wanakuwa na ujasisri namna hiyo kwa sababu wanajua watukuwa protected mnawezaje kuwa na ujasiri wa kupindisha uamuzi kwa kiwango hicho. Nimeambiwa hawa watu wako kazini mpaka...
0 Reactions
8 Replies
281 Views
Wakuu, Huyu hapa Makonda akiwa anawawashia moto wanahabari ambao wanamind vyombo vya habari ambavyo vinaripoti kero na changamoto za wananchi "Inafika mahala Watanzania wanaenda kulalamika kwa...
1 Reactions
5 Replies
343 Views
GT. Na Malisa. Wakati wa Magufuli IMF ilitoa takwimu kwamba GDP per capita yetu imepanda hadi $2,400 na tukaingia kwenye orodha ya nchi za uchumi wa kati (Lower middle Income). Leo IMF haohao...
12 Reactions
37 Replies
715 Views
JajiJoseph Sinde Warioba, waziri mkuu mstaafu amesema maisha yake yako hatarini. Anatishiwa kuuawa, lakini hana cha kuogopa. "Kuna watu wengi sana wanaoniletea ujumbe, kwamba mzee angalia...
26 Reactions
64 Replies
2K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chama kikuu cha upinzani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kilichoundwa kwa misingi ya demokrasia, heshima ya binadamu, utekelezaji wa katiba na...
2 Reactions
5 Replies
160 Views
Peter Madeleka, amekosoa utendaji wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na jeshi la polisi, akidai kuwa mchakato wa utoaji haki nchini umejaa migongano ya kisheria na matukio yanayovunja utu wa...
2 Reactions
5 Replies
191 Views
Kuikosoa Kufungwa kwa Mtandao na Kufichwa kwa Taarifa CHADEMA inalaani kwa nguvu jaribio lolote la kufunga, kupunguza au kuchezea upatikanaji wa mtandao na majukwaa ya mawasiliano ya kidijitali...
2 Reactions
6 Replies
118 Views
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetangaza rasmi muundo wa Kamati za Kudumu za Bunge, ikiwemo orodha ya Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wao, hatua inayolenga kuimarisha ufanisi wa shughuli...
3 Reactions
19 Replies
565 Views
Siku chache zilizopita, nilileta mada hapa niki-suggest Mbowe aacha kujitetea mbele ya hizi mahakama zetu kutokana na mwenendo mzima wa hii kesi. Leo hii kupitia You tube, nimemsikia Godbless Lema...
41 Reactions
221 Replies
57K Views
Nimekuwa nafuatilia mwenendo wa utawala huu wa awamu ya tano na nimekuja na "conclusion" kuwa Rais Magufuli anataka kuigeuza nchi hii ya Tanzania kuwa Mali yake binafsi na yeye anaamini kuwa...
36 Reactions
122 Replies
10K Views
Hongereni sana TEC kwa kusimama kwa ujasiri, weledi na uaminifu uliotukuka kwenye nafasi yenu kwa jamii hasa katika kutetea haki za wananchi za kisiasa, kiuchumi na kijamii. Hakika taasisi yenu...
14 Reactions
34 Replies
544 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…