Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kada wa CHADEMA, Joseph Selasini, amemshauri Rais Samia kutafuta suluhu ya kisiasa katika suala linalomhusu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akisisitiza kuwa hatua yoyote ya kumaliza sakata...
2 Reactions
59 Replies
1K Views
Rais Amia amesema kuwa matumizi ya Jina Samia kulipa kwenye Jina la vitu limekuwa linajirudia rudia hadi haipendezi
6 Reactions
61 Replies
1K Views
https://youtu.be/MlQRJzlk_JM?si=6mw_RwolPu_sNa9P Ameyasema haya leo akiongea na waandishi wa habari huko Iringa. Ameitaka serikali chini ya CCM ikiongozwa na Rais Samia kuweka kiburi na majivuno...
2 Reactions
5 Replies
131 Views
Sheikh Said Mwaipopo ametoa tuhuma nzito dhidi ya Makamu Mwenyeiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, akimtuhumu kwa vitendo vya utapeli na kujipatia fedha kwa njia za...
5 Reactions
103 Replies
1K Views
UONGOZI UNAOACHA ALAMA Uongozi wa awamu ya tano uliacha alama. LAKINI njia zilizotumika kuacha alama, pia njia hizo ziliacha alama. Unatakiwa uongozi unaoacha alama bila kutumia njia zinazoacha...
0 Reactions
2 Replies
73 Views
Kuna hujuma kali sana inafanywa na mauaji kutaka kuisambaratisha CHADEMA. Hii inaonesha kabisa hawa watu sio kwamba wana nia ya kuiponya Tanzania Wala hawajali mauaji waliyoyafanya Octoba 29...
13 Reactions
25 Replies
355 Views
Hili ni kokoro linasomba yeyote yule. Maisha ya Ajabu sana. Leo hii Selasini aliyekaribishwa na Mbatia NCCR alimtimua Mbatia aaliyemkaribisha baada ya kutumiwa na TISS. Huyu pia alitumika...
4 Reactions
17 Replies
457 Views
Salum Mwalimu aliyekua Katibu Mkuu wa CHAUMMA na Mgombea Urais wa chama hicho 2025, akizungumza kupitia kipindi cha One on One cha Wasafi TV amesema badala ya kuendelea kulalamika ni bora...
2 Reactions
6 Replies
150 Views
Wakuu, Hili suala la Tundu Lissu limeendelea kutuchafua Tanzania Kimataifa Documentary za aina hii tushazoea kuziona zikifanyika kwenye Banana Republics kama Burundi, Sudan na kwingineko lakini...
27 Reactions
72 Replies
2K Views
Historia inajirudia kwa namna ya kutofurahisha wakati mifumo ya usalama inapogeuka kuwa zana za kuangamiza ukosoaji wa kisiasa. Eugene Alexander de Kock, mkuu wa kikosi cha siri cha polisi cha...
15 Reactions
48 Replies
1K Views
Kuna wakati unajadiliana na mtu, majibu anayokupa unajiuliza huyu mtu kweli anauelewa wa hata mambo ya kawaida kabisa?. Mnajadili na mtu kuhusu mustakabali wa nchi, lakini hakui hata maana ya...
1 Reactions
4 Replies
87 Views
My Take Nyie The Chanzo Hii taarifa yenu kama kweli imeniuma sana ikizingatiwa malalamiko makubwa ya uduni wa Miundombinu tuliyosikia Bungeni plus Changamoto za sekta za Afya nk...
1 Reactions
29 Replies
531 Views
Dictators do not heed to words, but actions. History shows autocrats rarely yield to peaceful rhetoric or democratic processes. Because their grip on power relies on force, manipulation, and the...
2 Reactions
2 Replies
96 Views
Chadema Tokea waanze kuchangisha ma michango yao asilimia kubwa ya hiyo michango haija timiza lengp. Waje hapa kubisha niwape data kamili
0 Reactions
4 Replies
92 Views
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amesema kuwa mjadala unaoendelea kuhusu makala za Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) haupaswi kuwa kipaumbele cha...
14 Reactions
14 Replies
377 Views
Wakati tuhuma za Heche kujimilikisha mamilioni ya ToneTone, mke wa Tundu alalamika. Alicia Lissu, mke wa mwanasiasa Tundu Lissu, ameeleza kuwa hajazungumza wala kumuona mumewe kwa takribani mwaka...
3 Reactions
21 Replies
346 Views
Ndugu Wana-JamiiForums, Hivi karibuni, mamlaka za serikali zimejitokeza kutoa tamko kali la kulalamikia mfululizo wa makala za kiuchunguzi kupitia kipindi cha BBC Africa Eye, wakidai kuwa chombo...
5 Reactions
7 Replies
206 Views
Uchambuzi Mahsusi wa Julius S. Mtatiro (Wakili) na Ally M. Kileo (Wakili) kuhusu Uchaguzi wa TLS Watanzania na mawakili tumesikiliza na kufuatilia kwa kina, mjadala wa wazi uliorushwa na Star TV...
3 Reactions
56 Replies
4K Views
Taarifa kutoka Jimbo la Rombo Mkoani Kilimanjaro zinadai kwamba , Ndugu Joseph Selasini , ambaye ameshirikiana na ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kufanya vikao haramu vya kumpindua Mwenyekiti...
9 Reactions
58 Replies
6K Views
KATIBU wa Baraza la Ulamaa BAKWATA Taifa, Sheikh Hassan Said Chizenga, ameongoza dua maalumu ya kuiombea Tume ya Matukio ya Oktoba 29, akisisitiza umuhimu wa haki, uwazi na maridhiano katika...
1 Reactions
33 Replies
744 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…