Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Bajeti ya Serikali ya 2025/26 itakayosomwa kesho Juni 12, 2025 ni bajeti ya uchaguzi kwa sababu Serikali imeanza safari ya kugharamia uchaguzi wake...
Angalizo: Mods Msiunganishe Huu Uzi .
Kutoka kwenye Bajeti ya Tanzania 2025/26 ya Shilingi Trilioni 56.4 ikiwa ni ongezeko la makadirip ya awali ya Trilioni 55.
Uchambuzi wake Kwa muktadha wa...
Hii naomba muichukue kama ilivyo kwani ni swala la muda tu.
Itakuwa ni kama vile Lissu alipoenda kusalimiwa pale Nairobi baada ya kumiminiwa risasi na jeshi la Farao wa wakati ule.
Muda utaongea.
Waziri wa fedha wakati akiwasilisha bajeti ya taifa amewataka wananchi kuilinda amani na wasikubali mksingi ya taifa ikatikiswa kwani mataifa yaliyofanya mazaha na jambo hilo iliingia kwneye...
Katika maisha yangu yote ya kusoma sayansi ya biologia, hakuna topic ambayao mpaka sasa nimeshindwa kuielewa kama EVOLUTION. Hii ndio topic inayojaribu kuaminisha watu kuwa ulimwengu na viumbe...
Kampeni hiyo imezimika kama moto wa mabua mitandaoni, field na ground baada ya wanainchi kuipuuza kizalendo zaidi.
Hali hiyo imekuja baada ya gen z wa Kenya kuacha tena kusambaza hiyo ujinga...
CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu...
This thing is getting serious, mwanzo wengi walibeza kuwa no Reform No Election ni upuuzi lakini sasahivi kila mtu anajionea ilipofikia.
Kuna kamchezo watu wachache wanacheza lakini hii kete...
Mwambieni rais haramu na wambura na mgunda tuna chukulia wauwaji kama waasi wa nchi hilo jeshi sio la baba zenu mmelikuta na mtaliacha mtaona moto.
Hatucheki na wapumbavu wakatafute wapumbavu...
Lissu akiachiliwa tu alisema hatopoa ni mchaka mchaka maandamano kila siku tena yeye atayaongoza mwenyewe Genz mjiandae.
Lazima tu ataachiliwa hata kama sio leo na akiachiliwa siku hiyo hiyo...
Kuendelea kuteka na kuuwa na kuendelea kuwashikiria watu mateka na kutofanyika kwa mabadiliko yoyote kutochochea maandamano mengine makubwa.
Vitendo hivi wananchi hawavichukulii kama vitisho bali...
Heshima sana wanajamvi.
Lissu alinshinda Mbowe kwa asilimia ndogo sana.
Lissu na team yake baada ya kukabidhiwa chama hawakutambua kundi la Mbowe bado lilikuwa na ushawishi mkubwa sana.
Matendo...
Huwa nawashangaa Hawa wabunge na viongozi wa upinzani wakishupaza shingo zako "NO REFORM NO ELECTION" Ni mara ngapi wamechangia katika maendeleo ya nchi Yao kupitia pesa zao za mifukoni...
Tumalizie kuwaumbua hawa Wakatoliki wa kuchaji. Huyu ni wa mwisho, then tuendelee na mambo mengine ya msingi. Dunia imeshajua hawa ni Wajinga, na Ulimwengu umetambua aliyewatuma ni Mpumbavu.
Huyu...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, "kustaafu vizuri" na kuacha kutoa malalamiko dhidi ya serikali kwenye vyombo vya habari, badala yake atumie...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amekichambua kizazi cha vijana (Gen-Z) kama silaha kuu na yenye nguvu zaidi katika harakati za kuleta mabadiliko ya kisiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.