Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MKOA WETU UNAHITAJI WABUNGE WENYE SIFA HIZI KATIKA MAJIMBO YETU 1. Mbunge mwenye mpango kazi binafsi wa miaka mitano kama mbunge, siyo mbunge wa kujivunia miradi iliyotekelezwa na serikali pasipo...
0 Reactions
3 Replies
304 Views
Hawa ndio Wakuu wa Mikoa Watano(5) walizopata "Coverage" kubwa kwenye Mainstream & Social Media katika awamu ya kwanza ya Utawala wa Mh Rais,Mama Samia Suluhu Hassan! Either maeneo yao(Mikoa)yao...
0 Reactions
1 Replies
397 Views
Katibu wa Idara ya Haki za Binadamu Chama cha ACT Wazalendo. Mbarara Maharagande, amewataka Watanzania kukipuuza Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwakuwa kimeshindwa kutatua changamoto zao hasa kwenye...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Mbunge wa Iringa Mjini Jesca Msambatavangu amesema CHADEMA hawawezi kuzuia uchaguzi kwa kuwa ni suala la kikatiba. Akizungumza na Charles William katika kipindi cha One on One, amesema badala ya...
-1 Reactions
16 Replies
757 Views
Takribani mwezi mmoja uliopita chadema waligoma kusaini fomu ya maadili yatakayotumika kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Kitendo hiki kilipelekea Tume huru ya uchaguzi (INEC) kwa mjibu wa sheria...
2 Reactions
59 Replies
3K Views
Ni moja ya Kanuni ya ajabu eti Msimami wa kituo cha kupigia kura ana uhuru wa kuchagua wapi ahesabie kura. Anaweza kura zikapigiwa say Kimara, akaamua kuhesabia Kigamboni ofisi ya CCM. 1. Humo...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika akiizungumzia kesi Namba 8323/2025 ambayo inahusisha zuio la muda kwa Chama chake kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya...
6 Reactions
54 Replies
3K Views
Amani iwe kwenu Great thinkers Kwa kweli wote tumeona ushujaa uliooneshwa na Mbunge wa Chadema Arusha mjini katika kudai uchaguzi huru wa meya na naibu wake. Katika harakati hizo ilipelekea yeye...
3 Reactions
669 Replies
119K Views
Nafanya kautafiti kwenye swala la Kuchanganya Dini na Siasa ili walau nijipatie ka PhD ka Causa Naomba kujua kama Askofu Mwamakula ni mwanachama wa Chadema ili naye nimtumie kama Sampuli kwenye...
5 Reactions
51 Replies
1K Views
Katika dunia ya leo maendeleo ya vitu yanaweza kuletwa na Kiongozi yoyote ila maendeleo ya Fikra huletwa na wachache Waliojaliwa na mwenyezi Mungu karama ya malezi. Tulikuwa na makundi hapa...
7 Reactions
32 Replies
762 Views
Wakuu ! Chama kikuu cha Upinzani nchini Tanzania kilikuja na kauli mbiu yake ya No Reforms No Election baada ya uongozi mpya wa Chama hicho kuingia madarakani ukiongozwa na Mheshimiwa Tundu Lissu...
1 Reactions
3 Replies
340 Views
Kesi Namba 8323/2025 ambayo imetoa zuio la muda kwa Chama cha CHADEMA kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa itakapoanza kusikilizwa...
3 Reactions
86 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Steve Mengele maarufu kama Steve Nyerere, ameonya kuhusu wimbi la vijana maarufu – hususan kutoka mitandao ya kijamii na burudani – kujitokeza...
0 Reactions
9 Replies
818 Views
"Kutokana na kuwa na elimu ndogo, wajumbe wanakuwa ni wepesi wa kushawishiwa. Wajumbe ni sehemu ya wananchi na viongozi wana pesa"- Shawn Ayoub, Mwananchi Kupata matukio na taarifa zote kwa kila...
1 Reactions
2 Replies
271 Views
“Hawa polisi wajue kitu kimoja, wewe unaweza kuwa OCD leo, mimi leo naweza kuwa Mbunge napiga maneno tu, au mwingine akawa Mbunge, lakini kesho mimi ndiye Rais – ndiye ninateua IGP, ndiye...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
"Kwenye upande wa wabunge na Viti Maalum jumla ya Wana Dar es Salaam zaidi ya Mia Nne walijaza fomu. Unapokaa na kujadili nafasi hizo mchakato wake unakuwa ni mrefu kwa sababu tulikuwa na vikao...
1 Reactions
0 Replies
414 Views
Tanzania imebarikiwa utajiri wa kila kitu, lakini tunashangaa huduma ya afya ni mbovu, tumekuja hapa Tunduru kinamama wanalalamika wakienda kujifungua wanauziwa watoto, vifaa vya kujifungulia...
1 Reactions
2 Replies
316 Views
Wakuu tukiondoa masihara au unafiki huu ujumbe wa Baba Askofu Benson Bagonza umejaa ukweli mtupu. Ukiweka ushabiki wa itikadi za vyama. Hata wale wanaotamba bila aibu Watatiki October naona nao...
29 Reactions
47 Replies
3K Views
Mwezi kama huu Mwezi Julai, pangekuwa Patashika Nguo Kuchanika. Kwa mliokuwa hai mwaka 2015 na 2020, harakati za uchaguzi zilioesha shamla shamla kiasi kwamba wananchi wanasahau shida zao angalau...
12 Reactions
90 Replies
3K Views
Naipenda CCM Sana Kwa mema yote waliyofanya nchini toka Uhuru.
3 Reactions
11 Replies
918 Views
Back
Top Bottom