Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mkutano wa Rais Samia Suluhu Hassan, na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika Ikulu, Dar es Salaam Julai 30, umeibua tena mjadala kuhusu mwelekeo wa maridhiano nchini baada ya kipindi cha...
2 Reactions
14 Replies
239 Views
Uholanzi ni mfano wa nchi iliyoonyesha kwamba usalama wa taifa haujengwi kwa kuongeza magereza pekee, bali kwa kupunguza sababu zinazowasukuma watu kuingia kwenye uhalifu. Kwa miongo miwili...
4 Reactions
5 Replies
141 Views
RAIS Samia Suluhu Hassan amepewa tuzo maalumu na wakandarasi nchini kwa kuthamini mchango wake na hatua alizochukua kwenye sekta ya ujenzi tangu aingie madarakani miaka minne iliyopita. Rais...
2 Reactions
17 Replies
762 Views
Hali ya Barabara Kuu kutoka Dareda Mkoani Manyara hadi Singida ni mbaya kwa kweli, magari yanalazimika kutembea kwa mwendo mdogo kwa kuwa mashimo ni mengi na ukienda kwa mwendo wa kasi unaweza ama...
2 Reactions
15 Replies
465 Views
Bado siku 5: mkutano mkuu wa wanahisa na jukwaa la miundombinu Afrika 2026.
0 Reactions
0 Replies
44 Views
Hii ni kufuru na dhihaka kwa wahanga wa October 29. Watu wameuawa kinyama, hakuna hata mtu mmoja aliyewajibika au kuwajibishwa kwa hayo mauaji ya kikatiri halafu unasema tupo vizuri kisiasa. Hili...
9 Reactions
24 Replies
240 Views
Kuna wabobezi wa masuala haya kama kaka yetu Evarist Chahali watadadavua tetesi tulizopata hizi Nimepenyezewa kwamba mwaka 2015 bwana mkubwa ambaye anaongoza visiwa vya Guam alikuwa na ushindani...
37 Reactions
284 Replies
55K Views
CCM chama changu HUWA mnakurupuka sana,sijui akili zenu HUWA mnamwazima nani wakati wa kupitisha SHERIA tata kama hizo. Hivi mnajua baada ya hapo mnatakiwa muwe makini mnapokosoa serikali!!?yaani...
13 Reactions
15 Replies
3K Views
Akizungumza katika mahojiano na Crown Media Julai 30, 2029, Wakili Peter Madelekea amedai kuwa nchini kuna aina ya "ugaidi wa kisiasa" ambao unatumika kimkakati ili kutengeneza mazingira ya...
1 Reactions
2 Replies
121 Views
Hamjambo! Mimi sijambo Unapoingia kwenye siasa usiingie kichwa kichwa kama panya kwenye shimo ambalo hakulichimba. Asilimia kubwa ya watu siasa kwao ni fursa ya kibiashara na kiuchumi. Wao...
1 Reactions
2 Replies
87 Views
Assalam alaykum Ukisikiliza kwa uzuri kauli ya kiongozi ya jana ukiunganisha na uamuzi wa mahakama ya rufaa utang"amua kuwa huenda mh Tundu Lissu ataachwa huru hivi punde. Serikali imekubali...
14 Reactions
27 Replies
606 Views
Chadema haiwezi kuwa na wazee kama hawa. === Katibu wa Baraza la Wazee la CHADEMA Jimbo la Katavi, Anthony Kalala amesema walipanga kufanya maandamano ili Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA akae...
6 Reactions
23 Replies
420 Views
Wakuu amani ya Bwana iwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake popote mlipo Rejea mada Tajwa hapo juu Ccm ni chama cha mda mrefu , ila unaweza jiuliza kwa vijana katika chama husika wote ni vilaza...
11 Reactions
36 Replies
459 Views
Unadhani hii inaweza kua imetokana na nini na inaonyesha picha gani kubwa na ya jumla kisiasa humu nchini? Sifahamu sana ikiwa vyama vingine vya siasa nchini viko katika hali ya kutokubalika kama...
3 Reactions
60 Replies
544 Views
Kichwa cha Marehemu James Temba Chadaiwa kupatikana maeneo ya Kitunda Kibeberu. Ni yule aliyeookotwa Mto msimbazi akiwa anaelea bila kicwa ambapo mwili wake ulisafirishwa kwenda kwao Moshi na...
2 Reactions
83 Replies
2K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Inashangaza na inakera kwa wakati mmoja. Mojawapo ya mambo yanayoshangaza sana ni kwa jinsi gani wapinzani uchwara wa CHAUMA wanajitahidi sana kufuatilia mambo yanayoendelea...
26 Reactions
33 Replies
627 Views
Hii Nchi Wenye akili waliuliwa October 29. Endeleeen kupumzika kwa Amani ndugu zetu.🙏
2 Reactions
5 Replies
152 Views
UCHAMISHAJI WA TAASISI ZA UMMA: TISHIO KWA UTAWALA BORA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Katika mfumo wa taifa la kisasa, kuna tofauti kubwa kati ya chama cha siasa, serikali na taifa. Chama...
3 Reactions
0 Replies
58 Views
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amekosoa mwelekeo wa mchakato wa Katiba Mpya nchini, akidai kuwa watawala wanajaribu kusukuma...
1 Reactions
2 Replies
81 Views
Nimeziona picha zilizotumwa mtandaoni zikiwaonyesha viongozi wa vyama vya siasa waliokua wakimsikiliza Samia, ama kwa hakika ni aibu na hawatii matumaini kwa Tanzania ijayo. Yani ule ukumbi...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
Back
Top Bottom