Je, mradi wa SGR tulikurupuka kama taifa?

Je, mradi wa SGR tulikurupuka kama taifa?

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,152
This was a design and build project. Ni wazi, takwimu walizokusanya hazikutafsiriwa ipasavyo kwa kuzingatia mabadiliko ya tabia ya nchi. Over designing sio dhambi katika uhandisi

Wali over design Kilosa kupita mto Mkondoa ndio maana kuna tunnels 4. Kidete kuna uzembe. Maana palijengwa bwawa la Kidete wakati wa Mkoloni kudhibiti maji ynayotokea Kiteto (Manyara)

Kama hayakuwa factored out kwenye design hii kuna ujanja umetumika ili zipigwe pesa. Kabla, tumewashauri kuhusu the conventional way ya ku’tender vis-a-vis the feasibility study

Haya sasa ndiyo madhara ya single source procurement. Zabuni sahihi katika nanunuzi ya umma ni zabuni za wazi (open tender) na washindani wajulikane. BIDS shindani zionekane pale TANePS

Kilosa reli ilitakiwa kupita juu. Waliopitisha chini some sections walilenga kuikoa gharama zao at our blood expenses. Mjerumani alipojenga reli, eneo lote la Kilosa ni flood prone area. HAMJUI?

SGR ya majirani, KENYA ina miaka zaidi ya 10. No single technical hitch; NO single accident. Majirani wakiweza kuunganisha reli yao Malaba - Kampala. Tumekwisha ; tutabaki na monuments tu.

Wengine tulilia machozi Mturuki kupewa huu mradi mkubwa sana. Hatukusikilizwa. Waturuki SGR ndio mradi wao wa kwanza kufanya MKUBWA. Lazima wazushi mkubali, it was a learning trail…

Hatuwezi kukubali kuingia gharama hata jero kwani mradi bado upo kwenye liquidated liability period. Uharibifu wowote wa kizembe ni jukumu la mkandarasi ikiwemo fidia ya loss of business.
1767343482522.png
 
This was a design and build project. Ni wazi, takwimu walizokusanya hazikutafsiriwa ipasavyo kwa kuzingatia mabadiliko ya tabia ya nchi. Over designing sio dhambi katika uhandisi

Wali over design Kilosa kupita mto Mkondoa ndio maana kuna tunnels 4. Kidete kuna uzembe. Maana palijengwa bwawa la Kidete wakati wa Mkoloni kudhibiti maji ynayotokea Kiteto (Manyara)

Kama hayakuwa factored out kwenye design hii kuna ujanja umetumika ili zipigwe pesa. Kabla, tumewashauri kuhusu the conventional way ya ku’tender vis-a-vis the feasibility study

Haya sasa ndiyo madhara ya single source procurement. Zabuni sahihi katika nanunuzi ya umma ni zabuni za wazi (open tender) na washindani wajulikane. BIDS shindani zionekane pale TANePS

Kilosa reli ilitakiwa kupita juu. Waliopitisha chini some sections walilenga kuikoa gharama zao at our blood expenses. Mjerumani alipojenga reli, eneo lote la Kilosa ni flood prone area. HAMJUI?

SGR ya majirani, KENYA ina miaka zaidi ya 10. No single technical hitch; NO single accident. Majirani wakiweza kuunganisha reli yao Malaba - Kampala. Tumekwisha ; tutabaki na monuments tu.

Wengine tulilia machozi Mturuki kupewa huu mradi mkubwa sana. Hatukusikilizwa. Waturuki SGR ndio mradi wao wa kwanza kufanya MKUBWA. Lazima wazushi mkubali, it was a learning trail…

Hatuwezi kukubali kuingia gharama hata jero kwani mradi bado upo kwenye liquidated liability period. Uharibifu wowote wa kizembe ni jukumu la mkandarasi ikiwemo fidia ya loss of business.
View attachment 3523982
Tuliwaonya mapema kwamba ni white elephant 🐘 hiyo project
 
Kuna vipande Huku mwañza anajenga mchina yaani Kwa kuuangalia tu Kwa macho UNAONA kabisa hakuna UBORA wowote.Samia afungwe Kwa kutuharibia MRADI wetu.
 
Hii nchi ilishajifia.

Hakuna utaalam hakuna mifumo hakuna lolote la maana la msingi.

Wanasiasa na wanatengenezea sera, miradi na kuisimamia. Wao ndo wanaamua wapige pesa kiasi gani alafu tutegemee kufanya miradi kwa ufanisi? Thubutuuu?
 
Hii nchi ilishajifia.

