Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ikiwa Serikali ilijuwa kwamba imenunua meli mbovu ambayo mda wote ingezama lakini iliacha ikaendelea kutumika Hadi ilipopinduka na kuua maelfu ya watu,lengo la kufanya haya ilikuwa ni nini hasa...
4 Reactions
45 Replies
3K Views
Wakili Peter Madeleka amesema kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) na maofisa wote wa Jeshi la Polisi wanapaswa kutekeleza Katiba na sheria za nchi, badala ya kufuata maelekezo ya viongozi ambayo...
1 Reactions
5 Replies
219 Views
Ungelidhani kweli ni mtu kumbe ilikuwa njaa na si dhamiri kama alivyo nabii Lissu -- Video hii inatoka kwenye mdahalo wa mubashara (live debate) uliorushwa na kituo cha televisheni cha Star...
3 Reactions
8 Replies
266 Views
RUVUMA KUPAA: NDEGE ZA ATCL KUONGEZWA, VYUO VIKUU VIWILI KUANZA OKTOBA,MKANDARASI BARABARA YA NJOMBE KUKABIDHIWA MRADI Ongezeko kubwa la abiria wanaoingia na kutoka Songea mkoani Ruvuma sasa...
0 Reactions
7 Replies
153 Views
Leo nimeona mkeka wa wahitimu wa kidato cha sita wapatao 60,000 ambao wamelazimishwa kwenda JKT kwa lazima kwenye makambi mbalimbali waliyopangiwa kuripoti kuanzia tarehe 01.07.2026. Huyu mtu...
43 Reactions
195 Replies
4K Views
Inadaiwa inamilikiwa na Mtanzania Patel. Lakini nimeongea na Mwarabu rafiki yangu, nilimuuliza kwanini Tangu Januari 2026 hii hotel inapokea Watu wengi kutoka Uarabuni hasa Oman? Gharama ya...
3 Reactions
9 Replies
307 Views
Dangote hapendi usiri usiri na ndiyo maana alisema waziwazi gharama za ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta lakini serikali ya Tanzania haipendi uwazi maana wanataka rushwa. Tumejaa watu ambao...
11 Reactions
27 Replies
371 Views
Kwahali ninavyoiona nahisi tarehe 7/7 siyo siku ya kutoka nyumbani. Ushauri wa Bure nunua mahitaji ya nyumbani Sasa tena ya kutosha ikifika 7/7 Baki ndani usitoke hata kwenda kununua chumvi...
2 Reactions
19 Replies
437 Views
1. Je Yuko hai? 2. Kama Yuko hai anafanywaje? Kula na kulala milele au ? 3.Je anayemtunza kama Yuko hai Huwa anaongea nae? 4. Au anampa Chakula na kuondoka? 5. Je kama Yuko hai anawaza nini...
9 Reactions
78 Replies
1K Views
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Serikali iko tayari kuchukua hatua za kisheria dhidi ya kiongozi au mtumishi yeyote wa umma atakayebainika kufanya matumizi mabaya ya rasilimali za...
0 Reactions
6 Replies
171 Views
Tuna wanasiasa wengi sana wapo kwa maslahi ya matumbo yao tu lakini wana support siasa ambazo moyoni wenyewe wanazipinga. Moja yao ni Prof. Mkumbo na Katambi. Wote walikuwa wameongea sana huko...
3 Reactions
12 Replies
245 Views
Hamjambo wote! Kama swali linavyoeleza hapo juu. Mwenye Majibu ya haki aje hapa na atoe majibu. Pili, ni maeneo gani yaliyopo Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar? Maana GenZ wanasema...
10 Reactions
278 Replies
4K Views
Tunafahamu kwa sasa kama nchi hatuzalishi zaidi ya megawatts 5000 nikimaanisha megawatts tunazozalisha ni kama 4000+ hizi ni ndogo sana KUWEKEZA KWENYE GESI ASILIA KUPITIA MIRADI MITATU AMBAYO...
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Wakili Peter Madeleka amesema kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani hana mamlaka Kikatiba ya kutoa Amri kwa Majeshi au mkuu wa Jeshi la Polisi. Akizungumza leo Jijini Dar es salaam, Madeleka amesema...
0 Reactions
0 Replies
200 Views
  • Redirect
Ni sifa au dongo?πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ "...Natoa PONGEZI kwa Serikali kwa kugundua MIPANGO MIBAYA dhidi ya nchi yetu. Ili kuendelea KUIMARISHA USALAMA nchini, naiomba Serikali IWALIPE VIJANA FEDHA NYINGI ILI...
2 Reactions
Replies
Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Juni 27, 2026 akizungumza na wananchi wa Ikungi, Mkoani Singida amesema Pia soma > Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote Kuna...
2 Reactions
58 Replies
838 Views
Kwa kweli pongezi ziwafikie Kamishna wa DCEA Aretas Lyimo, pamoja na timu yake.Huyu mzee kapiga sana kazi kwa kweli operesheni zimeonekana kuwa na matokeo. Tofauti na miaka ya 2005 mpaka 2015...
1 Reactions
0 Replies
55 Views
Kuna hii poster ya CCM ambayo inasambaa kwenye mitandao ya kijamii Kwa hiyo mikutano ya CCM ni ruksa ila kwa wapinzani nongwa? Kwao ni ruksa? Soma Pia: Ufafanuzi kuhusu taarifa ya mkutano wa...
3 Reactions
9 Replies
371 Views
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ametoa onyo hilo alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa habari aliyeuliza kuhusu madai ya baadhi ya viongozi kujilimbikizia mali kutokana na mikopo ya...
8 Reactions
56 Replies
1K Views
  • Redirect
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho...
0 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…