Rais Samia kemea wahuni wachache wanaojipendekeza

Rais Samia kemea wahuni wachache wanaojipendekeza

ndoto2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2017
Posts
1,517
Reaction score
1,362
Jana tarehe 21 hapa Mbeya hawa vijana wa Chadema walikuwa na shughuli zao za kumbukumbu ya miaka 33 ya chama chao , kama kawaida walipita pita kwa wadau wao kuomba kuchangiwa na kukaribisha watu wajumuike nao , Tunaishi nao vizuri sana wengi wao ni wahangaikaji kwa haki na jasho hivyo huwa nawapenda japo tunapishana na wachache wao wenye misimamo mikali.

POLISI MKOA WA MBEYA umeenda kuwazuia baada ya kuwaona wameshafanya maandalizi makubwa sana
Ki ukwelli ni uonevu kubwa sana sana na imeumiza mno kuona baadhi ya viongozi wao wakipigwa bila sababu.

Kama Rais naomba utoe tamko na kukemea hawa polisi wa chini nchi nzima wawaaavhie wafanye siasa zao za kawaida, kauli za ngija ngija ndo waonywe na atakayetoa ashughulikiwe yeye kama yeye kweli kweli lakini uoneu kama wa jana sio sahihi kabisa na inaleta chuki

SIUNGI MKONO MAANDAMANO YA FUJO WALA KUTOKUTIII AMRI ZA POLISI , Vyombo vifanye tathmini hivi kupanda miti , kufanya usafi chama cha siasa kinaleta uhatarishi gani wa amani? tuna wapelezi kibao wa kufuatilia mienendo yao kama kuna fujo ndo wale risasi bila huruma lakini shughuli za kawaida za siasa waachiwe ,

KUWAZUIA NDO MNAWAPA WAPENDWE ZAIDI NA KUONEWA HURUMA LEO MTAAA MZIMA TUTAWACHANGIA ELFU 50 HAMSINI KILA MFANYABIASHARA ILI WAKAKOMBOE WENZAO ASUBUHI YOTE HIII MNAWAPA UMAAARUFU KWA KUWAONEA .

KWE YE HILI CCM IBADILIKE
 
Jana tarehe 21 hapa Mbeya hawa vijana wa Chadema walikuwa na shughuli zao za kumbukumbu ya miaka 33 ya chama chao , kama kawaida walipita pita kwa wadau wao kuomba kuchangiwa na kukaribisha watu wajumuike nao , Tunaishi nao vizuri sana wengi wao ni wahangaikaji kwa haki na jasho hivyo huwa nawapenda japo tunapishana na wachache wao wenye misimamo mikali.

POLISI MKOA WA MBEYA umeenda kuwazuia baada ya kuwaona wameshafanya maandalizi makubwa sana
Ki ukwelli ni uonevu kubwa sana sana na imeumiza mno kuona baadhi ya viongozi wao wakipigwa bila sababu.

Kama Rais naomba utoe tamko na kukemea hawa polisi wa chini nchi nzima wawaaavhie wafanye siasa zao za kawaida, kauli za ngija ngija ndo waonywe na atakayetoa ashughulikiwe yeye kama yeye kweli kweli lakini uoneu kama wa jana sio sahihi kabisa na inaleta chuki

SIUNGI MKONO MAANDAMANO YA FUJO WALA KUTOKUTIII AMRI ZA POLISI , Vyombo vifanye tathmini hivi kupanda miti , kufanya usafi chama cha siasa kinaleta uhatarishi gani wa amani? tuna wapelezi kibao wa kufuatilia mienendo yao kama kuna fujo ndo wale risasi bila huruma lakini shughuli za kawaida za siasa waachiwe ,

KUWAZUIA NDO MNAWAPA WAPENDWE ZAIDI NA KUONEWA HURUMA LEO MTAAA MZIMA TUTAWACHANGIA ELFU 50 HAMSINI KILA MFANYABIASHARA ILI WAKAKOMBOE WENZAO ASUBUHI YOTE HIII MNAWAPA UMAAARUFU KWA KUWAONEA .

KWE YE HILI CCM IBADILIKE
Samia ndiye anayewatuma na kuwalipa hao mapolisi kuwapiga na kuwaua wanachadema.
 
Kwa akili kisoda ya samuya anadhani kuwabana sana chadema ndo kunapelekea yeye kuoendwa zaidi!.
 
sidhani Rais mtu mkubwa sana hawa watakuwa wametumwa na mtu level ya wilaya au mkoa tu

hata sisi tuliamini hivyo hivyo kwamba raisi ni mtu mkubwa sana, tena tulimtetea sana humu kwamba anapotoshwa, anashauriwa vibaya, wasaidizi wanamuangusha i mean, tulitumia kila aina kisingizio kwa kuwa tuliamini kama unavyoamini mpaka pale alipojitokeaza na kutu-prove wrong kwa kukili yeye mwenyewe tena live mbele ya dunia nzima kwamba alihusika na kutoa amri ya kuuwa watu maelfu na maelfu, hivyo tangia hapo kila kitu kinawezekana ...
 