Hakuna utaalam hakuna mifumo hakuna lolote la maana la msingi.

Wanasiasa na wanatengenezea sera, miradi na kuisimamia. Wao ndo qanaamua wapige pesa kiasi gani alsfu tutegemee kufanya miradi kwa ufanisi? Thubutuuu?

hahah halafu ukisikia watanzagiza wanavyoisifu dar yao kama hauijui dar utafikiri ni bonge moja ya city mpaka siku ufike na kutafuta wanachokisifia utashangaa sana, utasikia walahi dar sihami ...
 
Tulipigwa tu kama kawaida yetu, kuna nini tunafanya kizuri? Bado hawajaamua kumpa mturuki na hii pia? Au wanatafuta muarabu Oman? Maana abduli yupo kule muda "kutafuta wawekezaji"
 
hahah halafu ukisikia watanzagiza wanavyoisifu dar yao kama hauijui dar utafikiri ni bonge moja ya city mpaka siku ufike na kutafuta wanachokisifia utashangaa sana, utasikia walahi dar sihami ...
Nawashangaaga sana. Dar ilivyo takataka, Dodoma ilivyo takataka alafu unakuta watu wanajisifia eti tuna nchi nzuri
 
hahah halafu ukisikia watanzagiza wanavyoisifu dar yao kama hauijui dar utafikiri ni bonge moja ya city mpaka siku ufike na kutafuta wanachokisifia utashangaa sana, utasikia walahi dar sihami ...
Kwa Tz hakuna jiji kama Dar.
 
Mradi huu pasua kichwa, hadi ukimalizika na inabidi kuundwe Tume ya Ukweli kujadili changamoto zake ambazo zisipofanyiwa kazi, Reli ya SGR itakuwa kila siku na changamoto endelevu ambazo zitafanya uendeshaji wa reli yake kukosa ufanisi na uhakika wa kusafirisha mizigo ya wateja ndani na nje ya nchi, gharama za bima kuwa juu, mizigo kuchelewa kufika kwa wakati n.k

 
20 Novemba 2025
Luanda, Angola

Shoroba (corridors) za Reli za Afrika Mashariki Zapata Kasi Ya Ujenzi, Huku Wadau EAC Wakitoa habari za yanayoendelea *(updates)


View: https://m.youtube.com/watch?v=9qG6FFCYnC8

Katika muhtasari huu mfupi uliorekodiwa katika Mkutano wa Ufadhili wa Miundombinu wa Luanda, Mhariri wa Reli Afrika Phillippa Dean anazungumza na mhandisi Achieng' Akun kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Mjadala huu unaangazia maendeleo yaliyopatikana tangu mahojiano ya mwisho nchini Tanzania, pamoja na updates katika korido muhimu za kikanda.

Mhandisi Akun anaelezea maendeleo ya hivi karibuni kwenye ujenzi wa reli ya SGR Uvinza-Musongati inayounganisha Tanzania na Burundi, ambapo jiwe la msingi la sehemu ya Burundi liliwekwa mwezi Agosti 2025 na uhamasishaji wa ujenzi unaendelea.

Anatoa masasisho (updates) ya maendeleo kwenye Korido ya Kaskazini, ikiwa ni pamoja na sehemu ya Awamu ya 2B ya Kenya, kazi za Bandari ya Kisumu, na sehemu iliyoidhinishwa ya Uganda, ambayo sasa inaelekea katika hatua ya kuanza utekelezaji.

Pia tunazungumzia shughuli za sasa kwenye Korido ya LAPSSET, ambayo EAC iliwasilisha katika mkutano huo kama sehemu ya juhudi za kupata washirika chini ya mfumo wa PPP kwa ajili ya masomo ya upembuzi yakinifu na ufadhili wa siku zijazo.

Katika ngazi ya kikanda, Mhandisi Akun anaelezea kazi inayoendelea ya kuoanisha maendeleo na shughuli za reli kupitia Muswada wa Ushirikiano wa Reli uliopangwa. Hii inajumuisha kanuni zijazo, vipimo (standards) vya kiufundi n.k

 
Mradi wa reli mpya SGR eneo la mto Malagarasi Kigoma, Tanzania umefika asilimia 96

1767346624700.jpeg
 
This was a design and build project. Ni wazi, takwimu walizokusanya hazikutafsiriwa ipasavyo kwa kuzingatia mabadiliko ya tabia ya nchi. Over designing sio dhambi katika uhandisi

