Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Makamu wa Rais amemuagiza mkuu wa Mkoa Arusha kutoa milioni 20 kambayo ilikua imebaki kutoka kwenye hela ya rambirambi iliyocahngwa kwa wanafunzi wa walionusurika ajali Lucky Vincent Arusha kwa ajili ya kuwasomeshea watoto hao
Mwanzoni Mrisho Gambo alikabidhi kiasi tu cha fedha kwa wahanga hao na kudai atajengea hospitali na kuleta sintofahamu kubwa
Mwanzoni Mrisho Gambo alikabidhi kiasi tu cha fedha kwa wahanga hao na kudai atajengea hospitali na kuleta sintofahamu kubwa