Jana tarehe 21 hapa Mbeya hawa vijana wa Chadema walikuwa na shughuli zao za kumbukumbu ya miaka 33 ya chama chao , kama kawaida walipita pita kwa wadau wao kuomba kuchangiwa na kukaribisha watu wajumuike nao , Tunaishi nao vizuri sana wengi wao ni wahangaikaji kwa haki na jasho hivyo huwa nawapenda japo tunapishana na wachache wao wenye misimamo mikali.

POLISI MKOA WA MBEYA umeenda kuwazuia baada ya kuwaona wameshafanya maandalizi makubwa sana
Ki ukwelli ni uonevu kubwa sana sana na imeumiza mno kuona baadhi ya viongozi wao wakipigwa bila sababu.

Kama Rais naomba utoe tamko na kukemea hawa polisi wa chini nchi nzima wawaaavhie wafanye siasa zao za kawaida, kauli za ngija ngija ndo waonywe na atakayetoa ashughulikiwe yeye kama yeye kweli kweli lakini uoneu kama wa jana sio sahihi kabisa na inaleta chuki

SIUNGI MKONO MAANDAMANO YA FUJO WALA KUTOKUTIII AMRI ZA POLISI , Vyombo vifanye tathmini hivi kupanda miti , kufanya usafi chama cha siasa kinaleta uhatarishi gani wa amani? tuna wapelezi kibao wa kufuatilia mienendo yao kama kuna fujo ndo wale risasi bila huruma lakini shughuli za kawaida za siasa waachiwe ,

KUWAZUIA NDO MNAWAPA WAPENDWE ZAIDI NA KUONEWA HURUMA LEO MTAAA MZIMA TUTAWACHANGIA ELFU 50 HAMSINI KILA MFANYABIASHARA ILI WAKAKOMBOE WENZAO ASUBUHI YOTE HIII MNAWAPA UMAAARUFU KWA KUWAONEA .

KWE YE HILI CCM IBADILIKE
Wahuni wakemee wahuni?
 
Jana tarehe 21 hapa Mbeya hawa vijana wa Chadema walikuwa na shughuli zao za kumbukumbu ya miaka 33 ya chama chao , kama kawaida walipita pita kwa wadau wao kuomba kuchangiwa na kukaribisha watu wajumuike nao , Tunaishi nao vizuri sana wengi wao ni wahangaikaji kwa haki na jasho hivyo huwa nawapenda japo tunapishana na wachache wao wenye misimamo mikali.

POLISI MKOA WA MBEYA umeenda kuwazuia baada ya kuwaona wameshafanya maandalizi makubwa sana
Ki ukwelli ni uonevu kubwa sana sana na imeumiza mno kuona baadhi ya viongozi wao wakipigwa bila sababu.

Kama Rais naomba utoe tamko na kukemea hawa polisi wa chini nchi nzima wawaaavhie wafanye siasa zao za kawaida, kauli za ngija ngija ndo waonywe na atakayetoa ashughulikiwe yeye kama yeye kweli kweli lakini uoneu kama wa jana sio sahihi kabisa na inaleta chuki

SIUNGI MKONO MAANDAMANO YA FUJO WALA KUTOKUTIII AMRI ZA POLISI , Vyombo vifanye tathmini hivi kupanda miti , kufanya usafi chama cha siasa kinaleta uhatarishi gani wa amani? tuna wapelezi kibao wa kufuatilia mienendo yao kama kuna fujo ndo wale risasi bila huruma lakini shughuli za kawaida za siasa waachiwe ,

KUWAZUIA NDO MNAWAPA WAPENDWE ZAIDI NA KUONEWA HURUMA LEO MTAAA MZIMA TUTAWACHANGIA ELFU 50 HAMSINI KILA MFANYABIASHARA ILI WAKAKOMBOE WENZAO ASUBUHI YOTE HIII MNAWAPA UMAAARUFU KWA KUWAONEA .

KWE YE HILI CCM IBADILIKE
Kwa taarifa yako ni rahisi sana watumishi wa serekali kupanda vyeo kwa kuwakomoa cdm kuliko ww unayeuma na kupuliza hapa. Hayo ni maagizo ya Samia na ccm katika kuhakikisha cdm haiwatoi madarakani. Uwezo wa ccm kushindana na cdm kihalali haupo, na hautakaa uwepo tena.
 
