Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Maelezo yake yalijaa vitisho mwanzo mwisho. Pia alionekana kulazimisha watanzania waamini kuwa bandari inapata faida baada ya kununuliwa na DP World. Hiyo faida ya bandari siyo ya watanzania, ni...
22 Reactions
49 Replies
3K Views
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Bajeti ya Serikali ya 2025/26 itakayosomwa kesho Juni 12, 2025 ni bajeti ya uchaguzi kwa sababu Serikali imeanza safari ya kugharamia uchaguzi wake...
8 Reactions
76 Replies
3K Views
Pia anatajwa kama kiongozi wa UVCCM kata ya Kindai, Singida. Ushahidi huu hapa Je ni nani anayemtuma na anataka nini?
14 Reactions
74 Replies
3K Views
Gazeti la "The Wall Street Journal " la New York la tarehe 11/06/2025 limesema Rais Samia anatumia Madaraka yake vibaya. Britanicca
41 Reactions
154 Replies
7K Views
Angalizo: Mods Msiunganishe Huu Uzi . Kutoka kwenye Bajeti ya Tanzania 2025/26 ya Shilingi Trilioni 56.4 ikiwa ni ongezeko la makadirip ya awali ya Trilioni 55. Uchambuzi wake Kwa muktadha wa...
8 Reactions
95 Replies
2K Views
Hii naomba muichukue kama ilivyo kwani ni swala la muda tu. Itakuwa ni kama vile Lissu alipoenda kusalimiwa pale Nairobi baada ya kumiminiwa risasi na jeshi la Farao wa wakati ule. Muda utaongea.
6 Reactions
7 Replies
150 Views
Salaam Wakuu! Mwenye CV ya huyu Mtanzania mwenzetu, tafadhali aiweke hapa.
13 Reactions
62 Replies
5K Views
Waziri wa fedha wakati akiwasilisha bajeti ya taifa amewataka wananchi kuilinda amani na wasikubali mksingi ya taifa ikatikiswa kwani mataifa yaliyofanya mazaha na jambo hilo iliingia kwneye...
2 Reactions
25 Replies
682 Views
Katika maisha yangu yote ya kusoma sayansi ya biologia, hakuna topic ambayao mpaka sasa nimeshindwa kuielewa kama EVOLUTION. Hii ndio topic inayojaribu kuaminisha watu kuwa ulimwengu na viumbe...
16 Reactions
35 Replies
2K Views
Hili liwe onyo kwa Wajinga wenzao kote tunakopita, ukijaa kwenye mfumo wetu utapigwa. Chadema inataka Amani lakini haitavumilia ujinga wa yeyote yule.
44 Reactions
120 Replies
6K Views
Kampeni hiyo imezimika kama moto wa mabua mitandaoni, field na ground baada ya wanainchi kuipuuza kizalendo zaidi. Hali hiyo imekuja baada ya gen z wa Kenya kuacha tena kusambaza hiyo ujinga...
4 Reactions
103 Replies
2K Views
CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu...
7 Reactions
119 Replies
6K Views
This thing is getting serious, mwanzo wengi walibeza kuwa no Reform No Election ni upuuzi lakini sasahivi kila mtu anajionea ilipofikia. Kuna kamchezo watu wachache wanacheza lakini hii kete...
17 Reactions
62 Replies
2K Views
Mwambieni rais haramu na wambura na mgunda tuna chukulia wauwaji kama waasi wa nchi hilo jeshi sio la baba zenu mmelikuta na mtaliacha mtaona moto. Hatucheki na wapumbavu wakatafute wapumbavu...
1 Reactions
3 Replies
92 Views
Lissu akiachiliwa tu alisema hatopoa ni mchaka mchaka maandamano kila siku tena yeye atayaongoza mwenyewe Genz mjiandae. Lazima tu ataachiliwa hata kama sio leo na akiachiliwa siku hiyo hiyo...
3 Reactions
8 Replies
175 Views
Kuendelea kuteka na kuuwa na kuendelea kuwashikiria watu mateka na kutofanyika kwa mabadiliko yoyote kutochochea maandamano mengine makubwa. Vitendo hivi wananchi hawavichukulii kama vitisho bali...
6 Reactions
7 Replies
99 Views
Heshima sana wanajamvi. Lissu alinshinda Mbowe kwa asilimia ndogo sana. Lissu na team yake baada ya kukabidhiwa chama hawakutambua kundi la Mbowe bado lilikuwa na ushawishi mkubwa sana. Matendo...
6 Reactions
90 Replies
3K Views
Huwa nawashangaa Hawa wabunge na viongozi wa upinzani wakishupaza shingo zako "NO REFORM NO ELECTION" Ni mara ngapi wamechangia katika maendeleo ya nchi Yao kupitia pesa zao za mifukoni...
0 Reactions
92 Replies
2K Views
Tumalizie kuwaumbua hawa Wakatoliki wa kuchaji. Huyu ni wa mwisho, then tuendelee na mambo mengine ya msingi. Dunia imeshajua hawa ni Wajinga, na Ulimwengu umetambua aliyewatuma ni Mpumbavu. Huyu...
43 Reactions
146 Replies
3K Views
  • Redirect
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, "kustaafu vizuri" na kuacha kutoa malalamiko dhidi ya serikali kwenye vyombo vya habari, badala yake atumie...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom