Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

https://www.youtube.com/live/EV0n0sLG1Zs?si=A_fxrMIQec4ggyrP Mkutano wa Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Omar Said Shabani na Wanahabari, ofisi za Chama Vuga Mjini Unguja...
0 Reactions
7 Replies
869 Views
Kijana ana vimbwanga sana === Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) amehutubia maelfu ya Wananchi wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga akiingia kwa staili...
0 Reactions
8 Replies
900 Views
20 February 2023 Arusha, Tanzania Jaji Imani Daudi Aboud Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yenye makao yake Arusha. Leo ameziasa nchi wanachama kutekeleza hukumu...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Lindi na Mtwara zina utajiri mkubwa sana wa Gesi na mazao ya Korosho Wana Chokaa ya aina mbalimbali Imewahi kutoa Mkuu wa Nchi Imetoa Wabunge wa Upinzani kupitia Chadema na CUF Kwanini Mikoa...
17 Reactions
127 Replies
6K Views
67% kuchangiwa na sekta Moja tu ya Bandari ni jambo jema sana Hiyo 33% ikachangiwa na Sekta ya Utalii na Gesi Tanganyika Tutakuwa kama Qatar Tuombe uzima wa watoto na wajukuu zetu!
8 Reactions
58 Replies
3K Views
Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu, Jaji Joseph Warioba akitoa maoni katika kongamano la kitaifa kuhusu uchaguzi mkuu wa 2025 lililoandaliwa na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)...
27 Reactions
93 Replies
6K Views
Hii ndio Tanganyika ya Mwl Nyerere,Kawawa......... Mifumo yetu ya uchaguzi haitazami idadi ya watu inatazama nani anatoka wapi na anawakilisha chama gani. Jimbo la Arusha mjini lina wapiga kura...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Wiki iliyopita nchini Kenya mbunge Charles Ong'ondo alishambuliwa na kuuwawa. Leo hii Wauaji wote wamekamatwa na kufikishwa Mahakamani hapo Kenya. Picha hii hapa👇 Huku Tanzania; Mwaka 2017...
5 Reactions
7 Replies
694 Views
Huyu bwana amejipanga kugombea ubunge uku Namtumbo. Ameanzisha kiredio chake kinaitwa Cite fm, Kila siku kinamsifia. Kwa unyama uliomfanyia Mdude Nyangali, hatukutaki na hatutaki kuwa na...
9 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa matukio mabaya yaliyotokea viongozi wa Chadema na upinzani kwa muda mrefu, Nilitegemea chama kikubwa Kama Chadema kiwe na intelligence yake ya Siri Sana Kwa viongozi na wanachama wake wenye...
6 Reactions
98 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Kijamii CCK, David Daud Mwajojele, amesema uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji ulifanyika vizuri. Soma pia: Uchaguzi 2020 Chama Cha Kijamii(CCK)...
0 Reactions
4 Replies
724 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimesoma na kuusoma Ujumbe Unaodaiwa kutoka kwa Tundu Lissu,Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ambaye yupo Ukonga Gerezani ambako anaendelea kushikiliwa kwa Makosa ya Uhaini...
9 Reactions
147 Replies
5K Views
Wakuu, Hivi vyama vingine ndio navisikia leo. CCM E imewahi kujitokeza isije kukosa mgao wao! Kupata taarifa na matukio kuhusu uchaguzi serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Dar es Salaam...
2 Reactions
6 Replies
838 Views
Mwaka 1964 wakati wa maasi ya Jeshi la Tanzania ( King's Ruffles Army) aliyekuwa Rais wa Tanzania aliomba msaada kwa Jeshi la Uingereza kuja kumuokoa ambapo Jeshi la Uingereza lilituma vikosi...
13 Reactions
93 Replies
4K Views
Nipo hapa BBC naangalia Veterans Day mashujaa wa WW2 Ndio nikakumbuka Sikukuu yetu muhimu ya Siku ya Uhuru Kwanini ilifutwa? Au Shujaa aliamini ndio birthday ya Mwamba pia? Duh hawa Waingereza...
0 Reactions
5 Replies
289 Views
Salaam, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dsm Muliro J. Muliro Leo tarehe 05 May 2025, ataongea na waandishi wa habari. Kama hatongelea utekaji nashauri akae kimya tu. Ndugu zetu wanapotea...
5 Reactions
15 Replies
989 Views
GT Kwa kiufupi sana tunaweza kusema CCM imesha fail watu hawana matumaini kabisa na hiki chama. Pamoja na utitiri wa machawa kama comedians, Wanamuziki na vyombo vya habari lakini bado hawaelewi...
7 Reactions
9 Replies
704 Views
Bado haijafahamika sababu za ofisi hizo kuzingirwa, Bali inafahamika kwamba leo Chadema iliomba kuonana na Mkuu wa Mkoa huo
7 Reactions
37 Replies
3K Views
Back
Top Bottom