Wali over design Kilosa kupita mto Mkondoa ndio maana kuna tunnels 4. Kidete kuna uzembe. Maana palijengwa bwawa la Kidete wakati wa Mkoloni kudhibiti maji ynayotokea Kiteto (Manyara)

Kama hayakuwa factored out kwenye design hii kuna ujanja umetumika ili zipigwe pesa. Kabla, tumewashauri kuhusu the conventional way ya ku’tender vis-a-vis the feasibility study

Haya sasa ndiyo madhara ya single source procurement. Zabuni sahihi katika nanunuzi ya umma ni zabuni za wazi (open tender) na washindani wajulikane. BIDS shindani zionekane pale TANePS

Kilosa reli ilitakiwa kupita juu. Waliopitisha chini some sections walilenga kuikoa gharama zao at our blood expenses. Mjerumani alipojenga reli, eneo lote la Kilosa ni flood prone area. HAMJUI?

SGR ya majirani, KENYA ina miaka zaidi ya 10. No single technical hitch; NO single accident. Majirani wakiweza kuunganisha reli yao Malaba - Kampala. Tumekwisha ; tutabaki na monuments tu.

Wengine tulilia machozi Mturuki kupewa huu mradi mkubwa sana. Hatukusikilizwa. Waturuki SGR ndio mradi wao wa kwanza kufanya MKUBWA. Lazima wazushi mkubali, it was a learning trail…

Hatuwezi kukubali kuingia gharama hata jero kwani mradi bado upo kwenye liquidated liability period. Uharibifu wowote wa kizembe ni jukumu la mkandarasi ikiwemo fidia ya loss of business.
View attachment 3523982
Yaani changamoto moja ndo unasema mradi mzima mbovu? duu
 
This was a design and build project. Ni wazi, takwimu walizokusanya hazikutafsiriwa ipasavyo kwa kuzingatia mabadiliko ya tabia ya nchi. Over designing sio dhambi katika uhandisi

Wali over design Kilosa kupita mto Mkondoa ndio maana kuna tunnels 4. Kidete kuna uzembe. Maana palijengwa bwawa la Kidete wakati wa Mkoloni kudhibiti maji ynayotokea Kiteto (Manyara)

Kama hayakuwa factored out kwenye design hii kuna ujanja umetumika ili zipigwe pesa. Kabla, tumewashauri kuhusu the conventional way ya ku’tender vis-a-vis the feasibility study

Haya sasa ndiyo madhara ya single source procurement. Zabuni sahihi katika nanunuzi ya umma ni zabuni za wazi (open tender) na washindani wajulikane. BIDS shindani zionekane pale TANePS

Kilosa reli ilitakiwa kupita juu. Waliopitisha chini some sections walilenga kuikoa gharama zao at our blood expenses. Mjerumani alipojenga reli, eneo lote la Kilosa ni flood prone area. HAMJUI?

SGR ya majirani, KENYA ina miaka zaidi ya 10. No single technical hitch; NO single accident. Majirani wakiweza kuunganisha reli yao Malaba - Kampala. Tumekwisha ; tutabaki na monuments tu.

Wengine tulilia machozi Mturuki kupewa huu mradi mkubwa sana. Hatukusikilizwa. Waturuki SGR ndio mradi wao wa kwanza kufanya MKUBWA. Lazima wazushi mkubali, it was a learning trail…

Hatuwezi kukubali kuingia gharama hata jero kwani mradi bado upo kwenye liquidated liability period. Uharibifu wowote wa kizembe ni jukumu la mkandarasi ikiwemo fidia ya loss of business.
View attachment 3523982
Soma hii

Thread 'Tusipokuwa makini, SGR ni janga lijalo' Tusipokuwa makini, SGR ni janga lijalo
 
Mimi siamini kwamba tulikurupuka Bali ni kukosa uaminifu na uwazi katika ujenzi wake
Hivi mvua zinazosingiziwa ziko wapi?
Mvua haijanyesha mfurulizo ata kwa wiki lkn anasimama mtu anakwambia et mradi umeathiriwa na mvua 🥺 we mvua ipi ?

