Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

siasa za kimagharibi ni wazi bado haziwezi kufanya kazi hasa anapotokea kiongozi mwenye tamaa za madaraka huku africa. Watu wenye tamaa za madaraka wanatumia kivuri cha demokrasia kufanya...
1 Reactions
2 Replies
325 Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira amemkosoa vikali mwanasheria na mwanasiasa wa Kenya, Martha Karua, kwa kile alichokitaja kuwa ni kuingilia masuala ya ndani ya Tanzania, hususan kesi...
6 Reactions
64 Replies
4K Views
Spika mstaafu wa Bunge la JMT Mzee Msekwa amesema tofauti na ilivyo Sasa mwalimu Nyerere msafara wake ulikuwa na Magari 3 tu na hakupenda mambo ya ving'ora Lilikuwepo gari la mbele, Katikati gari...
13 Reactions
110 Replies
4K Views
Jarida maarufu la Uchumi na Biashara Dunia la Bloomberg limesema Licha ya Tanzania Kuwa mojawapo ya Nchi Zenye Uchumi Unaokua Kwa Kasi na imara linashindwa kuelewa ni Kwa nini thamani ya Shilingi...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Wanabodi Kuna hali tete fulani ya amani na usalama nchini, mihimili 3 ya Serikali, Bunge na Mahakama, hawawezi kuzungumzia, sisi Media ambao ni mhimili wa 4 usio rasmi, tunuweza kuzungumzia jambo...
11 Reactions
77 Replies
3K Views
China ni taifa linalokuwa kwa kasi kiuchumi, na ni mshirika mkuu wa serikali ya Tanzania, wakati China wakikua kiteknolojia Tanzania tumejifunza na kujiuvunia nini kutoka kwa marafiki wetu wa muda...
0 Reactions
1 Replies
274 Views
RPC Muliro kachonganisha kanisa katoriki na serkali ya CCM kuliko hata aliyemshambulia Fr. Kitima. Kwanza, kama kamanda wa Dar tukio hili kutokea katika mkoa wake ameshindwa kusimamia ulinzi wa...
1 Reactions
6 Replies
690 Views
Kila mtu anajua kuwa viongozi wa dini ni watanzania na bado ni wapiga kura, kwahiyo ni haki yao kuhamasisha uchaguzi wa haki. Kila mmoja anajua upinzani ni chama halali cha siasa Tanzania...
1 Reactions
1 Replies
486 Views
Kwa jinsi siasa za sasa zilivyo kuna uwezakano mkubwa kuwa mtoto wa raisi anaweza kusimama kama raisi na kufanya maamuzi na ku-control kila kitu kama yeye ndie raisi na msijue na hata asichukuliwe...
0 Reactions
4 Replies
501 Views
Shida vita ni ngumu ninazofikiri zinatokana na siasa au shughuli zangu za uchumi By mbunge mpya mtarajiwa
2 Reactions
13 Replies
683 Views
Mtu anaweza kufunga kula chakula kwa mwaka mmoja na akabaki hai na salama. Mr Angus Barbiel, mwanaume wa Scotland, alifunga kula chakula (akiwa nyumbani kwake) kwa siku 382 kuanzia tarehe 14 June...
1 Reactions
4 Replies
560 Views
Kutoka Singida Mmoja wa Wabunge wasio na chama waliotimuliwa Chadema kwa Tuhuma za Usaliti, Jessica Kishoa amefumwa kwenye Mkutano wa hadhara wa CCM, uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho...
7 Reactions
57 Replies
9K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeingia ndani ya mochwari (Friji la kuhifadhia maiti za binadamu) ili kujaribu kuutambua mwili wa Mwanachama wao aliyesemekana kutekwa na kupigwa na Polisi wa...
11 Reactions
80 Replies
5K Views
Rangi za bendera yetu ya nchi yetu nzuri Tanzania ni Bluu, Njano, kijani na nyeusi. Rangi hizo hazipo hapo kwa bahati mbaya. Hata pamoja na mapinduzi ya Zanzibar kufanyika, bado rangi nyekundu...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Mungu fundi sana! Polisi wakiendelea kutumiwa vibaya na CCM ambao wanawanyonya na kuwafanya waishi maisha magumu leo wamezuia Mkutano wa Chadema uliopaswa kufanyika pale Kariakoo Angalia picha...
21 Reactions
69 Replies
6K Views
https://youtu.be/H_nTberB3go?si=ycb2F5DMUslS3AqC Hao kwenye video hiyo chini👇👇 ni watu wa Mbeya (ambao ni ndugu na wanachama wa CHADEMA). Wamefanya Press Conference na wanatumia lugha ya "kuomba...
1 Reactions
1 Replies
615 Views
Shilingi Bilioni 102 ziliidhinishwa 2023 kwajili ya ujenzi mkubwa wa chuo cha kilimo cha Mwalimu Nyerere Butiama. Awali chuo hicho kilianziswa 2010 lakini hakikuwahi kudahili wanafunzi, ndipo...
0 Reactions
2 Replies
312 Views
Hakunaga marefu yasiyo na ncha but surely ni kitu ambacho lazima kitatokea. Nahisi CCM kwa sasa kutoka bado lakini dalili ya mvua ni mawingu, kuna mawingu yameanza kutanda japo mbua bado sana...
0 Reactions
0 Replies
212 Views
Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tangu mwaka 2019 kumekuwa na mashaka makubwa kwenye uchaguzi, na kwamba chama hicho kimeamua kushiriki mwaka huu ili kupambana kulinda kura...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Jamii ya wananchi wa mkoa wa Lindi na MTWARA ni jamii nyingine. Huko Arusha mnasema kuna watu wamepinda , yes wamepinda lakini ni kwaajili ya mabange tu na usela mavi. Watu wa kusini ni next...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom