MKOA WETU UNAHITAJI WABUNGE WENYE SIFA HIZI KATIKA MAJIMBO YETU
1. Mbunge mwenye mpango kazi binafsi wa miaka mitano kama mbunge, siyo mbunge wa kujivunia miradi iliyotekelezwa na serikali pasipo...
Hawa ndio Wakuu wa Mikoa Watano(5) walizopata "Coverage" kubwa kwenye Mainstream & Social Media katika awamu ya kwanza ya Utawala wa Mh Rais,Mama Samia Suluhu Hassan!
Either maeneo yao(Mikoa)yao...
Katibu wa Idara ya Haki za Binadamu Chama cha ACT Wazalendo. Mbarara Maharagande, amewataka Watanzania kukipuuza Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwakuwa kimeshindwa kutatua changamoto zao hasa kwenye...
Mbunge wa Iringa Mjini Jesca Msambatavangu amesema CHADEMA hawawezi kuzuia uchaguzi kwa kuwa ni suala la kikatiba. Akizungumza na Charles William katika kipindi cha One on One, amesema badala ya...
Takribani mwezi mmoja uliopita chadema waligoma kusaini fomu ya maadili yatakayotumika kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Kitendo hiki kilipelekea Tume huru ya uchaguzi (INEC) kwa mjibu wa sheria...
Ni moja ya Kanuni ya ajabu eti Msimami wa kituo cha kupigia kura ana uhuru wa kuchagua wapi ahesabie kura. Anaweza kura zikapigiwa say Kimara, akaamua kuhesabia Kigamboni ofisi ya CCM.
1. Humo...
Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika akiizungumzia kesi Namba 8323/2025 ambayo inahusisha zuio la muda kwa Chama chake kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya...
Amani iwe kwenu Great thinkers
Kwa kweli wote tumeona ushujaa uliooneshwa na Mbunge wa Chadema Arusha mjini katika kudai uchaguzi huru wa meya na naibu wake.
Katika harakati hizo ilipelekea yeye...
Nafanya kautafiti kwenye swala la Kuchanganya Dini na Siasa ili walau nijipatie ka PhD ka Causa
Naomba kujua kama Askofu Mwamakula ni mwanachama wa Chadema ili naye nimtumie kama Sampuli kwenye...
Katika dunia ya leo maendeleo ya vitu yanaweza kuletwa na Kiongozi yoyote ila maendeleo ya Fikra huletwa na wachache Waliojaliwa na mwenyezi Mungu karama ya malezi.
Tulikuwa na makundi hapa...
Wakuu !
Chama kikuu cha Upinzani nchini Tanzania kilikuja na kauli mbiu yake ya No Reforms No Election baada ya uongozi mpya wa Chama hicho kuingia madarakani ukiongozwa na Mheshimiwa Tundu Lissu...
Kesi Namba 8323/2025 ambayo imetoa zuio la muda kwa Chama cha CHADEMA kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa itakapoanza kusikilizwa...
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Steve Mengele maarufu kama Steve Nyerere, ameonya kuhusu wimbi la vijana maarufu – hususan kutoka mitandao ya kijamii na burudani – kujitokeza...
"Kutokana na kuwa na elimu ndogo, wajumbe wanakuwa ni wepesi wa kushawishiwa. Wajumbe ni sehemu ya wananchi na viongozi wana pesa"- Shawn Ayoub, Mwananchi
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila...
“Hawa polisi wajue kitu kimoja, wewe unaweza kuwa OCD leo, mimi leo naweza kuwa Mbunge napiga maneno tu, au mwingine akawa Mbunge, lakini kesho mimi ndiye Rais – ndiye ninateua IGP, ndiye...
"Kwenye upande wa wabunge na Viti Maalum jumla ya Wana Dar es Salaam zaidi ya Mia Nne walijaza fomu. Unapokaa na kujadili nafasi hizo mchakato wake unakuwa ni mrefu kwa sababu tulikuwa na vikao...
Tanzania imebarikiwa utajiri wa kila kitu, lakini tunashangaa huduma ya afya ni mbovu, tumekuja hapa Tunduru kinamama wanalalamika wakienda kujifungua wanauziwa watoto, vifaa vya kujifungulia...
Wakuu tukiondoa masihara au unafiki huu ujumbe wa Baba Askofu Benson Bagonza umejaa ukweli mtupu. Ukiweka ushabiki wa itikadi za vyama.
Hata wale wanaotamba bila aibu Watatiki October naona nao...
Mwezi kama huu Mwezi Julai, pangekuwa Patashika Nguo Kuchanika.
Kwa mliokuwa hai mwaka 2015 na 2020, harakati za uchaguzi zilioesha shamla shamla kiasi kwamba wananchi wanasahau shida zao angalau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.