johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,022
Lindi na Mtwara zina utajiri mkubwa sana wa Gesi na mazao ya Korosho
Wana Chokaa ya aina mbalimbali
Imewahi kutoa Mkuu wa Nchi
Imetoa Wabunge wa Upinzani kupitia Chadema na CUF
Kwanini Mikoa hii bado ni Maskini?
Kwako The Big Show
Jumaa Kareem 😄
Wana Chokaa ya aina mbalimbali
Imewahi kutoa Mkuu wa Nchi
Imetoa Wabunge wa Upinzani kupitia Chadema na CUF
Kwanini Mikoa hii bado ni Maskini?
Kwako The Big Show
Jumaa Kareem 😄