Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Viongozi 15 wa Chama cha Wananchi (CUF) Zanzibar wameisusa CUF tangu Jumapil, Juni 28, 2026, wametangaza kujiuzulu kwa sababu mbalimbali ikiwemo kutoridhishwa na uongozi wa sasa. Nawashauri...
2 Reactions
7 Replies
204 Views
Daa, hadi mwili unatetemeka. Leo nimepata very classified information kutoka Tanzania kuhusiana na kutekwa Kwa Hamphley Polepole. Polepole alikuwa mwiba mchungu Kwa CCM na Samia. Na hali hii...
59 Reactions
177 Replies
6K Views
Natamani sana kuuelewa ukimya wa mh rais kwenye mambo nyeti ya kitaifa kama hili la waziri wa mambo ya ndani kumwagiza IGP asitoe kibali cha mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa,na hii ni...
0 Reactions
5 Replies
144 Views
Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Serikali imeboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi katika maeneo ya vijijini na mijini Amesema kuwa bajeti ya Wizara ya Maji...
0 Reactions
7 Replies
141 Views
Uwanja wa Ndege Kigoma umetajwa kama Uwanja Bora kabisa duniani kwa miundombinu Rafiki kwa watu wenye mahitaji Maalum. KIGOMA HATUNA DENI
15 Reactions
47 Replies
3K Views
Panya road walianza mwaka 2014 wakaendelea mdogo mdogo wakaja kuibuka kuanzia 2022 mpaka leo hii, wakazi wake wengi ni kama Zanzibar, Temeke, Tandika, Chanika, Mwananyamala, Buguruni, Kinondoni...
7 Reactions
30 Replies
474 Views
My Take Kwa navyomjua Rais Samia hatiweka kabatini haya mapendekezo ya kimageuzi kama watangulizi wake. Tume ya rais imependekeza mageuzi makubwa 284 ya kubadili mfumo wa kodi wa taifa...
3 Reactions
44 Replies
692 Views
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 100 kuchangia ujenzi wa Shule ya Msingi na Awali inayojengwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kusini Mashariki ya...
2 Reactions
21 Replies
389 Views
Ukweli siku zote una speed ya kobe lakini haujawai kushindwa kufika mwisho wa safari. Ndivyo ilivyo kwa utawala wa awamu ya 6 wanatundanya na kutuona labda hatuna akili lakini kuna siku ukweli...
7 Reactions
44 Replies
433 Views
Wanabodi, Niko hapa ukumbi wa Four Points by Sheraton, nikiwaripotia live mubashara, Kikao Kazi kati ya Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, na Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini kupitia...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, John Heche Ni Muongo sana Anapokuwa Jukwaani, anakuwa anatoa sauti kubwa huku akiongea takwimu za uongo uongo na Uzushi uzushi tu akifikiria anaongea na kuzungumza na...
8 Reactions
180 Replies
2K Views
Manispaa ya Ilemela Mwanza, Kata ya Ilemela kuna Mtendaji anakusanya michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za mwenge, wanapita katika ofisi na taasisi mbalimbali kuomba michango hiyo. Sasa...
0 Reactions
1 Replies
120 Views
Huku waziri aloteuliwa na Samia akifungia vyama vya Siasa, Mtoto wa Rais wa Uganda amefungia vyombo vya habari. Kisa mtangazaji wake alihoji kutata kujua kama Janeth Mke wa Museven amekufa huko...
3 Reactions
8 Replies
200 Views
Ikiwa Serikali ilijuwa kwamba imenunua meli mbovu ambayo mda wote ingezama lakini iliacha ikaendelea kutumika Hadi ilipopinduka na kuua maelfu ya watu,lengo la kufanya haya ilikuwa ni nini hasa...
4 Reactions
45 Replies
3K Views
Wakili Peter Madeleka amesema kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) na maofisa wote wa Jeshi la Polisi wanapaswa kutekeleza Katiba na sheria za nchi, badala ya kufuata maelekezo ya viongozi ambayo...
1 Reactions
5 Replies
219 Views
Ungelidhani kweli ni mtu kumbe ilikuwa njaa na si dhamiri kama alivyo nabii Lissu -- Video hii inatoka kwenye mdahalo wa mubashara (live debate) uliorushwa na kituo cha televisheni cha Star...
3 Reactions
8 Replies
266 Views
RUVUMA KUPAA: NDEGE ZA ATCL KUONGEZWA, VYUO VIKUU VIWILI KUANZA OKTOBA,MKANDARASI BARABARA YA NJOMBE KUKABIDHIWA MRADI Ongezeko kubwa la abiria wanaoingia na kutoka Songea mkoani Ruvuma sasa...
0 Reactions
7 Replies
153 Views
Leo nimeona mkeka wa wahitimu wa kidato cha sita wapatao 60,000 ambao wamelazimishwa kwenda JKT kwa lazima kwenye makambi mbalimbali waliyopangiwa kuripoti kuanzia tarehe 01.07.2026. Huyu mtu...
43 Reactions
195 Replies
4K Views
Inadaiwa inamilikiwa na Mtanzania Patel. Lakini nimeongea na Mwarabu rafiki yangu, nilimuuliza kwanini Tangu Januari 2026 hii hotel inapokea Watu wengi kutoka Uarabuni hasa Oman? Gharama ya...
3 Reactions
9 Replies
307 Views
Dangote hapendi usiri usiri na ndiyo maana alisema waziwazi gharama za ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta lakini serikali ya Tanzania haipendi uwazi maana wanataka rushwa. Tumejaa watu ambao...
11 Reactions
27 Replies
371 Views
Back
Top Bottom