Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hakuna jambo lolote kubwa la kustaajabisha ambalo limefanywa na Rais wa awamu ya 1,2,3,4,5 na huyu wa awamu ya 6 ambaye mnapigia promo ya 5 tena. Si kwa ubaya au kuleta fedha ila huo ndio ukweli...
6 Reactions
15 Replies
718 Views
Serikali inajenga Chuo Kikuu cha Nyuki mkoani Singida, lengo ni kutoa elimu ya sayansi ya masuala ya nyuki ambayo itasaidia watu, pia lengo lingine ni kumuenzi Liti Kidanka “Malkia wa Nyuki”...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Na hii ni pamoja na hujuma za makusudi kutoka kwa wanachama, wapambe na viongozi wa mgombea wa kambi pinzani watakaokuwemo uongozini. Infact, bila umakini kwenye hili, chadema will be no more in...
0 Reactions
5 Replies
679 Views
Katibu wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema amesema Watanzania walipaswa kusikia chama hicho kitanyakua majimbo mangapi katika uchaguzi wa...
1 Reactions
37 Replies
2K Views
Askofu Dkt. Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe amesisitiza kuwa ajenda ya mageuzi ni mali ya taifa zima na haipaswi kumilikiwa na chama chochote...
2 Reactions
5 Replies
645 Views
Kila siku wakiamka ni mwendo wa kunyosheana vidole... Huyu kanunuliwa, yule katumwa, huyu mamruki, Yale namna GANI huyu namna Ile. Hivi watu emwa hii Tanzania wanadhani kuchukua nchi ni lelemama...
3 Reactions
82 Replies
2K Views
Hawa ni wale watu ambao wangekuwa sehemu nyingine wangekuwa mbali zaidi na kusaidia nchi kwa ujumla wake. Tanzania wamekuwa machawa, wala rushwa , wana dharaulika na wengine kutaka kuuliwa
3 Reactions
4 Replies
341 Views
Watanzania wanatakiwa wajuez Watu wachafu wanakawaida ya kuvaa mavazi masafi. Makonda aliumiza Clouds Media Makonda aliumiza wafanyabiashara wengi sana kwa Kutumia Jina la Magufuli. Makonda...
5 Reactions
7 Replies
672 Views
Ni dhahiri sasa Chadema wameelewa kuna tofauti kati ya Mtu binafsi na Chama anachotumikia Kwamba maamuzi ya chama ni ya taasisi na siyo mtu binafsi Wanachadema wamefurika nyumbani kwa Shujaa...
1 Reactions
11 Replies
568 Views
Juzi tarehe 7. Nikienda kujiandikisha kupiga kura ..... Ile nyomi nimejikuta pale Hadi nakauliza kwa sauti, nikasema "" wazee ivi uchaguzi si tumesema haupo mwaka huu ??? Mbna mmekuja kwa hasira...
4 Reactions
22 Replies
811 Views
Nchi ipo katikakati ya majonzi. Viongozi wa dini wanavamiwa, wanataka kuuwawa wengine wanatishiwa maisha Wanaharakati wanateswa, wanapotezwa na wengine wanatupwa jera kinachobaki ni familia...
1 Reactions
12 Replies
404 Views
Kwa Wale Wageni wa Jf, Ama labda na wale Wasahaulifu, Pamoja na Chawa Wapya wasiojua lolote, Kwenye Uchaguzi wa serikali za Mitaa wa 2014, Chadema ilishinda Vijiji vyote kwenye Jimbo la Chato...
29 Reactions
86 Replies
4K Views
Huyu mzee wetu Wasira alikuja kwa mbwembwe akitamba kwamba gari ni injini, lakini alisahau inategemea ni aina gani ya injini. Mzee wetu sasa ni takribani wiki 2 hasikiki wala kutetema popote. CCM...
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari za jumapili! Hawa wanaoitwa Njaa55 tukirudi nyuma kidogo kama mwaka 2015 wote wangekuwa sehemu ya Safu ya viongozi wa taifa hili. Hawa COVID-19 ambao yadaiwa wameingia bungeni kimagumashi...
3 Reactions
15 Replies
547 Views
https://youtu.be/y9z3-27Xmto?si=M-gCdeXeZoxzZogf Ni kwa Tanzania kukiuka mikataba na matamko ya kimataifa kuhusu haki za binadamu, Uhuru na demokrasia.. Wazitaka nchi wanachama wao kuiwekea...
50 Reactions
141 Replies
9K Views
Ney wa Mitego sasa ni rasmi kaamua kuachana na chadema. Kila binadamu ana wakati wa kung'amua mambo ya hovyo halafu akatae kutumika vibaya. Ney amewahi kuimba nyimbo nyingi lakini chadema...
6 Reactions
84 Replies
3K Views
Kutokana na vitendo vya kuvamia, kuteka na kuumiza watu hasa wakosoaji wa serikali kushamiri, kwa sasa wakati umefika ili kila Kiongozi mpigania uhuru wa kweli wa Nchi kulindwa na kujilinda kwa...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Mpaka sasa sioni dalili za kuwa na mgombea mwanaume maarufu na atakayeleta ushindani na msisimko kwenye uchaguzi wa mwaka huu October 2025. Kama ikitokea akakosekana kabisa mwanaume wa kuleta...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Ni wazi wanachadema wengi mno watajiengua Chadema na kujiunga na vyama vingine vya kisiasa nchini kwakua Chadema haina tena sifa za kua chama cha siasa kinachoweza kuvutia wanachama zaidi, kwani...
-1 Reactions
110 Replies
3K Views
Ule ujumbe wa vitisho wenye matusi ndani yake alioundika kwenye mtandao wa X, unaweza kutimika kama sababu ya kumkamata na kisha kumshitaki lengo ni kuhakikisha harudi mbeya. Kwa jinsi hawa watu...
1 Reactions
5 Replies
496 Views
Back
Top Bottom