Huyu Jamaa Sasa ndio kajionyesha yeye ni Mtu wa Aina gan.
Tulidhani labda ni Matumizi tu mabaya ya Nafasi ya Baba yake... Huyu Mtu ana uchu wa Madaraka, Mtu aliyetayari kufanya lolote ili mradi...
Sote ni mashahidi,
kwamba katibu mkuu wa chadema, hata kwa kumtazama tu kwa macho, achilia mbali kumskiliza, ni wazi kabisa anaweza kua ni kichochea cha ufisadi unaoendelea chadema na matumizi...
Bila uoga, kutetereka wala kumuogopa mtu yeyote, mwanahabari na mwanasheria nguli, Mzee Pascal Mayalla ameeleza kinagaubaga bila kuacha shaka jinsi Ben Saanane na Azory Gwanda walivyotekwa na...
Ukiangalia kwa makini sana hii barabara ya Morogoro - Dodoma, hasa eneo ambalo daraja limeng'olewa ni lazima upigwe na bumbuwazi!
Hakuna hata mawe wala kingo za maana, ujazo wa lami uliowekwa...
Huwa tunapenda sana kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu. Hata hivyo majibu ya namna hiyo hayatibu ugonjwa.
Mtaji wa kwanza wa chama cha siasa ni wanachama waaminifu ambao wapo tayari...
Mtu anaitwa Vyombo vya Habari, anasema, HECHE anakula Hela za TONETONE.
unakuta Mtu huyo, anajikita ni Katibu wa BAVICHA Nanjilinji.
Yaan wewe wa Nanjilinji hukoo maporin, unaanzaje Kufungua...
Wanabodi
Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani ambalo naliendesha kwa hoja za maswali
Kwanza hebu msikilizeni nabii huyu...
Taarifa hii imetolewa leo na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman Masoud akiwa ziarani kujitambulisha kwa wanachama wa chama chake cha ACT Wazalendo.
Ambapo amedai mpaka leo hakuna nchi...
Kwenu Waheshimiwa wenye Mamlaka kwenye hii nchi
Asalaam aleykum?
Bwana Yesu asifiwe?
Kristu ?
Kwa heshima kubwa, naomba nitoe ushauri kama mwananchi mwenye nia njema kwa mustakabali wa nchi...
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania, taasisi za umma na binafsi, mashirika na wadau wa maendeleo waungane na Serikali katika kuwezesha matibabu ya upandikizaji wa figo na uloto...
…Imebidi niulize hili ili wadau mnisaidie , RC wa Dar es salaam ameonekana akikagua ujenzi wa Barabara ya Chang'ombe - Maduka mawili , ambayo ujenzi wake umefanywa baada ya CCM kung'olewa jijini...
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim ametoa siku 4 kwa Ofisi ya TAKUKURU Temeke kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mkurugenzi wa zamani wa Wilaya hiyo, Lusubilo Mwakabibi na wenzake kwa tuhuma za...
Wote ni mashahidi miji ya Tanzania ina sifa moja mingi ina squatter zifuatazo ni njia ambazo ntazitumia kuondoa hizi squatter zilizopo kama sehemu ya kuifanya nchi kuwa nzuri kama nchi zilizoendelea
CCM Imefanikiwa sana kulinda amani kwa haya makundi ya watu
1. Mafisaidi
2. Wezi
3. Mapuyanga/mapapai/ mchicha mwiba, madafu.
4. Al munafiqina
5. Wachawi/Machawa
Huwezi kuwa katika makundi au...