Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

This thing is getting serious, mwanzo wengi walibeza kuwa no Reform No Election ni upuuzi lakini sasahivi kila mtu anajionea ilipofikia. Kuna kamchezo watu wachache wanacheza lakini hii kete...
17 Reactions
62 Replies
2K Views
Mwambieni rais haramu na wambura na mgunda tuna chukulia wauwaji kama waasi wa nchi hilo jeshi sio la baba zenu mmelikuta na mtaliacha mtaona moto. Hatucheki na wapumbavu wakatafute wapumbavu...
1 Reactions
3 Replies
92 Views
Lissu akiachiliwa tu alisema hatopoa ni mchaka mchaka maandamano kila siku tena yeye atayaongoza mwenyewe Genz mjiandae. Lazima tu ataachiliwa hata kama sio leo na akiachiliwa siku hiyo hiyo...
3 Reactions
8 Replies
175 Views
Kuendelea kuteka na kuuwa na kuendelea kuwashikiria watu mateka na kutofanyika kwa mabadiliko yoyote kutochochea maandamano mengine makubwa. Vitendo hivi wananchi hawavichukulii kama vitisho bali...
6 Reactions
7 Replies
99 Views
Heshima sana wanajamvi. Lissu alinshinda Mbowe kwa asilimia ndogo sana. Lissu na team yake baada ya kukabidhiwa chama hawakutambua kundi la Mbowe bado lilikuwa na ushawishi mkubwa sana. Matendo...
6 Reactions
90 Replies
3K Views
Huwa nawashangaa Hawa wabunge na viongozi wa upinzani wakishupaza shingo zako "NO REFORM NO ELECTION" Ni mara ngapi wamechangia katika maendeleo ya nchi Yao kupitia pesa zao za mifukoni...
0 Reactions
92 Replies
2K Views
Tumalizie kuwaumbua hawa Wakatoliki wa kuchaji. Huyu ni wa mwisho, then tuendelee na mambo mengine ya msingi. Dunia imeshajua hawa ni Wajinga, na Ulimwengu umetambua aliyewatuma ni Mpumbavu. Huyu...
43 Reactions
146 Replies
3K Views
  • Redirect
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, "kustaafu vizuri" na kuacha kutoa malalamiko dhidi ya serikali kwenye vyombo vya habari, badala yake atumie...
0 Reactions
Replies
Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amekichambua kizazi cha vijana (Gen-Z) kama silaha kuu na yenye nguvu zaidi katika harakati za kuleta mabadiliko ya kisiasa...
1 Reactions
2 Replies
123 Views
Oya, huku mtaani hali ni tete kinoma! Hivi hawa wakubwa wanachukulia watu ni mazuzu au? Mlipiga kelele watu "wajiajiri," vijana tukajichanganya tukaingia kwenye mchaka wa kufungua makampuni ya...
8 Reactions
11 Replies
222 Views
  • Redirect
Tumsikilize hapa akijaribu kujipapatua Video Courtesy: Jambo TV
0 Reactions
Replies
Views
Ingia hapa uuone mkataba wa kuuza nchi https://t.co/V363iF9GHT
7 Reactions
19 Replies
395 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali imejizatiti kuhakikisha Sekta ya Uchukuzi inaimarika ili kuliweka Taifa kwenye nafasi nzuri ya...
1 Reactions
4 Replies
260 Views
Zaidi ya nyumba 3,000 katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu mkoani zimevunjwa, zikiacha mamia ya familia za Wakimbizi wa Burundi bila makazi. Wakimbizi wanalaumu operesheni hii, inayotajwa kuwa...
2 Reactions
14 Replies
580 Views
Kumekuwepo na machafuko na matatizo mengi sana hapa Afrika lakini nchi nyingi na hata vyombo vya habari vya kimataifa havitupi attention tunayostahili kwa scale ya matatizo tuliyonayo. Lakini...
2 Reactions
4 Replies
106 Views
Nimemsikia Rais Samia Suluhu akiwahutubia mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini. Hotuba yake imepiga hatua moja mbele. Rais Samia “ameishavua nguo lakini anaogopa kuoga maji”. Ama maji...
25 Reactions
27 Replies
912 Views
Kuna watu wanajidanganya CCM kwamba chao chao na Tanzania ifuate mfumo wa Kichina badala ya mfumo wa kidemokrasia. Ukweli ni kwamba mfumo inabidi uendane na jamii. Sasa tujiulize kama haya...
2 Reactions
4 Replies
144 Views
Back
Top Bottom