Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jeshi la polisi Tanzania, mmemsikia waziri mkuu,snadai Kuna mtu kakamatwa na mabomu, JE nyinyi mdo mlimkamata? Mbona mpo kimnya? Mtajeni tumjue huyo ni adui wa Taifa letu sote kama kweli kakamatwa...
3 Reactions
19 Replies
224 Views
Moja ya kitu siwezi kukisaau ni KAULI za hayati Magufuli enzi za maradhi ya korona hakika zilizuia taharuki kubwa sana kwa wananchi, Wapo walio KAIDI ushauri wao na kwakweli waliondoka na korona...
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Sijui ninayo yaona ndiyo mnayoyaona, ILA kiukweli simwamini Katambi, Wala simwamini mwiguru kama kweli Taifa lipo hatarini kuchafuka, km ni kweli kwanini hawakuona hatari ya 29/10/2025?
0 Reactions
1 Replies
96 Views
Tufike pahala tuelezane ukweli Katambi na wenzake tuna kila sababu za kuwapuuza kama kweli tunaitaka nchi yetu iendelee. Wewe unazuia mikutano ya HADHARA ukiwa bungeni,hiyo hatari uliyoiona...
4 Reactions
4 Replies
130 Views
  • Redirect
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kumetokea hitilafu katika gridi ya taifa, hali iliyosababisha mikoa yote inayohudumiwa na gridi kukosa umeme, na kwamba inaendelea na jitihada za...
1 Reactions
Replies
Views
https://www.youtube.com/live/h3i8-aVhzGA https://www.youtube.com/watch?v=G7NseGbdVVM Leo Juni 23, 2026 Kiongozi wa ACT Wazalendo Dorothy Semu ameongoza uwasilishaji wa Uchambuzi wa Bajeti Kuu ya...
6 Reactions
7 Replies
268 Views
Je, Hivi Ndivyo Wafanyakazi Wanavyopaswa Kuishi? Malalamiko Mazito Kuhusu Mazingira ya Kazi Katika Kiwanda cha Fortune Paper Kuna haja mamlaka husika nchini Tanzania kuangalia kwa karibu mazingira...
1 Reactions
9 Replies
174 Views
Hilo limesha julikana mnaona spana za upinzani ni kali na misumari ya moto kabisa, hivyo mmeona mjifanye mnazuia siasa vyama vyote, halafu nyie muendelee na siasa kwa kwa mgongo wa ziara za kikazi...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Halafu anaibuka mtu anaitwa Polepole akitaka kutuaminisha Magufuli alikuwa mzuri sana na mstaarabu Pia soma Prof. Assad: Sikustaafu kuwa CAG bali niliondolewa kinyume na Katiba bila Kulipwa...
11 Reactions
60 Replies
1K Views
Yaani huwezi kuwa Mzalendo na kubaki kwenye CCM hiii. Waliopo ni walaji , mafisadi na wale wanaofikiri watanufaika. Hakuna watanzania wengi ambao wapo CCM bila manufaa binafsi kwa sasa. Ndiyo...
11 Reactions
18 Replies
232 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema kuwa serikali haitasita kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya mtu yeyote atakayeshiriki au kuhamasisha maandamano yaliyopangwa kufanyika...
2 Reactions
17 Replies
358 Views
Wadau wa sheria nimejitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu kuitafuta hii hukumu na kuileata mbele yenu ili tuijadili. Nimefanikiwa kuipata na naomba tuisome kwa kina halfu tuijadili. Ni ndefu ni kama...
3 Reactions
78 Replies
16K Views
Kuna jamaa mmoja mwenye jina la kike anapigia kampeni CCM! Naona kazidiwa hoja🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️
2 Reactions
5 Replies
252 Views
Je Mange Kimambi katuingiza mjini? Aliapa hakutokuwa na uraisi wa Samia ila almost mwaka sasa; hao wanajeshi alisema watasimama na sisi ila wakaruhusu tuuliwe kama mbwa Alisema akina Tesha cjui...
11 Reactions
31 Replies
912 Views
Sheikh Mwaipopo, Tanzania ni Kubwa kuliko CCM, kuliko Samia na Genge lake !!. Sheikh Mwaipopo, Mungu kanipa Maono, ilikuwa usubiriwe Usimame mbele Kuta za MAHAKAMA ujibu Tuhuma za Harakari zako...
5 Reactions
25 Replies
537 Views
Nina Imani, kama Abdul hasingekuwa mtoto wa Rais,hasingekuwa mzanzibari akawa mtanganyika hasiye ona hata upande wa kitambaa cha bendera ya Tanganyika, akakosa ajira,akaishia maisha magumu kama...
2 Reactions
8 Replies
292 Views
Habari ya usiku huu. Kawaida kila siku lazima nitembelee kidogo twitter kuona mambo mbali mbali ya duniani huko. Lakini leo hata kwa VPN haiendi hata kidogo je ni kwangu tu au na wengine mnapata...
3 Reactions
5 Replies
249 Views
  • Featured
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Paul Makonda amesisitiza kuwa Tanzania ni kinara wa demokrasia barani Afrika kutokana na historia yake ya kipekee ya kupigania uhuru wa mataifa mengine...
11 Reactions
94 Replies
2K Views
Wanaukumbi, HISTORIA ya TANU ingelipotea kabisa kama siyo juhudi za makusudi za Profesa John Illife wa Cambridge aliyekuwa mwalimu wa historia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika miaka ya...
6 Reactions
59 Replies
11K Views
Back
Top Bottom