Kama mvua ya siku mbili inapelekea mradi wa mabilion ya fedha kuathiliwa vipi ikija kunyesha mvua ya siku 14 mfurulizo kama Ile iliyopasua mlima Hanang si ndo mradi utajifia kabisa
Kwakweli kama taifa tuna safari ndefu sana
 

DP WORLD YAIANGALIA RELI KWA UKARIBU, MAANA UHAKIKA KTK GHARAMA, UNAFUU N.K NI MUHIMU ILI MIRADI YA PPP IWEZE KUVUTIA WAWEKEZAJI

DP World on Rail, SEZs and Enabling Efficient Trade Across Africa


View: https://m.youtube.com/watch?v=fbFlN-kmvWU
Following the recently held CNBC Africa discussion in partnership with DP World, which explored the role of Special Economic Zones (SEZs) as catalysts for regional growth and global connectivity across Africa, Railways Africa Editor, Phillippa Dean, sat down with Mohammed Akoojee, Chief Executive Officer and Managing Director of DP World Sub-Saharan Africa, and Mohammed Mahomedy, Head of Infrastructure and Rail for Sub-Saharan Africa.
 
Wengine tulilia machozi Mturuki kupewa huu mradi mkubwa sana. Hatukusikilizwa. Waturuki SGR ndio mradi wao wa kwanza kufanya MKUBWA. Lazima wazushi mkubali, it was a learning trail…
Je waTanzania wana maono sahihi Katika masuala mtambuka ya sekta ya usafirishaji ?

Mmoja wa thinktank mkubwa aliye na ushawishi akijadiliana na mkurugenzi David Kafulila dalali mkuu wa kaulimbiu umuhimu wa miradi ya PPP katika mkutano wa wasafirishaji

TOKA MAKTABA
30 December 2025

Kanali mstaafu (Retired) Joseph Leon Simbakalia miradi ya Kimkakati isipewe wageni,


View: https://m.youtube.com/watch?v=QOvGmk3UI4M

Retired Col Simbakalia is an all-round (civil, corporate, defence and security) high-level leadership training facilitator and prolific writer ...
1767348401814.jpeg

Colonel (Rtd) Joseph Leon Simbakalia earned his engineering degrees from two different universities: a Bachelor's degree from Carleton University in Canada and a Master's degree in Mechanical Engineering from the National University of Ireland.

He is a retired Tanzania People's Defence Forces (TPDF) Army Engineer and has a wealth of experience in various sectors, including defense, public service, and the private sector. He has also attended several executive training programs at institutions like Harvard University and the University of Dar es Salaam.
Over his career, he has held prominent positions, including:
  • Managing Director and CEO of the National Development Corporation (NDC)
  • Board Chairman of the Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization (TEMDO)
  • Director General of the Export Processing Zone Authority (EPZ
 

DP World on Rail, SEZs and Enabling Efficient Trade Across Africa


View: https://m.youtube.com/watch?v=fbFlN-kmvWU
DP WORLD YAIANGALIA RELI KWA UKARIBU, MAANA UHAKIKA KTK GHARAMA, UNAFUU N.K NI MUHIMU ILI MIRADI YA PPP IWEZE KUVUTIA WAWEKEZAJI


20 January 2026
Dar es Salaam, Tanzania

DR. GERSON MSIGWA AELEZEA MIPANGO YA DP WORLD BANDARI ZA TANZANIA ILIVYOCHOCHEA UFANISI KTK UPAKUAJI, MUDA WA MELI KUKAA BANDARINI

How Tanzania ports modernization drives cargo growth, cuts ship turnaround times​


View: https://m.youtube.com/watch?v=c1lVIMpxLl8
Tanzania’s ongoing port modernization program is delivering measurable gains in cargo volumes, revenue collection, and regional trade, government spokesperson Gerson Msigwa said on Tuesday during a visit to the Tanzania Ports Authority (TPA).

“The government is committed to transforming our ports into competitive gateways for the region and globally, while ensuring they contribute positively to economic growth and social development,” Msigwa told reporters at TPA headquarters in Dar es Salaam.

According to Msigwa, the country’s ports handled 27.7 million tonnes of cargo in the 2024/25 financial year, representing a 17% increase from the 23.69 million tonnes recorded in 2023/24, when private terminal operators DP World and Tanzania East Africa Gateway Terminal Ltd (TEAGTL) began operations.

During the first half of the 2025/26 financial year, the Port of Dar es Salaam alone handled 16.7 million tonnes of cargo, up 30% compared to the same period a year earlier, highlighting the early impact of private sector participation in port operations.

The government credited the surge to substantial investments by the two private terminal operators.

DP World, a Dubai-based logistics giant, had invested TZS 214.2 billion ($85 million) by June 2025, in areas including modern cargo-handling equipment, major repairs of existing machinery, digital systems, terminal workshops, and expanded storage facilities.
1768987526947.jpeg

TEAGTL, a subsidiary of India’s Adani International Ports Holdings, has committed TZS 410.4 billion ($164 million) for berth upgrades, construction of new terminals, modern equipment acquisition, and implementation of advanced information technology systems.

