Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika mazingira ya kisiasa ya sasa, ni muhimu kutambua kwamba chama cha siasa kinapokuwa na nguvu kubwa katika kuendesha serikali, kuna hatari kubwa inayoweza kutokea. Muundo wa chama na muundo...
1 Reactions
4 Replies
508 Views
Bunge la 12 Mkutano wa 19 Kikao cha 13 Aprili 28, 2025 https://www.youtube.com/live/_jDiHe_-CrU?si=bjV2q_LSc86UOyIn
0 Reactions
14 Replies
686 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeutaka upinzani kutozibeza Tume za Uchaguzi, INEC na ZEC, na kudai si huru wakati Chadema na ACT Wazalendo vimekuwa vikiongeza idadi ya viti vya Udiwani, Uwakilishi...
0 Reactions
4 Replies
426 Views
Katibu Mkuu wa Chama cha mapinduzi (CCM), Dkt Emmanuel Nchimbi amewataka Wabunge wenye nia ya kugombea watambuane na yeyote atakayeshinda au kushindwa amuunge mkono mwenzake. Dkt Nchimbi...
0 Reactions
1 Replies
288 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza...
2 Reactions
118 Replies
6K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo, Mtutura Abdallah Mtutura, amedai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitamani ACT Wazalendo kisusie uchaguzi, ili waweze kushinda kwa urahisi, lakini ACT...
1 Reactions
5 Replies
543 Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana ya Chama Cha Mapinduzi UVCCM, Mohamed Kawaida ameeleza kuwa anazo taarifa za baadhi ya asasi za kiraia na vyama vya siasa vinavyowapeleka Vijana wa Kitanzania...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
NIMEAMBIWA na mizimu ya kwetu kyaibumba niwambie yakuwa viongozi wa Dini hawaongei wakiwa KWENYE MILANGO ya Gest house Bali wanaongea wakiwa KWENYE Madhabau ambayo hata wao watawala hawawezi...
2 Reactions
1 Replies
416 Views
Nikiwa Chamazi Wafanyabiashara wenzangu kutoka DRC wamenipigia simu wakiomba niwasaidie kupata Hotel ya kujihifadhi, Wamelalamika kwamba Hotel zote za Kariakoo zimejaa, na kwamba kuna Wageni wengi...
23 Reactions
86 Replies
4K Views
Nchi nyingi nazani zote Mambo ya Vilabu vya mpira sana yako ngazi za vyama vya Soka vya nchi husika ingawa hata vyama vyama vya soka navyo havihangaiki sana na Vilabu bali timu ya Taifa kwa sababu...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Nimeona taarifa ya projection ya ukuaji wa kiuchumi wa nchi yetu inaonyesha tunakaribiwa kwa karibu sana na Uganda lkn tukiendelea kuachwa mbali sana na kaka zetu wakenya. Sisi ni mabingwa wa...
16 Reactions
65 Replies
2K Views
Rais naisi na Nina amini wewe na watu wako mna amani na HAKI mnayo lakini je Sisi raia tunatawaliwa kwa haki? Tunataka haki sio amani amani sie tunayoo
0 Reactions
11 Replies
418 Views
Vyama 12 vya siasa katika Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma vimetangaza kwa pamoja msimamo wao wa kushiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, wakipinga vikali kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
1 Reactions
10 Replies
759 Views
Naomba tu kuelimishwa kuhusu utajiri uliopitiza wa Mitume na manabii wa bongo Papa ni Mkuu wa Kansa Katoliki na Nchi ya Vatican lakini utajiri wake ilikuwa ni USD 100 tu Yaami Papa anayefanya...
5 Reactions
52 Replies
2K Views
WAZIRI KOMBO AWASILI NCHINI VIETNAM KWA ZIARA YA KIKAZI Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Hanoi, Vietnam kwa ziara...
0 Reactions
1 Replies
335 Views
Tunakumbushana tu kabla ya kwenda kulala Rais Samia atashinda bila msaada wa Chawa yoyote Mlale unono 😁🇹🇿
3 Reactions
7 Replies
308 Views
Maana uongozi mpya wa chadema umewakatisha ndoto, matamanio na matarajio yao ya kiasia waliojiandaa na kuvumilia kuyatimiza kwa muda mrefu sana ndani ya chadema. Leo hii ghafla, na kwa makusudi...
3 Reactions
57 Replies
2K Views
Bi sagrada ni kiongozi wa kitaifa ! Ni mwanamke aliyepokea kipigo kitakatifu mbele ya makamu mwenyekiti wa CHADEMA na ujumbe wake ndani ya eneo la ukumbi wa mikutano hapo njombe mjini !! Bi...
4 Reactions
50 Replies
2K Views
Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya ndugu wanaJF. Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda. Baada ya CCM kumpigia Mbowe kelele kwa muda mrefu kwa sababu za kuchakachua...
14 Reactions
44 Replies
2K Views
Mpka sasa hivi CCM wakitaka wabaki madarakani wazingatie yafuatayo. 1. Waufute mfumo wa kutumia CHAWA kwasababu wamekinaiwa na wananchi na hawapendwi tena kwahiyo hawana ushawishi no more. 2...
2 Reactions
5 Replies
438 Views
Back
Top Bottom