Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa.
Nilikuwepo kule siku moja nimekwenda kuanzisha Chama changu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya...
Sina mengi kama heading inavyosomeka umoja wa makanisa Tanzania CCT utoke hadharani na tamko lake ili tujuwe msimamo wa kanisa ni nini juu ya haya yanayoendelea.
Baada ya kuwaapisha wasaidizi wake ile 2021, akatoa risala kuwa hao aliowaapisha waende huko kwenye vituo vyao vya kazi wakawatumikie wananchi.
Akaonya kwamba hizo nafasi zao wasizotumie...
Wanazengo wanasema ushauri si lazima upokelewe ila mjumbe hauwawi.
Nimeona na mimi niandike kwasababu uwezo ninao na nia pia juu ya haya yanayoendelea kila mtu anaruhusiwa kuandika lake liwe la...
Kumbe Inawezekana wanaharakati ni wabaya sana kuliko wasiojulikana!
Na pia sijawahi kusikia neno kulinda uhuru na haki za Watanzania ila nasikia kulinda amani kumbe huenda haki haina umuhimu...
Wakuu wa vyombo wamechoka. Walikuwa wanajiuliza nani atakuwa tayari kuyasema na hana hofu ya kupoteza. Kuna watu watatu waliulizwa wakasema hawapo tayari.
Jamaa wanasema wanataka ijulikane...
https://www.youtube.com/watch?v=Dhe1bpdrnXE
Wabunge wamepitisha makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2025/2026, jijini Dodoma leo Juni 3, 2025.
Katika mjadala wa...
Kuzungusha maneno kuwa utekeaji unao endelea ni kwa sababu Mamlaka ya uteuzi wa Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ndio hiyo hiyo inaweza kuwatengua, maana yake unautangazia ulimwengu kuwa...
Kwa hakika, nchi yetu haijawahi kuwa na Serikali adui mkubwa kwa Wananchi Kama hii ya Sasa.
Hata Serikali ya mkoloni haijwahi kuwa mbaya na adui wa wananchi kwa kiwango tunachoshuhudia sasa.
1...
Kama ilivyo kawaida maisha ni fedha, kwa lissu, mbowe, Lema na wote mnaowaona wanapiga kelele kwa kivuli cha Demokrasia,
Bwana Gwajima alishayaona ya mbeleni ya kwamba kwa kuwa hakuna...
Najalibu kutafakali kwa haya yanayotokea huyu Mama baada ya kustaafu sizani kama atabaki Tanzania kama marais wenzake waliomtangulia,namuona yeye na familia yake wakienda kuishi Oman huku nyuma...
Suala la barua kwa kanisa la Gwajima kuhusu kufungiwa alafu mamlaka husika kuingia mitini bila kujibu ni kama mamlaka ya mama samia inapima upepo.
Sasa sisi msimamo ni ule ule tunapinga vikali...
Katika hali ya kawaida nani anaharibu amani..?
"....Je, ni anayetumia nguvu kubwa na kusisitiza uchaguzi uende anavyotaka yeye au yule anayesema jamani turudi mezani ili tuangalie mifumo yetu ya...
Kiongozi wa Dini ya Waislamu Sheikh Mwaipopo amjia juu Rais wa Baraza la Maaaskofu wa kanisa katoliki (TEC) Askofu Dkt. Pisa kwa kutoa kauli ya kulaani na kutaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu...
“Nani anaharibu amani, anayetumia nguvu uchaguzi uende anavyotaka yeye au anayesema turudi mezani mfumo wa sasa hautupi viongozi wanaopatikana kwa HAKI na KWELI?..
Waliokamatwa kwa kudai HAKI...
Mara baada ya kusambaa kwa Barua mitandaoni iliyodaiwa kuwa imetoka kwa Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa ikihusu kufungia shughuli za Kanisa la Glory of Christ Tanzania (Kanisa la...
Watanzania kama hamjui baadhi yenu mnatengeneza nchi mbayo itakuja kuwa kama Uganda ya mtu mmoja na family yake. Ndiyo kitu mabacho hizo familia chache za maraisi wastaafu wanataka kufanya...
Mh Rais naomba nikupongeze kwa kazi nzito unayo ifanya ambayo inakugharimu Muda mwingine usilale ukihangaika huku na huko.
nakumbuka siku za hivi karibuni nilishawahi kukutana na msafara wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.