Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hizi haki anazolilia Prince Charles ingekuwa hapa Tanzania Chadema wangeongea sana Haki za Wajukuu Harry yuko mubashara BBC anahojiwa Ahsanteni sana 😁🇹🇿
0 Reactions
1 Replies
264 Views
== Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika Kipindi Cha One on One Cha Wasafi TV amesema haya, " Tanzania katika miaka 25 ijayo...
10 Reactions
123 Replies
4K Views
Mbowe akiwa kwenye mkutano wa waandishi uliohudhuriwa na wanachama wa CHADEMA asema wataanza na kampeni ya Samia Must Go ikiwa hakutakuwa na uwajibikaji kwenye matukio ya utekaji. Mbowe pia...
43 Reactions
273 Replies
15K Views
Tarehe 14/2/2018 Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) walitoa Waraka uliokuwa maalumu kwa ajili ya Kwaresima na Sikukuu ya Pasaka. Waraka huo ulisainiwa na Maaskofu 35 toka Tanzania nzima ulikuwa na...
8 Reactions
24 Replies
3K Views
Hakika yajayo yanafurahisha. Kumeanza kupambazuka na giza linaanza kutoweka taratibu.... Sikiliza namna Padre Mchunguzi anavyomkosoa Rais Samua katika namna ya kumuona mtu asiye na ufahamu na...
5 Reactions
12 Replies
957 Views
Nilisema jana Taifa linaangamia kwa ujinga. Ni mwendo wa Uchawa, Mbona Jk, Mkapa na Mwinyi huu ujinhahaukuwepo? Au walikuwa washamba sana? Hii ni singida. Hii ni Kenya jikwaa kuu lina rangi za...
9 Reactions
79 Replies
5K Views
Ni hatari sana kuchanganya dini na siasa - Steve Nyerere Msanii wa filamu na Mwenyekiti wa Mama Ongea na Mwanao Steve Nyerere amekemea vikali tabia ya viongozi wa dini ambao wanaacha kuwaombea...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Changamoto kubwa kuliko zote ya kazi ya siasa ni uvumilivu wa kukosolewa, wakati mwingine hata kuvunjiwa heshima. Ni wazi kuwa ushindani wa kisiasa haupo tu katika uwezo wa kuandaa na kuinadi...
4 Reactions
10 Replies
622 Views
◾PPPs to enable delivery of efficient, cost-effective public services ◾ Executive Director of Tanzania's PPP Centre, David Kafulila, wants to harness private sector technology and innovation ◾PPP...
13 Reactions
68 Replies
3K Views
Serikali zilizoko madarakani huwa hazikubali kuachia madaraka kiurahisi, kwa sababu nyingi sana, mojawapo ni kulinda yale mabaya waliyoyafanya wakiwa madarakani kama kuteka watu, kujeruhi, kuua...
10 Reactions
14 Replies
780 Views
Kuna msemo wa Kiswahili ambao Masikini wanautumia sana, unasemwa hivi, "ukiwa muongo usiwe msahaulifu" Msemaji wa Polisi Nchini Tanzania anasema kwamba aliyekuwa anatafutwa "kutekwa" siyo Lusako...
12 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakuu, Safari hii wamebonyeza namba nyingine, kitaeleweka tu🌚. Balozi wa Sweden, Ireland pamoja na EU wakemea shambulio la Kitima. Wataka uchunguzi wa kina ufanyike na wahalifu kukamatwa na...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Nadhani CCM na viongozi wake kwanza watoke kwenye imani hiyo, inatakiwa iamini kwamba ni sawa na mzazi anaye zaa watoto wengine ni warefu na wengine wembaba na wanene wapo ila wote ni watoto wa...
1 Reactions
1 Replies
296 Views
Polisi wenye silaha wadaiwa kuvamia ofisi za Taasisi ya Reachout Tanzania zilizopo maeneo ya Makumbusho jijini Dar es Salaam, wakidai kumtafuta Mwanasheria wao Lusako Alphonce, ambaye hakuwa...
11 Reactions
165 Replies
10K Views
Awali ya yote naungana na wote waliopaza sauti za kulaani tukio hili la kikatili, kinyama na linalotishia uhuru na usalama wa raia wema wakiwemo watetezi wa haki za kibinadamu, utawala bora, uhuru...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Chadema chama ambacho ni kama kijiwe cha kupiga story kisichokuwa na strategy yeyote ile Namna chadema wasichojua wanachopigania angalia hiki kisa "kifo cha magufuli- baada ya tetesi za kuwepo...
0 Reactions
8 Replies
585 Views
Kama ingelikuwa ni kuweka wazi hisia za watu, if am asked to put clear all the sentiments ambazo zipo katika vinywa vya watu, yafuatayo ningeweza pia kuyasema, la kwanza, Mnakumbuka Rais wa sasa...
0 Reactions
9 Replies
607 Views
Nadhani sasa kupitia changamoto iliyomkuta Padre Kitima nimepata majawabu ya maswali yote mawili yaani langu na la mchungaji Erasto Ila shehe Hussein Yahya tukiwa msibani kwa shehe wa msikiti wa...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Yaani bro, let’s keep it 100—sio kwamba hatujui kinachoendelea kwenye hii nchi, au hatujali siasa… we know everything, tupo macho, but truth be told hatuna muda na hizo stress. Life yenyewe ni...
4 Reactions
10 Replies
497 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka viongozi wa kisiasa hususan wabunge kutojisikia vibaya pindi watu wengine watakapoingia kwenye nafasi zao, kwani ni jambo la kawaida.
1 Reactions
3 Replies
533 Views
Back
Top Bottom