“These investments have not only increased cargo-handling capacity but also reduced vessel turnaround times dramatically,” Msigwa said.

He noted that container ships now spend an average of six days in port, down from 30 days previously, including waiting times at anchorage.

“This improvement cuts costs for traders and enhances Dar es Salaam’s reliability as a transit hub for East and Central Africa,” he added.

Tanzania’s ports also serve as critical gateways for landlocked neighbouring countries.

In 2024/25, Democratic Republic of Congo accounted for nearly 6 million tonnes of cargo, Zambia 3.5 million tonnes, Rwanda 1.7 million tonnes, and smaller volumes for Burundi, Malawi, Uganda, and Zimbabwe.

“These figures demonstrate how strategic investment in port infrastructure benefits not only Tanzania but the wider region,” Msigwa said.

Revenue collection has mirrored the operational improvements. Customs duties and port-related revenues reached TZS 12.33 trillion in 2024/25, up 17% from TZS 10.55 trillion in 2023/24.

Msigwa said this increase reflected both higher cargo volumes and more efficient port management, strengthening government finances.

“Efficient ports create a win-win scenario: lower operational costs for businesses and higher revenue for the government,” he explained.


The port modernization program has also boosted employment. By June 2025, DP World and TEAGTL had directly employed 764 people, covering roles from operations officers and clerks to machinery operators and security personnel.


Indirect employment, including truck drivers, customs agents, and temporary labor, has grown alongside rising cargo volumes.

“Investment in infrastructure translates into job creation and economic empowerment,” Msigwa emphasized.

Tanzania is also undertaking strategic projects across multiple ports include construction of oil terminals with a total capacity of 378,000 liters, upgrades at the Malindi Wharf to accommodate vessels of 50,000 deadweight tons, expansion of Berths 8-11 and the construction of Berths 12-15 at Dar es Salaam, and improved rail connectivity through the MGR, SGR, and TAZARA networks.

Other projects at Mtwara, Tanga, Mwanza, Kigoma, Kemondo, Bukoba, and Mbamba Bay aim to expand port capacity, improve cargo handling efficiency, and enhance regional connectivity.

“These investments will allow the Port of Dar es Salaam to handle larger post-Panamax vessels of up to 8,000 TEUs, compared to the current capacity of 2,500 TEUs for second-generation ships,” Msigwa said. “Once completed, our ports will be more competitive against regional rivals like Mombasa, Maputo, Beira, Nacala, and Durban.”

Tanzania’s investment strategy, which combines public oversight with private sector expertise, has already improved operational efficiency and set a precedent for regional logistics.

By reducing cargo congestion, improving turnaround times, and expanding berth capacity, the ports are becoming central to Tanzania’s goal of regional trade integration.

“The message is clear. Efficient, modern ports are not just gateways for trade; they are engines of economic growth, fiscal stability, and employment. The reforms we are implementing today will shape Tanzania’s competitiveness for decades to come,” Msigwa concluded.

Source : How Tanzania ports modernization drives cargo growth, cuts ship turnaround times
 
This was a design and build project.
The original plan ilikuwa ni feasibility study,desin,build and operate, kazi yote ni SS ya mchina,funder ni Exim bank of China to roll it up,nchi nzima!。

Na ili i operate kwa faida,Mchina akapewa bandari ya Bagamoyo ili iwe feeder。

Blaza kaingia,akasitisha feeder project na kutangaza upya SGR, Mturuki akashinda,mchina akagoma funding!

Akina sisi wa jicho pembe tukatoa angalizo Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta...
Hatuwezi kukubali kuingia gharama hata jero kwani mradi bado upo kwenye liquidated liability period. Uharibifu wowote wa kizembe ni jukumu la mkandarasi ikiwemo fidia ya loss of business.
hiyo issue watasema ni force majeure!

ila kiukweli The SGR War: MagufuliKagame vs MuseveniKenyatta ni Vita Kubwa!. Who Will Win, Loose or Its Win Win Situation?.

Na kwenye vita hii The SGR War: Magufugame vs Musevenyatta ni Vita Kubwa!. It is a Win Lose War!. When One Wins, the Other Lose, No Win Win Situation!.

Na mwisho wa siku The SGR, War, MAGUFUGAME Kidedea, MUSEVENYATTA Mikono Juu Kukubali Matokeo!, Magufuli Shujaa, Apiga Bao Kupiga Tanchi!. Hongera JPM Kwa Kuona Mbali!.

P
 
Back
Top Bottom