Kada wa CHADEMA, Joseph Selasini, amemshauri Rais Samia kutafuta suluhu ya kisiasa katika suala linalomhusu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akisisitiza kuwa hatua yoyote ya kumaliza sakata...
https://youtu.be/MlQRJzlk_JM?si=6mw_RwolPu_sNa9P
Ameyasema haya leo akiongea na waandishi wa habari huko Iringa.
Ameitaka serikali chini ya CCM ikiongozwa na Rais Samia kuweka kiburi na majivuno...
Sheikh Said Mwaipopo ametoa tuhuma nzito dhidi ya Makamu Mwenyeiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, akimtuhumu kwa vitendo vya utapeli na kujipatia fedha kwa njia za...
UONGOZI UNAOACHA ALAMA
Uongozi wa awamu ya tano uliacha alama. LAKINI njia zilizotumika kuacha alama, pia njia hizo ziliacha alama.
Unatakiwa uongozi unaoacha alama bila kutumia njia zinazoacha...
Kuna hujuma kali sana inafanywa na mauaji kutaka kuisambaratisha CHADEMA. Hii inaonesha kabisa hawa watu sio kwamba wana nia ya kuiponya Tanzania
Wala hawajali mauaji waliyoyafanya Octoba 29...
Hili ni kokoro linasomba yeyote yule.
Maisha ya Ajabu sana. Leo hii Selasini aliyekaribishwa na Mbatia NCCR alimtimua Mbatia aaliyemkaribisha baada ya kutumiwa na TISS. Huyu pia alitumika...
Salum Mwalimu aliyekua Katibu Mkuu wa CHAUMMA na Mgombea Urais wa chama hicho 2025, akizungumza kupitia kipindi cha One on One cha Wasafi TV amesema badala ya kuendelea kulalamika ni bora...
Wakuu,
Hili suala la Tundu Lissu limeendelea kutuchafua Tanzania Kimataifa
Documentary za aina hii tushazoea kuziona zikifanyika kwenye Banana Republics kama Burundi, Sudan na kwingineko lakini...
Historia inajirudia kwa namna ya kutofurahisha wakati mifumo ya usalama inapogeuka kuwa zana za kuangamiza ukosoaji wa kisiasa. Eugene Alexander de Kock, mkuu wa kikosi cha siri cha polisi cha...
Kuna wakati unajadiliana na mtu, majibu anayokupa unajiuliza huyu mtu kweli anauelewa wa hata mambo ya kawaida kabisa?.
Mnajadili na mtu kuhusu mustakabali wa nchi, lakini hakui hata maana ya...
My Take
Nyie The Chanzo Hii taarifa yenu kama kweli imeniuma sana ikizingatiwa malalamiko makubwa ya uduni wa Miundombinu tuliyosikia Bungeni plus Changamoto za sekta za Afya nk...
Dictators do not heed to words, but actions.
History shows autocrats rarely yield to peaceful rhetoric or democratic processes. Because their grip on power relies on force, manipulation, and the...
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amesema kuwa mjadala unaoendelea kuhusu makala za Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) haupaswi kuwa kipaumbele cha...
Wakati tuhuma za Heche kujimilikisha mamilioni ya ToneTone, mke wa Tundu alalamika.
Alicia Lissu, mke wa mwanasiasa Tundu Lissu, ameeleza kuwa hajazungumza wala kumuona mumewe kwa takribani mwaka...
Ndugu Wana-JamiiForums,
Hivi karibuni, mamlaka za serikali zimejitokeza kutoa tamko kali la kulalamikia mfululizo wa makala za kiuchunguzi kupitia kipindi cha BBC Africa Eye, wakidai kuwa chombo...
Uchambuzi Mahsusi wa Julius S. Mtatiro (Wakili) na Ally M. Kileo (Wakili) kuhusu Uchaguzi wa TLS
Watanzania na mawakili tumesikiliza na kufuatilia kwa kina, mjadala wa wazi uliorushwa na Star TV...
Taarifa kutoka Jimbo la Rombo Mkoani Kilimanjaro zinadai kwamba , Ndugu Joseph Selasini , ambaye ameshirikiana na ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kufanya vikao haramu vya kumpindua Mwenyekiti...
KATIBU wa Baraza la Ulamaa BAKWATA Taifa, Sheikh Hassan Said Chizenga, ameongoza dua maalumu ya kuiombea Tume ya Matukio ya Oktoba 29, akisisitiza umuhimu wa haki, uwazi na maridhiano katika...