Zilitumika South Afrika na Marekani na kusaidia kuiambia dunia unyama uliokuwa unaendelea.
Watu wameumwa na mbwa Kisutu, wako kwenye sindano za siku tano za kichaa cha mbwa.
Vyombo binafsi...
Maana chadema is no more, sote ni mashahidi.
Na wanachadema wote nchini wamekata tamaa kabisa, na wanajuta kupindukia kuchagua uongozi uliokosa mipango na maono ya kisiasa na kusababisha kuangusha...
Askofu kibwetere alikuwa na wafuasi wake waliokosa maarifa na kumtegemea yeye kwa kila asemalo bila kupima madhara yake mwisho wa siku akawafungia kanisani na kuwachoma moto wakaangamia kwa kukosa...
Leo siandika kama mtu mstaarabu... naandika kama raia aliyekasirishwa Nchi hii imegeuzwa ya familia chache huku viongozi wetu wanafanya maamuzi ya kijinga
Unajua kinacho umiza zaidi? bado...
Bro, sis, listen up!
Ninasema haya kwa hasira, straight from the heart, no sugarcoating.
Vijana wa Tanzania, bado hamjaimaliza shule! Msidanganyike! Kusoma sio tu kupata vyeti, kusoma ni...
Na Rev. Eliona Kimaro
Hatuna shida kubwa ya amani tuna shida kubwa ya haki, haki inahitajika sana
Hapatakuwa na amani kama hakuna haki, ukiona amani ipo mahali ujue ni kazi kubwa ya haki...
Wakili Jebra Kambole kupitia ukurasa wake wa X anaandika;
"Polisi wamefika nyumbani kwa wakili Tundu toka Usiku wanataka kupekua uhaini wa maneno! Tumieni akili kidogo unaendaje kupekua nyumbani...
RAIS SAMIA AVUTIA UWEKEZAJI WA TRILIONI 1.4 - MADINI
▪️Mradi wa ujenzi wa mgodi kugharimu Trillioni 1.4
▪️Dhahabu ya kwanza kuanza kuzalishwa robo ya kwanza ya Mwaka 2027
▪️Rais Samia apongezwa...
Baada ya kuufutilia mzozo huu ambapo siyo siri pana wengi wamepoteza maisha, wengi wamepotezwa na sasa waziwazi wengi wameumizwa na wengine akiwamo TAL, bayana wapo magerezani:
Kwamba tatizo ni...
Namba hazijawahi kudanganya, kwa mujibu hati ya mashitaka ,Mbowe ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, kwa mashitaka kadhaa huku Mbowe akikabiliwa na mashtaka mawili, hawa wote wako rumande na...
Kupitia ukurasa wake wa X, mjumbe wa kamati kuu Chadema Godbless Lema ameanduka:
"Napewa na Kusoma TAARIFA kuwa natakiwa kuuwawa , nafikiri siogopi kwa sababu Ninamjua Mwenyezi Mungu...
Kitendo cha Jeshi la Polisi kupiga wafuasi wa Chadema na wengine kutupwa porini Mabwepande baada ya kujeruhiwa na kuvunjwa miguu na mikono kamwe hakiwezi kuiacha nchi salama!
Pia soma: Pre GE2025...
Nimeona clip ya Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Wasira katika akaunti ya Godbless Lema kwenye mrandao wa X ambapo Wasira anasikika akisema maneno haya:
"CCM haitatoka madarakani mpaka Yesu...
Nimekutana na aliyekuwa msimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji wa mwaka 2024 ambaye ni mkuu wa shule mojawapo katika mkoa wa tabora, kwa masikitiko makubwa ameeleza namna viongozi wa...
1. CCM Haijakidhi Mahitaji ya Wananchi Wengi
Kwa muda mrefu, CCM imekuwa madarakani, lakini maisha ya Watanzania wengi bado yamejaa changamoto kubwa:
Ukosefu wa Ajira: Vijana wengi, ambao ndio...
Katika Uislamu, kuna hadithi maarufu sana inayosema kuwa kiongozi muadilifu atapata thawabu kubwa Siku ya Kiyama. Mtume Muhammad (SAW) amesema:
"Watu saba watapata kivuli cha Mwenyezi Mungu siku...
Wakuu mnaoulizaga ni wapi Rais anapata pesa anazogawa ama ruzuku anazotoa
===
Hussein Bahe akizungumza kwenye uzinduzi wa benki ya ushirika Dodoma, leo Aprili 28, 2025 amesema kuwa wanaouliza ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.