BADO kuna maswali mengi kuhusu tukio la kuvamiwa, kupigwa na kujeruhiwa kwa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Dkt. Charles Kitima.
Wakati majibu ya maswali hayo...
Askari walioficha sura zao inadaiwa wanamfuatilia John Heche mchana huu huko MWANZA. Askari hawa wanatumia gari lenye USAJILI PT 4833.
Kwanini wavae hivi wakiwa kwenye gari za POLISI? wanajificha...
Ukweli ndio huo.
Hata wananchi wa kawaida kwa namna mbalimbali wanakiri kwamba Lissu ni kiongozi na ana uwezo kuliko Samia.
Inawezekana kabisa hicho ndicho chanzo cha Tundu Lissu kusingiziwa...
Kupitia mchoro huu wa Masoud Kipanya, hii ndiyo hali halisi CHADEMA wanapitia, je joka litatoka salama kweli?
Mwalimu Boniface Jacob ametafsiri hivi;
1.Joka la Kaki - hiki ni chama cha siasa...
Kubagaza ni kusemea taifa lako sifa mbaya na mbovu ambazo hazina uhalisia sahihi, kwenda kuzungumza mambo ambayo mengine yapo mahakamani, na mengine ambayo yapo chini ya upelelezi hili si jambo...
MRADI MKUBWA WA MAJENGO YA WASIMAMIZI WA HUDUMA ZA MAJI JIMBONI BIHARAMULO.
Kukamilika kwa mradi mkubwa wa majengo ya kisasa na yenye samani nzuri ndani ni kukamilika kwa ndoto ya mbunge wa...
Wakuu,
Lile wimbi la wanachama wa CHADEMA kujivua uanachama linaendelea
Siku ya leo Viongozi wa Chadema Mkoa Morogoro wilaya, Majimbo, Kata na Matawi wakiongozwa na aliyekuwa Mbunge wa Mlimba...
Wazungu husema "Nothing is free in this world." Kwanini Wakoloni watumie nguvu nyingi kumtetea Mtanzania??. Something is for something and nothing for nothing
Angalia azimio namba F2 hapa:-...
Wakuu !
Wasalaam wote nawasalimu kwa jina la Jamiiforums mahali ambapo tunathubutu kuzungumza kwa uwazi mitazamo na mawazo yetu.
Shukrani zimwendee Kaka Maxence Melo kwa kutuleta hapa pamoja...
Kama kipenzi cha mama, napendekeza Watanzania na wanadamu wote tufunge kumuombea mheshimwa Samia Suluhu aendelee kutenda mema.
Mosi, ameleta amani, maendeleo, ma mshikamano baada ya Jiwe na...
Kuelekea Vita kuu ya Pili ya Dunia Marekani alikuwa na uhitaji mkubwa sana wa visiwa katika Bara la Asia kwa ajili ya kujenga Kambi zake za kijeshi.Moja ya maeneo yaliyotambuliwa na Marekani ni...
Hizi ni taarifa za siri kutoka kwa Polisi wenye uzalendo Mkoani Mbeya ambao kamwe hawapendezwi na yanayoendelea dhidi ya watetezi wa haki za binadamu.
Mdude bado yupo hai na damu nyingi...
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameenda kinyume na Lisu kwa kutangaza kuwa Chadema haitashiriki uchaguzi mkuu nchini wa mwaka 2025, hivyo kumpa nafasi rais Samia kuendelea kutawala mpaka 2030...
Namuona Mbowe kama kinara wa G55 ya 1970s Mzee Tabu Mangala
Tuzidi kuiombea Chadema na G55 ambao hawana ukwasi wa kuanzisha Chama chao zaidi ya kujibanza pale Bahari motors
Mlale unono 😁😁
Wakati wa Rais Magufuli alizoea sana kusema tumwombee. Tuliomba badala ya kumwombea. Bwana akajibu maombi.
Sasa kuna mtesi mpya. Tena huyu ni zaidi ya yule aliyetangulia. Serekali yake inauza...
Mnamo Mei 13, 2025, Bunge la Tanzania limepitisha bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na Taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2025/2026, yenye jumla ya shilingi trilioni 2.439...
Wakuu,
Ila Polisi :BearLaugh: :BearLaugh: mpaka hata ni fezea kuanza kuwajibu! Hivi wanajiskiaje wakiandika huu upuuzi?
Uhamiaji wako wapi kufanya kazi yao? Na kipindi chote hiko walikuwa...
Rais Samia anaamini kwenye uhuru wa vyombo vya habari lakini anaamini kwenye kuambiwa vitu vizuri na anavyo vipenda!
Vyombo vya habari hili viwe huru havipaswi kuambiwa jinsi ya kuparua na...
Kama kuna aibu inayoinyemelea Halmashauri ya Mji Kibaha ni ubovu wa miundombinu ya barabara zake, na hasa zilizopo katikati ya Mji (Kata ya Maili Moja).
Hii ni kero ya muda mrefu sana, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.