Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MAKUSANYO VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA YAMEONGEZEKA Makusanyo ya fedha kutoka kwenye vituo vya kutolea huduma za afya yameendelea kuongezeka katika kipindi cha Serikali cha awamu ya sita...
0 Reactions
2 Replies
389 Views
KWa kupokea kwenu hiyo zawadi sisi tuna jipa maswali yafuatayo:- 1. Vipi mtatetea tena haki..? 2. Mtakemea kama mwanzo..? 3. Kwanini mkapokea..? 4. Ukimkataa shetani huwa unamkataa na mambo...
9 Reactions
48 Replies
2K Views
Jana katika kikao chao na Waandishi wa Habari, Mawakili wa Tundu Antipass Lissu anayetuhumiwa kwa makosa ya Uhaini na Uchochezi waliutaarifu Umma wa Watanzania rasmi kuwa Tundu Lissu aliyepo...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Tangu mwaka 1995 mpaka Leo CCM imekuwa ikihangaika na kuua upinzani. Walianza na NCCR na kufanikiwa kuiua. Kwa bahati mbaya ikaibuka CUF ikawa na nguvu mpaka wakasingiziwa kufanya siasa za...
2 Reactions
7 Replies
547 Views
#IkuluWIkiHii Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika wiki hii.
0 Reactions
3 Replies
501 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimelaani Shambulio la kupangwa dhidi ya Katibu wa TEC Father Charles Kitima lililokusudia kutoa Uhai wake. Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote Duniani...
18 Reactions
67 Replies
4K Views
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Kenani Laban Kihongosi amewataka Wazazi Mkoani humo kuwaepusha na kuwakanya Vijana wao kujiepusha na wanasiasa wanaotaka kuwatumia kuvuruga na kuharibu amani ya Tanzania...
0 Reactions
2 Replies
423 Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, huduma za matibabu zimeimarika kutokana na kuboreshwa kwa hospitali za...
1 Reactions
5 Replies
402 Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeonya watendaji na viongozi wake wanaohujumu mchakato wa kura za maoni za kupata wagombea wa nafasi za ubunge, uwakilishi na udiwani. Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Dk...
0 Reactions
3 Replies
449 Views
Jana nimetembelea ile beach aiseee nimeshangaa sana Kwani yamebaki magofu tu ukiondoa ile Dynasty Hata Sebule ya Ununio iliyomilikiwa na Maokola Majogo Waziri mstaafu imebomolewa Naibu Meya na...
1 Reactions
22 Replies
988 Views
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi. Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye...
42 Reactions
230 Replies
12K Views
Bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 05 Mei, 2025 kushiriki vikao vya Bunge la Bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026, ambapo leo atawasilisha Mpango na makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha...
0 Reactions
4 Replies
629 Views
Nikikumbuka miaka ya nyuma kuanzia kwa Kikwete na Magufuli hali ni tofauti na sasa. Watu hawana tena shahuku ya kujipanga barabarani kushuhudia msafara kama enzi zilizo pita hapo nyuma kidogo kwa...
0 Reactions
2 Replies
596 Views
Katika kumbukizi ya Miaka minne ya kifo cha Magufuli yaliyoazimishwa Wilayani chato, Binti wa HAYATI Magufuli, Jesca alihutubia mamia ya wanacchi waliohudhuria katika Ibada hiyo. Moja ya sehemu...
9 Reactions
90 Replies
6K Views
Kwa Nguvu ya CCM Hata LISSU awe Makamu Mwenyekiti wa CCM hana madhara (Debe tupu).
3 Reactions
18 Replies
928 Views
Wakuu, Taasisi ya Transparency International imeorodhesha nchi zinazoongoza kwa rushwa duniani na kwa Afrika Mashariki Tanzania inashika namba 2 kama nchi ambayo ina rushwa kidogo zaidi katika...
5 Reactions
55 Replies
3K Views
Makamanda Mbeya wamechafukwa: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya wameamua kufanya maandamano ya amani ya kwenda katika ofisi za kamanda wa polisi mkoa Mbeya ili kufahamu nini hatima...
27 Reactions
86 Replies
6K Views
Ndugu zangu Watanzania, Chuma cha Reli, Mwamba Mwenyewe ,Nguli wa Siasa na Jabali la siasa Stephen Wasira Makamu Mwenyeki wa CCM Taifa Ametua kibabe kwelikweli katika uwanja wa ndege wa Songwe ...
6 Reactions
118 Replies
5K Views
Haya yanayoendelea katika nchi za Kiafrika, UONEVU, UDIKITEITA, KUUA WAPINZANI , KUKOSA DEMOKRASIA na mengine ya aina hiyo, yaliifikisha dunia na Ulaya katika vita ya wenyewe kwa wenyewe... World...
1 Reactions
0 Replies
247 Views
Umoja wa Wachimbaji kwenye mgodi wa Namungo uliopo kwenye wilaya ya Ruangwa Mkoa wa Lindi wamejitokeza na kuamua kumuunga mkono Rais wa Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kwa kumlipia fomu ya Urais...
6 Reactions
56 Replies
2K Views
Back
Top Bottom