Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Utampenda Mayala mwandishi wa habari na mwana CCM asiye mnafiki.
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Kisesa anayemaliza muda wake Luhaga Mpina huenda safari yake ya kuwawakilisha wananchi wa Kisesa ikafikia tamati ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka huu baada ya vikao vya...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Huenda Ndicho kinacho sukwa kwa sasa. Mtazinduka mmesha jikojolea tayari.
1 Reactions
10 Replies
462 Views
Ukiingia kituo cha treni ya SGR Dar es Salaam ili upate tikiti ya shs. 13,000/= utahudumiwa na wafanyakazi kama wanne ukianza na kaunta ya mapokezi ambaye hana kazi. Ukienda dirisha la tikiti...
8 Reactions
40 Replies
3K Views
Fuatilia yanayoendelea mitandaoni kwenye uwanja wa siasa .. Timu inayowa support ccm na mamluki wake iko taaban bin hoi Hawana hoja zenye mantiki bali wamebaki na uzushi na vitu vya kufikirika na...
28 Reactions
64 Replies
3K Views
Kuna jumbe mbalimbali za maandishi zimeanza kusambaa kwenye page za wapinzani zikionyesha askari wa polisi wakilalamika kwamba baada ya kufanya kazi miaka 30+ wameambulia kikokotoo kisichozidi...
7 Reactions
38 Replies
4K Views
Mtu huyo hakuwa na sare za Askari Magereza na wala hakuonekana kama Karani wa Mahakama. Katika Hali ya sasa ambako kuna Uvumi wa Tundu Lissu kutiliwa Sumu, ni vema hawa watu wasiohusika...
15 Reactions
65 Replies
4K Views
Hayo yamesemwa na Mjumbe wa EU na makamu wa Rais wa EU na muwakilishi mkuu wa Sera za kigeni na masuala ya Usalama aliyekuwa na ziara ya kikazi ya siku tatu nchini Tanzania Umoja wa Ulaya (EU)...
7 Reactions
93 Replies
4K Views
Mchambuzi wa masuala ya siasa nchini Tanzania Deus Kibamba ametoa tahadhari kuhusiana na kile alichokitaja kama "unono" wa kisiasa na kutokuwepo kwa uwiano wa mgawanyo wa maslahi ya kiutumishi...
3 Reactions
19 Replies
983 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli Namkubali sana Rais Samia uchapa kazi wake, uhodari wake ,uzalendo wake ,uungwana wake na uongozi wake thabiti wenye kugusa maisha ya watu na kumuwezesha kila...
12 Reactions
156 Replies
9K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mara, Chacha Heche, amesema kuwa hadi sasa chama pekee cha upinzani chenye uwezo wa kuibana CCM kisiasa na kulazimisha mawazo...
6 Reactions
38 Replies
2K Views
Nawatakia utulivu wa moyo na kifikra watia nia wote wa nafasi za ubunge na udiiwani kupitia CCM katika kipindi hiki cha joto la mjujo mchujo wa uteuzi kuelekea uchaguzi mkuu. Binafsi nimechukua...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Nimeangalia video kadhaa za kesi hiyo leo tarehe 11.07.2025. Sijamuona Heche, wala Mnyika, je na wao wameanza kumchoka?
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mambo yanazidi kunoga, mambo yanaendelea kuwa matamu, mambo yanaendelea kuwa motomoto. Rais Samia anaendelea kuteka mioyo ya watu, Rais Samia anaendelea kuchanja Mbuga...
2 Reactions
36 Replies
1K Views
Be smart Nigga , wenzako wanakaa katika mipira Kama hiii then wewe unapewa Baiskeli Jitambue.
19 Reactions
49 Replies
2K Views
Makamu wa Rais amemuagiza mkuu wa Mkoa Arusha kutoa milioni 20 kambayo ilikua imebaki kutoka kwenye hela ya rambirambi iliyocahngwa kwa wanafunzi wa walionusurika ajali Lucky Vincent Arusha kwa...
18 Reactions
197 Replies
27K Views
MEYA ARUSHA AMJIA JUU RC GAMBO, ATAKA AOMBWE RADHI Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro ametoa siku saba kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amuombe radhi kwa kosa la kumuweka ndani wakati...
1 Reactions
76 Replies
8K Views
Viongozi hawa vijana,Wakuu wa mikoa,wamekuwa wakitoa ahadi za kutoa milioni kadhaa au kugawa vitu vya mamilioni. Na wamekuwa wakitimiza ahadi zao. Mamilioni yamekuwa yakigawiwa toka kwao. Ni...
6 Reactions
53 Replies
5K Views
Hawa vijana wa sasa wanatakiwa wafundishwe "historia za Wakuu wa Mikoa" ili waweze kujifunza na kuishi na jamii husika bila kupandikiza chuki. Hili Mwalimu alilitambua baada ya tukio la Mkulima...
106 Reactions
264 Replies
36K Views
Katika hali ambayo haikutarajiwa mkuu wa wilaya ya Arusha Mrisho Gambo ameanza kumhujumu mkuu wa mkoa Bwana Ntibenda. Hali hiyo imetokea leo eneo la nane nane Arusha,leo ndio siku ya uzinduzi...
19 Reactions
234 Replies
33K Views
Back
Top Bottom