Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndg kwa ufupi niliachaga kitambo mambo ya siasa za nchi hii. Kwa nini. 1. Siasa ni kwa ajili ya viongozi na familia zao. 2. Siasa ni kwa ajili ya matajiri vs wanasiasa. 3. Maskini kaa sibiri...
2 Reactions
3 Replies
469 Views
Katika miaka minne ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Tanzania imeonyesha kwa vitendo kwamba uchumi imara si nadharia tu, bali ni matokeo ya maamuzi thabiti, sera zenye mwelekeo, na...
0 Reactions
3 Replies
322 Views
Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Dkt. Charles Stephen Kimei, ameendelea kuonesha moyo wa uwajibikaji na kujali ustawi wa wananchi wake kwa kuwawezesha wajasiriamali wanawake 300 wa Kata ya...
0 Reactions
1 Replies
351 Views
wasiojulikana ... wamejulikana wale walioficha sura zao. kufuatia jaribio la jana Mwanza.
2 Reactions
6 Replies
865 Views
Mungu hutupa neema kubwa kubwa na ndogo ndogo. Neema ni kitu unapewa tu bila kukisumbukia au kukitarajia. Akupaye neema hatarajii uifanye kuwa haki na siku akitaka kuchukua hatarajii ugome bali...
24 Reactions
46 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Wapo wataobeza na kukushfu lakini wenye hekima zetu hilo tumeliona ndiyo maana tukaamua kushaurikwa nia njema Uzoefu ni Mwalimu mzuri sana wapo waliodharau hilo huko...
1 Reactions
7 Replies
350 Views
Baba Mtakatifu Dr Robert Prevost -PhD (Papa Leo XIV) ni raia wa nchi zifuatazo; 1. Marekani (by birth), 2. Peru (by naturalization), 3. Vatican (Rais na Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani). IPO...
10 Reactions
71 Replies
6K Views
Mbwa anafundishwa akiwa mdogo, samaki anakunywa angali mbichi na udongo unapatwa ukiwa na umajimaji. Uzalendo hauna mbadala kwenye kila taifa. Kama kwenye gari uzalendo ni kama usukari(stearing)...
0 Reactions
2 Replies
282 Views
Wadau hamjamboni nyote? Haya ni maoni makini kabisa yasiotia shaka hivyo wewe mchangiaji uache jazba na kejeli unapochangia uzi huu Ndiyo mashabiki wake wengi hawana shughuli rasmi za kwenye...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amewataka Wanachama wa Chama hicho kutotishwa wala kubabaishwa na walioshindwa mapambano na kuondoka kisa CHADEMA haishiriki uchaguzi bila mabadiliko...
20 Reactions
50 Replies
3K Views
Hakuna farasi, mbwa, polisi na mambo kama hayo? : Ok kumbe leo kuna kesi ya wazanzibar kupinga mgaanyo wa mali za chadema https://www.youtube.com/watch?v=Do9923cZGMg
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Kipindi anakamatwa Mbowe nilikuwa ni kiongozi, nilikuwa na jua kazi anayofanya Mbowe, alivyokatwa, nilikuwa naenda mahakamani, na nilikuwa najuwa nini kinaendelea, nilikuwa na kaa vikao vya kamati...
3 Reactions
9 Replies
858 Views
Kwa kifupi sana niwasihi ndugu zangu Watanzania tusihadaike na Siasa za kishamba na kizamani za G55 ya Chadema Haya wanayoyafanya Mrema, Mwalimu na Kigaila yalishafanywa na Dr Slaa hadi...
11 Reactions
65 Replies
2K Views
Jana nimesikiliza kwa makini sana wasifu wa aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri mkuu marehemu Cleopa Msuya. Nilibaki mdomo wazi baada ya kusikia baadhi ya SIFA zake zikisemwa mbele ya...
11 Reactions
15 Replies
1K Views
Huyu hapa ni Mtu mwenye Ulemavu aliyepambana kusogea hadi Jukwaa Kuu ili Kuchangia Tone Tone ya Chadema, Michango ya Tone tone inawezesha Chama hicho kujiendesha, kununulia mafuta ya magari ili...
30 Reactions
48 Replies
3K Views
CHADEMA imekwishavuka sio tena chama cha viongozi na wanachama wa CHADEMA bali ni chama tumaini na imani la matumaini kwa Watanzania, ni chama cha Watanzania sasa katika kutekeleza hayo wameanza...
11 Reactions
22 Replies
2K Views
Makamu mwenyeketi wa CHADEMA bara John Heche ametoa taarifa kupitia mtandao wa twitter( X) kuwa muda wowote kuanzia sasa wamepanga kumkamata. Ni kheri Magufuli yeye alipiga marufuku kabisa...
39 Reactions
161 Replies
10K Views
Kazi ya Chadema ya kusambaza jambo Tukufu la No Reform No Election imekuwa Nyepesi sana, kutokana na Elimu kabambe wanayopewa wananchi. Imekuwa rahisi kwa vile karibu kila kijiji cha Tanzania...
19 Reactions
103 Replies
4K Views
Rest in Peace dear Brother Charles. Ninatoa Pole kwa Wanafamilia wote. Balozi Mahmoud Kombo.
0 Reactions
0 Replies
389 Views
Huwa nasikia watu wakijifanya kummiss jiwe Dkt John Pombe Magufuli na kusahau kuwa wakati wake ulipita kitambo. Kwa wanaomjua vizuri, hakuna haja ya kummiss kwa vile tunaye mheshimiwa rais...
0 Reactions
6 Replies
619 Views
Back
Top Bottom