Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Uchaguzi Mkuu wa 2025 bado unasubiri rasmi kutangazwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, lakini tayari joto la kisiasa limeanza kupanda nchini Tanzania. Vyama vya siasa vimeanza kuelekeza ajenda...
0 Reactions
0 Replies
324 Views
Nafahamu ili ufanye mkutano wa siasa kuna utaratibu lazima uzingatiwe na kufuatwa Hii mikutano ya Chadema huko Bukoba na Tanga ya kuhamasisha No reform ina vibali vya kikanuni? Nimekaa pale 😁
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Tanzania kwisha habari yake. Utu umetoweka, watu wanatama i watu wafe ili wabakie madarakani. Huu wimbo unaoimbwa na CCM hakuna kiongozi yoyote wa chama au Serali aliyekemea. “WAPINZANI WAKIFA...
5 Reactions
142 Replies
7K Views
Tanzania kwa sasa hakuna haki wala amani, wizi serikalini umeshamili isije kuwa mnawakopesha watu binafsi kwa mgongo wa watanzania maskini maana kama kuna wizi serikalini watakopa kwa jina la...
3 Reactions
2 Replies
271 Views
Wakati huo huo Marekani ikilaani kitendo cha serikali ya shirikisho la Ujerumani kukiorodhesha chama hicho chenye nguvu zaidi Ujerumani cha AfD kuwa ni chama chenye misimamo mkali kilicho hatarini...
7 Reactions
29 Replies
1K Views
Hapa ni Kata ya Kayanga, Wilayani Karagwe wakati Dkt Slaa amefundisha wanakijiji hao maana ya No Reforms No Election Swali letu ni hili, Kwa hali hii ni nani atashiriki Uchaguzi wa Magumashi?
22 Reactions
41 Replies
3K Views
Edward Kinabo alikuwa ndiye Afisa na Mratibu wa Mawasiliano wa Mwenyekiti mtetezi wa Chadema mh Mbowe kwenye Uchaguzi wa January 2025 Hivi Chadema wana nafasi ya Rais wa Jimbo? Nasubiri majibu...
1 Reactions
3 Replies
396 Views
Alooo hii ni fezea🤣🤣 yaani toka Wakenya watushangae kwenye uchaguzi wa 2020 wanaendelea kutushangaa mpaka leo! We ulisikia wapi mtu anagombea na hapo hapo ndio asimamie mchakato wa uchaguzi afu...
11 Reactions
49 Replies
3K Views
Lucy Mrimi, dada wa Daniel Chonchorio Nyamhanga, Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye hajulikani alipo mpaka muda huu ameiomba serikali kuingilia kati juhudi za...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Sijui kwanini Kigaila anadanganya umma kwamba hawana pa kwenda wakati kila kitu kiko wazi. Tangazeni Kuhamia CCM kama mlivyoelekezwa, Kigugumizi kinatoka wapi? Cheo ni dhamana ya muda mfupi...
33 Reactions
69 Replies
3K Views
Yale mashati na T.shet za kijani nawaonea huruma huko barabarani hasa wafia chama. Kila mtu anajua yaliyotokea kuhusu ushoga Karibu sana smart phone.
3 Reactions
4 Replies
754 Views
Wakuu, Akiwa anazungumza kwenye kipindi cha Goodmorning cha Wasafi, Tulia Ackson amekosoa vikali azimio la Bunge la Ulaya kuhusu kutaka Serikali ya Tanzania imuachie Tundu Lissu "Baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
190 Views
John Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wilayani Kyerwa Mkoani Kagera leo Mei 07, 2025. "Leo mnaishi kwenye nchi ya asali na maziwa, watu wetu ni...
16 Reactions
51 Replies
3K Views
Sioni sababu ya CHADEMA kufurahia nchi kuzuiliwa misaada ya Wafadhili Hili ni swala nyeti kuliko Siasa zetu za rejareja Kwahiyo tuwe pamoja kupambana na hawa Wazungu Papa Leo XIV: Amani Iwe...
0 Reactions
6 Replies
344 Views
https://youtu.be/zJJTDTAdmMA?si=2-OHtOWYBhnzGLZk Anasema; • Ni aibu sana kwa kesi ya Tundu Lissu kujadiliwa Bunge la EU kwa sababu Bunge la Tanzania ndilo lililopaswa kujadili jambo hili na...
26 Reactions
36 Replies
3K Views
Wakuu, Zoezi la kujiandikisha halijaisha! Kuna wale watu ambao walikuwa hawajajiandikisha kwenye awamu ya kwanza zoezi la kusajili wapiga kura. Tume kwa sasa ipo kwenye awamu ya pili ya zoezi...
2 Reactions
6 Replies
476 Views
Ndugu, Katika kutafakari tunayoyaona na kusikia ndani ta Tanzania na majibu au kejeli zinazosemwa tunaona Tanzania hatuna serikali bali tuna madalali. Kwanza imekuwaje UVCCM kujiunga na mashoga...
2 Reactions
5 Replies
366 Views
MKE WA RAIS WA MSUMBIJI AVUTIWA NA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI Mke wa Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Gueta Selemane Chapo, ametembelea Hospitali ya Taifa Muhimbili...
1 Reactions
5 Replies
665 Views
Baada ya Bunge la Ulaya (EU) kujadili masuala mbalimbali yanayohusu ukiukwaji wa haki za Binadamu Nchini Tanzania ikiwemo mashtaka yanayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu na kutoa azimio...
5 Reactions
4 Replies
729 Views
https://www.youtube.com/watch?v=fnOK-Jm5gpE
1 Reactions
5 Replies
406 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…