Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Loh! Pesa nitoe mfukoni kwangu, nikununulie RUNGU Ili unilinde, nikununulie boots, nikupe silaha, nikulipe mshahara, Kisha unigeukie na kutumia silaha hizo hizo kunidhuru Mimi bosi wako! Nauliza...
5 Reactions
19 Replies
633 Views
1. Hii Migomo inaonyesha wafanyabiashara Kariakoo na kwingineko wanaleta mchezo kwenye kulipa kodi. 2. Inafaa Sasa TRA libadilishwe kuwa Jeshi Usu kama taasisi za Maliasili, Misitu. 3...
7 Reactions
20 Replies
1K Views
Akitoa elimu ya Uraia na Katiba Mpya kwa Wananchi wa Kigoma kwenye Uwanja wa Mwanga Center , Mh Lissu amesema kwamba wananchi wa mipakani wanapohoji masuala ya nchi yao , ama wanapounga mkono...
14 Reactions
52 Replies
5K Views
Wataalamu wa ubashiri na nyota na pia jamii ya wana intelligensia tumeyasikia matukio haya mabaya yaloyotokea Ndani ya nchi hizi jirani. Ikumbukwe mwaka 1998 kuliwahi kushuhudiwa mashambulio ya...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Bandiko kutoka X LA PADRI KITIMA LINATEGUA KITENDAWILI CHA MUDA MREFU Walianza kuwamwagia tindi kali kina Sheikh Soraga kwa lengo la kufitinisha na kuwagawa Wazanzibari. Wakamuua Padri Mushi...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Rais Samia alitoa fursa kwa vyama vyote kukaa chini ya uenyekiti wa Prof Mkandara na kutoa mapendekezo ya reforms zote ili serikali itekeleze Mbowe na Chadema wakakataa kwa madai kuwa wao ni...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Chonde chonde kwenye inada zetu za Jumuiya kesho jumamosi tufanye Sala na kutawanyika kila mmoja nyumbani kwake Ukristo ni Upendo, Msamaha na Furaha Tumsifu Yesu Kristo 😁😁
0 Reactions
32 Replies
829 Views
Mkurugenzi wa Taasisi ya Twende Pamoja na Mama Sports Promotion Mohamed Haji amefunguka dhamira ya kufanya Dua maalum Kizimkazi Zanzibar, na kusema kuwa Dua hiyo ni kumshtakia Mungu kuendelea...
1 Reactions
8 Replies
626 Views
Jakaya Kikwete -Mlimuita mpole John Pombe Magufuli -Mkasema dikteta Samia Suluhu Hassan-ndio mnataka kumtafutia jina Ushauri: Kaeni chini na Mbowe mjipange upya ni namna gani mtaweza kuushawishi...
7 Reactions
48 Replies
1K Views
Kwa jinsi hali ya uhuru wa kisiasa unavyoendelea kuminywa nchini kuna kila sababu ya kujisikia kutawaliwa kidikteta.
6 Reactions
16 Replies
980 Views
Kuna kila na strong justification sababu ya kuimarisha Ulinzi wa Askofu bagonza kwa msimamo wake wa kutetea HAKI. Yaliyotokea kwa Fr. Kitima hayako mbali naye kwa msimamo wake wa kiroho kutetea...
6 Reactions
9 Replies
806 Views
GT Nimepiga hesabu zangu zinakataa katakata uchaguzi haupo, Nimepiga ramli, nimeongea na wazee lakini wapi mababu wanasema mwaka huu mgumu sana. Sijui huko Mbeleni kitatokea nini ila uchaguzi...
2 Reactions
7 Replies
539 Views
Baada ya kuelezwa Kuwa Kifo ni Kifoo, na hiki cha Mzee Kibao ni Kifo Tu, Kwa nini hicho kina kelele Sana. Na tukapewa mlinganisho wa Mtoto wa Shule Kwa walioendelea kapiga risasi na kuua wenzake...
2 Reactions
7 Replies
769 Views
MBUNGE LUCY SABU: DKT. SAMIA ANA KURA ZA KISHINDO SIMIYU Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa kutokea Mkoa wa Simiyu, Lucy John Sabu amesema kuwa kutokana na maendeleo makubwa aliyofanya Rais wa...
0 Reactions
1 Replies
380 Views
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Frank Kailembo amekemea wanasiasa wanaowasemea watumishi wa umma na kueleza kuwa yapo majukwa na taratibu za kisheria zinazowapa mwanya...
0 Reactions
8 Replies
599 Views
Kwa sababu ya tatizo kubwa la ajira the vijana wanaomaliza vyuo hoja ya waziri mkuu Majaliwa inahitaji mjadala wa kina zaidi badala kupuuzwa kwa sababu ya kutoeleweka kwake na hasira ya...
12 Reactions
25 Replies
1K Views
Kufanya kazi sekta binafsi nchi hii ni zaidi ya kuwa mtoto yatima hawana mtetezi, kamishna wa kazi yupo tu km bendera. Kuna maeneo km vyuo vikuu binafsi wahadhiri wana mishahara midogo kuliko...
0 Reactions
1 Replies
420 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nikiangalia namna Rais Samia anavyoongoza Taifa letu katika muelekeo sahihi na wenye kuleta matumaini. Nikiangalia namna maendeleo makubwa na mambo makubwa yaliyofanyika...
1 Reactions
77 Replies
2K Views
Ieleweke wazi kuwa Kanisa Katoliki halifanyi siasa ila kuna baadhi ya mapadre na maaskofu ndio wanafanya siasa sio wote Wengine wako kwenye shughuli zao za kitume hawahangaiki na siasa Kusema...
1 Reactions
6 Replies
308 Views
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema mtu yeyote asiwagombanishe wananchi kwa sababu wakigawanyika hakuna maendeleo yanayoweza kufanikiwa. Shigongo amesema atatangulia mbele ya wananchi...
0 Reactions
5 Replies
445 Views
Back
Top Bottom