Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Nani mwenye update ya hili igizo? Kesi ya yule mwanajeshi wa Marekani mwenye asili ya Kenya aliyekamatwa na mabomu 4 ilifika mahakamani? Mtuhumuwa aliachiwa au bado yuko ndani? Kama...
10 Reactions
19 Replies
439 Views
Swali liko wazi. Hiki kiseeenge ni noma na kinahitaji tuwe noma pia kinomanoma kumomesha unoma kinoma au vipi?
1 Reactions
8 Replies
235 Views
Week Mzima unakula kazi ila weekend vyombo niende kuongeza uchangamfu
3 Reactions
5 Replies
146 Views
Wakuu, Msemaji Mkuu wa Serikali anatarajia kufanya mkutano rasmi na waandishi wa habari siku ya leo, Juni 28, 2026. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari (MAELEZO) chini ya Wizara...
4 Reactions
43 Replies
985 Views
Siasa za Chadema za kutegemea matamko ya Bunge la Ulaya na Senate ya Marekani ni kiashiria kibaya kwamba Wale wakoloni ambao Nyerere aliwafukuza wanataka kurejea kwa msaada wa Chadema. Ni jambo...
3 Reactions
105 Replies
947 Views
Sasa labda ili tuliweke kiudini maana tukiliweka kitaifa TUNAKUTANA na mijitu kama yule shekhe sijui nani, pasipo kumsaau shekhe majini.r.i.p. Wakatoliki tunayo Nafasi ya kutafakari matendo...
5 Reactions
23 Replies
271 Views
Tanzania hatuna Sheria ya “Self defense gadgets” hivyo silaha nyingi za kujihami zinaangukia kwenye Sheria ya umiliki wa silaha na risasi, hata pepper spray na mishale ile ya kisasa ya chuma...
2 Reactions
2 Replies
161 Views
Naanza kuwajua WABAYA wa Taifa letu taratibu Sasa Umeme ni kitu MUHIMU saa kwa ulinzi wa Taifa letu😅 Internet ni MUHIMU sana kwa wapinzani wakitaka kupindua inji yetu ya Tanzania. Naelewa Sasa...
0 Reactions
5 Replies
251 Views
Moja ya changamoto iliyo ndani ya kanisa katoliki ni kitendo cha sisi waumini kwenda kanisani kusali na baada ya Ibada wale waumini utawanyika na kurudi majumbani mwao. Hali hii ni tofauti sana...
0 Reactions
6 Replies
140 Views
Uu, sio udini jamani narudia tena sio udini wakatoliki tunashambiliwa mno na tupo kimnya, Faza kitima alishambuliwa hatukuchukua HATUA na mpaka Leo hakuna TAARIFA yoyote iliyotolewa dhidi...
0 Reactions
13 Replies
189 Views
1. P. Katambi (Anashikilia Record) 2. Saada Mkuya (Wa fedha wakati wa Jakaya) 3. Hamis Kigwangalla 4. Nape Nnauye 5. Makame Mbalawa 6. Samia Suluhu Hassan (Kipindi cha Jakaya) 7. Joseph Mungai...
42 Reactions
88 Replies
2K Views
Hivi msajili wa vyama vya siasa sheria yake inaruhusu vyama vya siasa vinavyohamasisha vurugu bila kushiriki uchaguzi?
0 Reactions
36 Replies
329 Views
Mwanaharakati Ahmed Kombo, ameahidi kutoa zawadi ya Mbuzi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ikiwa ni pongezi baada ya hatua ya kuzuia mikutano ya vyama vya siasa "Waziri...
1 Reactions
3 Replies
145 Views
Anaandika Astra ambaye mara nyingi anasema yuko Oysterbay polis https://x.com/tzastra2014/status/2070933680667971696?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg Hii ni Hatari
8 Reactions
46 Replies
2K Views
Kote nilikopiga simu mikoani hakuna umeme. It seems ni tatizo la Taifa. Miaka 65 ya uhuru na CCM hatuna mbadala wa chanzo cha umeme mwingine in case chanzo kimoja kinafail kama hivi! Priority ni...
4 Reactions
22 Replies
589 Views
Ndugu zangu Watanzania Hakuna Taifa limewahi kuendelea ama kuwa Tajiri kwa kutegemea misaada na pesa za Wahisani. Hakuna Taifa linaweza kutoa pesa za walipa kodi wake ili likupe wewe uwe tajiri...
-1 Reactions
98 Replies
889 Views
Kwakweli huwa inaumiza sana pale mtu anapotumia umaarufu wake au chama chake au nafasi yake katika jamii kupora Hela na Mali za watanzania kwa makusudi yake binafsi. Mimi instinct desire Leo...
2 Reactions
37 Replies
414 Views
nimekuwa nikiona jinsi mataifa mbalimbali yanavyohifadhi historia zao kwa kuanzisha siku maalumu za kumbukumbu. Kwa mfano Timor-Leste huadhimisha kila mwaka tarehe 12 Novemba kuwakumbuka...
0 Reactions
9 Replies
109 Views
16 May 2026 Aliko Dangote ampongeza Samia Hassan kwa kuchaguliwa 29 Oktoba 2025 https://m.youtube.com/watch?v=e-CPQCNBkho Akiongea live mubashara ikulu ya Dar es Salaam mara baada ya kikao chake...
3 Reactions
35 Replies
544 Views
Nikikumbuka, TAARIFA ya waziri mkuu mstaafu dhidi ya Afya ya Hayati magufuli kwa wananchi wa Tanga, aliwambia naomba kunukuu" Rais WENU ni mzima wa buheri WA afya, yupo imara kama CHUMA na...
2 Reactions
8 Replies
201 Views
Back
Top Bottom