Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Mussa Juma Assad, amesema "mazungumzo haya, 'unajua Jimboni kwangu barabara...', si mazungumzo ya bunge. Mazungumzo ya bunge ni policy...
12 Reactions
18 Replies
548 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa Maoni yangu na kwa Ushauri wangu katazo la kufanya mikutano yote ya siasa kwa vyama vyote vya Siasa hapa Nchini lisingewagusa Wabunge wa Majimbo. Wabunge wote kutoka...
2 Reactions
44 Replies
414 Views
Ndugu zangu Watanzania, Soma Hapa👉Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro amesema baadhi ya Viongozi wanapokuwa Serikalini hujikuta wakijisahau na kufikia hatua ya kujiona kuwa wao ndio kila...
0 Reactions
1 Replies
162 Views
Kama mwanadiplomasia na mwanasiasa mwandamizi nchini, nimeifuatilia chadema kwa karibu sana na kwa muda mrefu, na nimethibitisha pasina shaka na kujiridhisha kwamba, chadema inakiuka sheria na...
3 Reactions
67 Replies
978 Views
14 August 2020 Hai, Kilimanjaro Tanzania Madhara ya Marufuku ya Siasa kwa miaka 5 imesababisha CCM kukosa uvumilivu wa kisiasa na kutishia machafuko nchini Kufuatia kupigwa marufuku shughuli za...
15 Reactions
65 Replies
10K Views
Wakazi na mashabiki mbalimbali wamekuwa wakilalamikia hali ya huduma katika Uwanja wa CCM Kirumba uliopo jijini Mwanza, Tanzania wakisema kuwa ukosefu wa vyoo vya kutosha ndani ya uwanja huo...
4 Reactions
15 Replies
325 Views
Nikiona wanaume wenye makalio makubwa na mapaja mapana kama wanawake kama Bashiti, siishi kujiuliza kunani au kuna namna. Wenye kujua hali au ugonjwa huu wanielimishe. Naogopa kuwahukumu wenye...
8 Reactions
28 Replies
560 Views
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa(MCC) Salim Asas, amepongeza kwa kiwango utendaji kazi wa serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu...
2 Reactions
14 Replies
260 Views
Leo bungeni Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi ammwagiza IGP Wambura kutoa maelekezo kwa Makamanda wote wa mikoa kuimarisha uratibu wa usalama katika kipindi hiki ambacho kunatarajiwa kuwa...
3 Reactions
5 Replies
170 Views
Kwenye ukurasa wake wa X msemaji wa Chadema Brenda Rupia ameandika, #OperesheniKatibaMpyaFreeTunduLissu inaendelea leo katika Kanda ya Magharibi, Mkoa wa Tabora. Wananchi, endeleeni kukichangia...
20 Reactions
29 Replies
575 Views
Kwa Mujibu wa Katiba ya Tanzania, Maandamano ya Amani ni Haki kisheria Baada ya vijana wa Tanzania kuisoma Katiba ya Nchi yao kwa kutumia miwani na kuiona Ibara husika wameanza kuulizia Ratiba...
40 Reactions
198 Replies
3K Views
Wanabodi, Hiki ni kisa cha kweli, yaani non fiction, ila majina tuu ndio nimetumia majina bandia cha Kisa cha Binti Zanzi Aliebakwa na Mwarabu fulani, Mwarabu akamtwa kama mtumwa, kuwa ni mali...
11 Reactions
57 Replies
665 Views
Nashangaa kuona wafuasi wa chadema wanatumia mikutano Yao kujifariji kuwa wanakubalika🤣🤣 Hebu pokeeni ukweli huu. chadema hamtakaa mshinde uchaguzi hilo msahau hao watu siyo wapiga KURA wenu...
4 Reactions
77 Replies
881 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwepo kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia mkoani Katavi, kikituhumu baadhi ya askari polisi kutumia vibaya mamlaka yao kwa kuwafanyia wanawake...
3 Reactions
5 Replies
245 Views
Serikali inajua na Katambi anajua kuwa, moja ya sababu iliyopelekea kujadiliwa na mabunge haya ni pamoja na kuwanyima wananchi na vyama vya siasa uhuru na haki ya kukusanyika na kutoa mawazo yao...
4 Reactions
7 Replies
206 Views
YAH: UHAMISHO NA UTEUZI WA VIONGOZI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na uteuzi wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu...
2 Reactions
4 Replies
200 Views
Serikali ya Raisi Samia imefika mahali inafikiri kwamba inaweza kuamua jambo lote lile kufanyika hapa nchini, hata kama kufanya hivyo ni kupingana na katiba ya nchi. Serikali hii imefanya maamuzi...
6 Reactions
26 Replies
366 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo, kwamba tayari Ile Oparesheni Kabambe ya Free Lissu na Katiba mpya imegusa Mpanda n.a. kuacha maumivu Viongozi wa ccm wa eneo Hilo wamekimbilia maporini kujificha...
24 Reactions
54 Replies
614 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na uteuzi wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses...
3 Reactions
5 Replies
178 Views
Ukisoma komenti zinazotolewa kwenye nyuzi zinazohusu mikutano ya chadema utaona kuna wanaccm sijui akili zimekuwaje. badala ya kufikiri tufanyeje ili kuiponya CCM na anguko kubwa tunabaki...
6 Reactions
18 Replies
430 Views
Back
Top Bottom