Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nchi kwa sasa inajiendesha yrnyewe na imefila kwenye ile formulae ya survival of the fittest. Kama huauko fit kujilinda basi unatekwa na wasiojulikana au hakuna anayekujali kabisa as if serikali...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Tuwe tu wakweli tangu alipoingia mzee Mkapa madarakani CCM ilia za kutumia maguvu kutokana na aina ya Siasa za Upinzani zilivyo Hakuna Rais atakubali CCM Ifie mikononi mwake Kanisa linapiga...
0 Reactions
3 Replies
211 Views
Mara nyingi mambo unayoona yanatokea hapa bongo ujue wanaigilizia pahala fulani Jaribu kufuatilia matokeo ya Uchaguzi unaoendelea UK ndio utajua Chadema wanacopy mbinu mikakati kutoka huko...
0 Reactions
3 Replies
270 Views
Wanachama 44 wa CCM na CUF katika Kijiji cha Namiungo Wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wamejiunga na Chama cha ACT Wazalendo mbele ya Katibu Mkuu wa chama hicho Ado Shaibu jana tarehe 1 Mei 2025...
1 Reactions
0 Replies
280 Views
Raisi wa Finland Mwezi huu atavisit nchi kafhaa za Africa ikiwemo Tanzania, sasa tunataka afikiria mara mbili mbili kujusu kuvisi Tanzania make nchi isha haribika imekuwa nchi ya kuuana na...
3 Reactions
4 Replies
560 Views
Ndugu zangu Watanzania, Muwe Mnaelewa tunaposema ya kuwa CCM ndio chama chenye uchungu na Maisha ya kila mtanzania, ndio chama chenye kujali watu pasipo ubaguzi ,ndio chama chenye huruma ,upendo...
4 Reactions
225 Replies
8K Views
* Asema unampigia debe mmoja wa wanasiasa nchini * Aonya walio chini yake kutojiingiza, Tume yasema ni hatari NA MWANDISHI WETU MKUU wa makanisa ya Evangelistic Assemblies of God Tanzania...
3 Reactions
168 Replies
26K Views
Fuatilia kinachojiri kwenye Maadhimisho ya siku ya Mei Mosi Kitaifa, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha, leo Mei 1, 2024 https://www.youtube.com/live/ou5SjfKQdUs?si=ZGhP6q5GsAM4R5SS Maadhimisho...
3 Reactions
134 Replies
14K Views
Tunaomba mama siku ya sherehe za siku ya wafanyakazi uje umejipanga. Hujawai ongeza mishahara tangu umeingia madarakani. Mwaka huu Tunaweza Fanya mabadiriko
0 Reactions
37 Replies
2K Views
Utangulizi Mei Mosi ni siku ya kimataifa ya wafanyakazi, inayotumika kutambua, kusherehekea, na kuangazia mchango muhimu wa wafanyakazi katika maendeleo ya taifa. Katika Tanzania, siku hii...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Usiku unazidi kuwa mzito, sio tu kwa sababu ya giza bali kwa ukimya wa kiongozi wetu mkuu! Zaidi ya saa 24 zimepita tangu Katibu Mkuu wa TEC, Padre Kitima, kuvamiwa na kuumizwa kinyama — lakini...
2 Reactions
6 Replies
470 Views
Ukitaka kujua kuna total confusion na disorganisation ndani ya taasisi flani basi tazama namna wanavyoenenda katika siku muhimu za kitaifa kama leo. Wafanyakazi ni kundi muhimu sana la wapiga...
5 Reactions
76 Replies
4K Views
Kuhujumiwa 1. Kwamba kuna watu wanafanya mambo mabaya ili aonekane mbaya My take: If that is the case a) Ina maana hana taarifa kuwa jambo fulani baya limetendwa na fulani mteule wake na kwa akii...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimeona kule Citizen tv Wafanyakazi wa Kenya wakimpongeza Rais Samia kwa kuwajali Wafanyakazi na kuwaongezea mshahara kwa 35% Wamedai kuwa wao waliomba nyongeza ya 6% tu lakini imeshindikana...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
. Breaking News: Tumepokea taarifa muda huu kuwa Father Dr. Charles Kitima ameshambuliwa usiku huu nyumbani kwake na kujeruhiwa vibaya. Hali yake si nzuri, na hii ni habari ambayo inatia hofu...
24 Reactions
78 Replies
4K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Rais Samia analeta raha sana kwa Taifa hili. Huyu Mama ni neema na nuru kwa hili Taifa. Mama Samia Ni Taa na Mwanga gizani. Yaani kwa hakika kama siyo katiba...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Jiulize wewe mwananchi wa kawaida unayeishi Mbagala, Mbuye , Gongo la mboto na Kasagala je upo salama? Matumizi ya dola....
0 Reactions
1 Replies
332 Views
Inaonekana na inataka kuzoeleka kuwa wale waliokuwa vilaza na viazi darasani ndio wanapambana kujionesha kwenye mitandao kama ndio wenye akili na wenye mafanikio. Nawaasa vijana wote mliomo humu...
2 Reactions
12 Replies
583 Views
Tumeona vipande vya Mahojiano kati ya mwandishi Millard Ayo na Mtoto wa aliyewahi kuwa kiongozi Mkuu nchini. Jambo hili ni la kipekee na kihistoria nchini. Humu jamvini na mtandaoni tuliwahi...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Niende moja kwa moja kwenye mada. Naona kila kitu imekuwa ni Samia. 1. Madaktari wa Samia 2. Waalimu wa Samia 3. Mitungi ya gas ya Samia 4. Wanasheria wa Samia 5. Shule za Samia 6. Ongezea na...
2 Reactions
11 Replies
609 Views
Back
Top Bottom