Selasini arudi CHADEMA baada ya kukihama NCCR

Selasini arudi CHADEMA baada ya kukihama NCCR

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
9,540
Reaction score
14,262
20260522_204909.jpg


Hili ni kokoro linasomba yeyote yule.

Maisha ya Ajabu sana. Leo hii Selasini aliyekaribishwa na Mbatia NCCR alimtimua Mbatia aaliyemkaribisha baada ya kutumiwa na TISS. Huyu pia alitumika kudhoofisha NCCR ya akina Mabere / Mrema miaka ya 1990s

Selasini ni bingwa wa siasa za majungu, unafiki na uchumia tumbo. John Mnyika umemkaribisha lakini nakutonya "be careful" huyu ni nyoka na ana bei. TISS wakifika bei aanpokea na anasaliti.
 
Karibu sana Kiongozi . Tanzania 🇹🇿 inakuhitaji katika mapambano ya KATIBA MPYA . HAKI , UHURU NA USAWA WA DEMOKRASIA, UONGOZI BORA. ... Serasini wewe ni mkweli nimefurahi sana kurudi nyumbani . Mungu akulinde Kiongozi .
 
Karibu sana Kiongozi . Tanzania 🇹🇿 inakuhitaji katika mapambano ya KATIBA MPYA . HAKI , UHURU NA USAWA WA DEMOKRASIA, UONGOZI BORA. ... Serasini wewe ni mkweli nimefurahi sana kurudi nyumbani . Mungu akulinde Kiongozi .
Selasini siyo mkweli, ananunulika kirahisi tu
 
Selasini ni bingwa wa siasa za majungu, unafiki na uchumia tumbo.

John Mnyika umemkaribisha lakini nakutonya "be careful" huyu ni nyoka na ana bei. TISS wakifika bei aanpokea na anasaliti.
 
Katika watu cdm wanapaswa kuwa makini naye ni Selasini. Nakumbuka alivyokuwa anatema shit dhidi ya chama chake cdm wakati wa Magufuli. Alitumika sana kuwavunja moyo waumini wa mageuzi hapa nchini. Hatakiwi kusogezwa mbele kabisa kwenye maamuzi ya chama, aishie kuwa mwanachama wa kawaida.
 
Katika watu cdm wanapaswa kuwa makini naye ni Selasini. Nakumbuka alivyokuwa anatema shit dhidi ya chama chake cdm wakati wa Magufuli. Alitumika sana kuwavunja moyo waumini wa mageuzi hapa nchini. Hatakiwi kusogezwa mbele kabisa kwenye maamuzi ya chama, aishie kuwa mwanachama wa kawaida.
Nyoka hakaribishwi ndani ya nyumba na hata akikaribishwa hufungiwa kwenye kizimba
 
vyama vyote vina mapandikizi muhimu system za chama zifanye kazi kumfatilia mienendo yake. vinginevyo chama kimeongeza nguvu.
 
Chadema kuna muda wanajimalizaga wenyewe
Selasini alipewa tenda ya kudhoofisha NCCR baada ya Magufuli, akapokea fedha na akaikamilisha kwa kumnyang'anya Mbatia chama. Sasa anasema anakuja CDM apewe majukumu
 
Selasini alipewa tenda ya kudhoofisha NCCR baada ya Magufuli, akapokea fedha na akaikamilisha kwa kumnyang'anya Mbatia chama. Sasa anasema anakuja CDM apewe majukumu
Wanasiasa wanawachezea akili wafuasi wao. Halafu mbaya zaidi hawastuki
 
Katika watu ambao niliona cdm walikosea kuwapokea ni huyu mzee. Kwenda kuharibu NCCR na saaa karudi cdm. Huyu alikuwa anaongea shit sana bungeni dhidi ya misimamo ya cdm enzi za Magufuli.
Duh jamaa kapiga U turn moja hatari sana. Huyu afukuzwe Mapema kabla hajarudia ya NCCR
 
View attachment 3593077

Hili ni kokoro linasomba yeyote yule.

Maisha ya Ajabu sana. Leo hii Selasini aliyekaribishwa na Mbatia NCCR alimtimua Mbatia aaliyemkaribisha baada ya kutumiwa na TISS. Huyu pia alitumika kudhoofisha NCCR ya akina Mabere / Mrema miaka ya 1990s

Selasini ni bingwa wa siasa za majungu, unafiki na uchumia tumbo. John Mnyika umemkaribisha lakini nakutonya "be careful" huyu ni nyoka na ana bei. TISS wakifika bei aanpokea na anasaliti.
Tuliwaonya mkabisha
 
Back
Top Bottom