MAPOKEZI YA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA WILAYANI IKUNGI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Jumamosi, Juni 27, 2026 amewasili mkoani Singida kuendelea na ziara yake ya kikazi, ambapo...
Wanabodi,
Kwanza naomba msishitushwe na Maneno hayo, mkadhai ni Maneno yangu mimi Pascal Mayalla, nikiwatukana waheshimiwa wabunge wetu kuwa ni ma "stupid!". No!, sio mimi, bali hayo ni baadhi ya...
Kwa ufupi kabisa, mpaka sasa Taifa la Tanzania limeshapoteana.
Sababu kubwa ni CCM kushindwa kuelewa kuwa Generation has changed, na hata modality ya kuongoza nchi na kuchanganua mambo inapaswa...
Kibarua hiki kigumu kinakuja baada ya tamko la Waziri wa Mambo ya Ndani kuwaagiza chombo chenye dhamana ya Ulinzi na Usalama wa raia na Kali kuhakikisha wanapita Kila Hotel, Guest House, lodge...
Hii ikimaamisha,
viongozi waliochaguliwa na wananchi wapiga kura tu, ndio wapewe vibali na ruhusa ya kisheria kufanya mikutano ya hadhara na kuchangamana na wananchi waliowachagua kwa mujibu wa...
Wakuu salama,
Kama mnavyofahamu, nchi yetu hivi karibuni imekuwa kwenye taharuki kubwa ya matukio ya watu kutekwa na kupotea. Lakini katika hali ya kushangaza na inayoacha maswali mengi, Sheikh...
Kwa miaka takribani 20 ya uwepo wa vyama vingi sikutarajia kukutana na chama cha upinzani kinachopambamia dola huku kikitegemea msaada wa kifedha kutoka nje ya nchi kufanya harakati zake za...
Wengi wanetambua kuwa kuvaa mashati na hizo T shirt za Kijani au kuendesha baiskeli za CCM waweza kupata ajali na binadamu wakapita wakikuangalia kama wale mbwa Kokomo wagongwao barabarani na...
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar - Mafunzo kutoka kitabu "Pan-Africanism or Pragmatism?" cha Prof. Issa Shivji
https://www.youtube.com/watch?v=AcK2xEIZJN8
Ni wazi usalama wa watu na makazi ya kila mTanzania, ni muhimu zaidi ya uhuru wa kuchchea au kuhubiri chuki, uhasama na migawanyiko nchini, kwa mgongo wa kufanya siasa.
Tumpongeze waziri wa mambo...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amesema Kama Tanzania kuna hali ya hatari, Mikusanyiko yote ya dini, michezo, mazishi nk, ipigwe marufuku, sio siasa tu...
Huyu jamaa anayejita shekh mbona serikali inamuacha na kauli zake, au anatumika kwenye matukio yao?
Na amini angezungumza maneno haya mpizani wa serikali basi kwa sasa angekuwa katika hali mbaya...
Nchi Ina viongozi na wote wameapa kuilinda kuiheshimu katiba ya Nchi kwa hali na Mali, wameapa kuilinda amani ya Tanzania kwa hali na Mali, kwahyo nyie viongozi na wafuasi wa chadema jueni kuwa...
Ni aibu sana kwa wanasiasa kama Heche na Mnyika kujidai wana misuli ya kupambana na Sheria kwa kutegemea fedha na harakati za watetezi wa ushoga huko ulaya.
TII SHERIA BILA SHURUTI
Yaani imefika wakati sasa wafanya maamuzi wa siasa za nchi ni Polisi
Waziri anasimamisha mikutano ya kisiasa kwa kutumia Polisi kwa kushindwa hoja.
Tuombe kesi ya Mama iende haraka tuondokane...
Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi ammwagiza IGP Wambura na Makamanda wa Polisi Mikoa kufungia maeneo yote ambayo yatakuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani nyakati za usiku
Pia soma...
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Songwe @fatumamnahwate amesikitishwa na namna Viongozi wa Chadema wanavyoeneza chuki na kupakiza uchochezi kwa watanzania kwa maslahi yao binafsi.
Fatuma ameeleza kuwa...
Vichwa vitatu vimetosha kabisa kabisa kumsimamisha siasa na miktano ya hadhara STEPHEN WASIRA na vijana wote wa CCM na kama litakuwa jema na wamepatia bila kujua madhara yake hapo badae. Hili ni...
Unajua amani ndo uchumi wenyewe pasipo na amani hakuna shughuli za uchumi, hakuna ajira, hakuna shule, hakuna madawa, hakuna nyongeza za mishahara, hakuna haki ya kuabudu nk.
Haiwezekani mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.