Nisome kwenye post #5Erythrocyte unasemaje mwamba?
NRNE 25%Erythrocyte unasemaje mwamba?
Hiyo inaitwa kawapiga Chini JuuAmeongea kwa akili sana.
Iwapo utafiti unaonyesha 75% ccm inakubalika, wanaogopa nini kufanya mabadiliko ya uchaguzi?
Ni akili kubwa tu itaelewa mantiki ya maneno ya Ph.D ya ukweli Kitima.DONDOO ZAKE;
* Bado CCM ndio chama chenye uhakika wa ushindi kwa zaidi ya 75%
* Ni ngumu kufanya mabadiko ya Katiba ndani ya kipindi hiki kuelekea uchaguzi
* Kanisa Catholic halijawaambia waumini wake wasishiriki uchaguzi
View attachment 3401780
Katibu wetu wa takatifu katoliki la mitume anatukosea aanaDONDOO ZAKE;
* Bado CCM ndio chama chenye uhakika wa ushindi kwa zaidi ya 75%
* Ni ngumu kufanya mabadiko ya Katiba ndani ya kipindi hiki kuelekea uchaguzi
* Kanisa Catholic halijawaambia waumini wake wasishiriki uchaguzi
View attachment 3401780
Kama una udongo kichwani huwezi muelewa KitimaNRNE 25%
Naona kamati kuu inaiagiza kamati kuu ndogo kufanya siasaKanisa Katoliki lisimung'unye maneno, Liagize waumini wake Wasishiriki Uchaguzi huu.
Hakuna haja ya kurembesha, Shetani apigwe tu.
Inaitwa Kata-funuaHiyo inaitwa kawapiga Chini Juu
Atabubujikwa machoziTobaaa, asiione Lucas Mwashambwa hii.
Sasa hao wapiga kura wanazo hizo akili kubwa za ki Ph.dNi akili kubwa tu itaelewa mantiki ya maneno ya Ph.D ya ukweli Kitima.
Huyu mleta mada anachojoa anachokiona kinamfaa. he should not report in isolation of other parts of a speech!Erythrocyte unasemaje mwamba?
Wewe mleta mada unachojoa unachokiona kinakufaa. You should not report in isolation of other parts of the whole speech!Erythrocyte unasemaje mwamba?