Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

DONDOO ZAKE: * Bado CCM ndio chama chenye uhakika wa ushindi kwa zaidi ya 75% * Ni ngumu kufanya mabadiko ya Katiba ndani ya kipindi hiki kuelekea uchaguzi * Kanisa Catholic halijawaambia...
0 Reactions
24 Replies
1K Views
Leo mahakamani Lissu ameonekana kakonda sana aisee. Nimejiuliza anachohangaikia ni kipi, anaacha kuungana na CCM kula pesa mpaka kifo chake, anasumbuka kupambania wajinga ambao wanamuona...
19 Reactions
106 Replies
3K Views
"Ulevi wa madaraka huondoa uvumilivu wa kusikiliza yale usiyoyapenda. Tukiikaribisha serikali kutuamulia nani ni nabii wa kweli na nani ni nabii wa uongo tutajikuta tunalazimika kupeleka nakala za...
0 Reactions
3 Replies
352 Views
Mahakama kuu ya Tanzania imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu kutaka marejeo ya uamuzi wa mahakama ya kisutu kuahirisha kesi ya kuchapisha taarifa za uongo. mahakama imesema maombi hayo...
3 Reactions
53 Replies
4K Views
Tumjadili Zitto, kweli huyu ana akili timamu? Kama ana akili timamu basi amekula kitu kutoka CCM Soma pia: Pre GE2025 - Je, ACT Wazalendo watakubali kushinikiza maboresho ya sheria ya uchaguzi...
2 Reactions
8 Replies
455 Views
Tembelea vijiwe vyote, iwe ni baa, kwa mama ntilie, kwa wavuvi hata kwq mafundi viatu utapata huu ukweli. CCM haikubaliki, kila kundi la watanzania haliridhiki na namna CCM inqvyowatumikia tangu...
9 Reactions
45 Replies
1K Views
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimeitaka Tume huru ya Taifa nchini (INEC) kuwachukulia hatua kali za kuwafikisha mahakamani kwa mujibu wa sheria ya tume hiyo, wasimamizi wa uchaguzi mkuu wa...
1 Reactions
1 Replies
269 Views
Hii ndio habari ya mjini. Arusha mjini kumewaka moto . Mfumo unalazimisha Makonda apewe , Wananchi wanamtaka gambo aendelee. Je makonda atakubali?
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Fridah mmanga - mratibu wa Sauti ya Mwanamke Sandukuni Kuelekea kwenye uchaguzi mkuu 2025 sauti ya mwanamke wamezindua kampeni ya #MwanamkeSandukuni ambayo inamtaka mwanamke kushiriki uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
284 Views
CCM wala Chama chochote, hakiwezi kuleta ugali mezani kwangu, na hivyo, silazimiki kuwa mtumwa wa CCM au chama kingine chochote Mimi kama mpiga kura, nahitaji kuona sheria za uchaguzi...
5 Reactions
14 Replies
543 Views
Nipo hapa Isimani naelekea Dodoma Kiukweli Unaweza kudhani uko Kibondo maporini huko au kule Upareni ndani ndani karibu na Rombo ambako maendeleo wanayasikia redioni tu Tatizo ni nini hasa ikiwa...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
My Take Wale wa Katiba Mpya na stori mnazoambiwa muwe mnachanganya na zenu. Ni afadhari Kusiwe kabisa na Katiba Mpya kuliko.kuwa na Katiba Mpya ambayo itaingiza matapeli wapya kwenye madaraka...
10 Reactions
209 Replies
5K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, ameiagiza Idara ya Uhamiaji kuwekeza nguvu zaidi katika kuimarisha doria na misako usiku na mchana nchi nzima katika kipindi cha kuelekea...
0 Reactions
1 Replies
456 Views
Mawakili wanaojiita WASOMI wa CHADEMA wanashindwa kugundua hilo, kesi kila siku mapingamizi hayaishi kesi itaishaje jamani hawajui value ya muda katika kesi ndio linawa cost mwaka utaisha wapo...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Machifu Tanzania Mtemi Msogata Fundikila ametangaza kuwa kesho ataungana na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Tabora na mikoa ya jirani kufanya Dua maalumu ya kuiombea amani...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Ukiona mtu anaona kuwa kupewa baiskeli ni ukombozi wa maisha yake magumu, ujue jamii aliyomo ni maskini sana. Kuna wakati ada ya shilingi 20,000 na 70,000 kwenye shule za kutwa na bweni za...
14 Reactions
70 Replies
3K Views
Wasalaam wana jamvi Leo Lissu kaendelea na kampeni lakini jambo la kushtua zaidi ni mpango wa CHADEMA wa kuigawa Tanzania kwa majimbo kwa kisingizio kuwa majimbo ndio chanzo cha maendeleo Lissu...
9 Reactions
228 Replies
17K Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya (EU) anawasili kesho jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo muhimu na serikali ya Tanzania kuhusu demokrasia, haki za binadamu na maandalizi ya uchaguzi mkuu...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Nadhani Mwamba wa nchi jirani alijisahau kwamba yeye ndiye mwenyekiti wa EAC Inasemekana T-shirts zenye Picha ya Tundu Lisu zinanunuliwa kwa kugombaniwa nchini humo Inasemekana Congo nako...
15 Reactions
38 Replies
3K Views
Huo mfumo unaitwa DUMA tangu tarehe 30/6/2025 malipo Yamesimama. Hawa wahindi washishindwa na wafanyakazi wao wana Hali mbaya kifedha. Na wahindi hawataki kukubali wameshashindwa Pichani ni...
2 Reactions
7 Replies
842 Views
Back
Top Bottom