Mji Umepoa Sana Weekend Hii

Mji Umepoa Sana Weekend Hii

kinondoniilala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
2,081
Reaction score
2,973
Wazee wa Geti Jeusi hebu tupia kitu cha kutuchangamsha Mjini.

Hizi mbanga za Simba na YANGA Sasa hivi Hazishitui tena...leteni vitu vipya tuchangamke Mjini
 
Na hao yanga na simba Kwa kuwa wamepuuzwa ccm kwishaaaaaaaa habari yao maana walikuwa wamejaza ujinga wao huko Kwa kuhadaa watu
Muda wote nyumbu mnawaza siasa tu, uomalize ccm kwa vichambo hivyo vya vidole juu ndani ya Dela?!!! Sahau.
Halafu aliyekwambia Yanga na 5imba zimepuuzwa nani?!!! Kwani unaongea kutokea wapi, simiyu au?!!!
 
Kurusha roketi, hawana akili hiyo.
Kuua magaidi waliounda serikali, hawawezi.

Basi Wamuweke mtu kwenye kiroba wamtupe mto Msimbazi ili jiji lipate story, mana ndicho wanachoweza.
 
Wazee wa Geti Jeusi hebu tupia kitu cha kutuchangamsha Mjini.

Hizi mbanga za Simba na YANGA Sasa hivi Hazishitui tena...leteni vitu vipya tuchangamke Mjini
Kula vyuma hivyooo!!..
 

Attachments

  • downloadfile(52).jpg
    downloadfile(52).jpg
    127.9 KB · Views: 1
  • downloadfile(47).jpg
    downloadfile(47).jpg
    19.3 KB · Views: 2
Muda wote nyumbu mnawaza siasa tu, uomalize ccm kwa vichambo hivyo vya vidole juu ndani ya Dela?!!! Sahau.
Halafu aliyekwambia Yanga na 5imba zimepuuzwa nani?!!! Kwani unaongea kutokea wapi, simiyu au?!!!
Nyie nguruwe mnaofugwa kizimkazi kazi yenu kula mavi yenu hiyo ccm yenu iko wapi, bado mnajifariji kuwa mnachama kama kingewa chama mngegeuka genge la watekaji linalojifanya wasiojulikana. Nyie ndio wapumbavu mnaojidanganya kuwa mnachama ndio maana lichama limewafia nguruwe kasoro mkia nyinyi.
 
Kama mji umepoa kwako, maana yake huna bajeti ya mahali mji ulipo changamka. Tafuta hela uone kama utauona umepoa.
 
Back
Top Bottom