Jana tarehe 21 hapa Mbeya hawa vijana wa Chadema walikuwa na shughuli zao za kumbukumbu ya miaka 33 ya chama chao , kama kawaida walipita pita kwa wadau wao kuomba kuchangiwa na kukaribisha watu wajumuike nao , Tunaishi nao vizuri sana wengi wao ni wahangaikaji kwa haki na jasho hivyo huwa nawapenda japo tunapishana na wachache wao wenye misimamo mikali.

POLISI MKOA WA MBEYA umeenda kuwazuia baada ya kuwaona wameshafanya maandalizi makubwa sana
Ki ukwelli ni uonevu kubwa sana sana na imeumiza mno kuona baadhi ya viongozi wao wakipigwa bila sababu.

Kama Rais naomba utoe tamko na kukemea hawa polisi wa chini nchi nzima wawaaavhie wafanye siasa zao za kawaida, kauli za ngija ngija ndo waonywe na atakayetoa ashughulikiwe yeye kama yeye kweli kweli lakini uoneu kama wa jana sio sahihi kabisa na inaleta chuki

SIUNGI MKONO MAANDAMANO YA FUJO WALA KUTOKUTIII AMRI ZA POLISI , Vyombo vifanye tathmini hivi kupanda miti , kufanya usafi chama cha siasa kinaleta uhatarishi gani wa amani? tuna wapelezi kibao wa kufuatilia mienendo yao kama kuna fujo ndo wale risasi bila huruma lakini shughuli za kawaida za siasa waachiwe ,

KUWAZUIA NDO MNAWAPA WAPENDWE ZAIDI NA KUONEWA HURUMA LEO MTAAA MZIMA TUTAWACHANGIA ELFU 50 HAMSINI KILA MFANYABIASHARA ILI WAKAKOMBOE WENZAO ASUBUHI YOTE HIII MNAWAPA UMAAARUFU KWA KUWAONEA .

KWE YE HILI CCM IBADILIKE
Akikuelewa ni jambo zuri,ila najua hamasa ya ukatili wa polisi na chawa chukua chako mapema yatoka juu!
 
Jana tarehe 21 hapa Mbeya hawa vijana wa Chadema walikuwa na shughuli zao za kumbukumbu ya miaka 33 ya chama chao , kama kawaida walipita pita kwa wadau wao kuomba kuchangiwa na kukaribisha watu wajumuike nao , Tunaishi nao vizuri sana wengi wao ni wahangaikaji kwa haki na jasho hivyo huwa nawapenda japo tunapishana na wachache wao wenye misimamo mikali.

POLISI MKOA WA MBEYA umeenda kuwazuia baada ya kuwaona wameshafanya maandalizi makubwa sana
Ki ukwelli ni uonevu kubwa sana sana na imeumiza mno kuona baadhi ya viongozi wao wakipigwa bila sababu.

Kama Rais naomba utoe tamko na kukemea hawa polisi wa chini nchi nzima wawaaavhie wafanye siasa zao za kawaida, kauli za ngija ngija ndo waonywe na atakayetoa ashughulikiwe yeye kama yeye kweli kweli lakini uoneu kama wa jana sio sahihi kabisa na inaleta chuki

SIUNGI MKONO MAANDAMANO YA FUJO WALA KUTOKUTIII AMRI ZA POLISI , Vyombo vifanye tathmini hivi kupanda miti , kufanya usafi chama cha siasa kinaleta uhatarishi gani wa amani? tuna wapelezi kibao wa kufuatilia mienendo yao kama kuna fujo ndo wale risasi bila huruma lakini shughuli za kawaida za siasa waachiwe ,

KUWAZUIA NDO MNAWAPA WAPENDWE ZAIDI NA KUONEWA HURUMA LEO MTAAA MZIMA TUTAWACHANGIA ELFU 50 HAMSINI KILA MFANYABIASHARA ILI WAKAKOMBOE WENZAO ASUBUHI YOTE HIII MNAWAPA UMAAARUFU KWA KUWAONEA .

KWE YE HILI CCM IBADILIKE
wahuani wakemeane ?...kweli hii ni ndoto2020.....au ulitaka kusema RPC wa mkoa apandishwe cheo?
 
wahuani wakemeane ?...kweli hii ni ndoto2020.....au ulitaka kusema RPC wa mkoa apandishwe cheo?
ahaaa ahaaa hapana Rais mtu mkubwa sana nadhani ni DC au RC ndo kaaagiza sidhani kama ni level ya kitaifa ni mambwigila wanajipendekeza
 
Kama watu wanapotezwa na kuuawa hakemei ndio aje akemee kuonewa chadema/wanachadema?
 
Back
Top Bottom