Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

In every country, there’s that one name you don’t have to say. In Tanzania... You just say: “She’s the worst.” And kama uchawi vile— 🧠 everyone knows who you mean. No name. No description. No...
3 Reactions
2 Replies
518 Views
Kuna haha ya kuongeza neno hapa? Kwa hakika serikali ijitafakari.
10 Reactions
50 Replies
3K Views
Wanabodi, Ni ajabu Watanzania kuamini maneno haya ya Mchungaji Gwajima. Kuliko kukiamini kiapo hiki mbele ya Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli Ni ukweli usiofichika watu wana...
45 Reactions
702 Replies
84K Views
Nimefuatilia Kesi ya Uongo ya Uhaini aliyobambikiwa Tundu Lissu na Serikali Katili ya Tanzania leo Mahakamani Kisutu. Lakini kama kawaida yangu nilijikita katika kuangalia namna Jumuiya ya...
0 Reactions
6 Replies
603 Views
Achana na ufaulu kwakuwa unaweza kuchora duara na bado mambo yako yakawa supa sana.. Kikubwa uwe kada mtiifu halafu usiwe mchoyo...! Halafu ujue kuwanyenyekea wakubwa! Kule kwa wavimba macho na...
4 Reactions
12 Replies
751 Views
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, nakuletea ujumbe huu kama raia mpenda haki na mwenye imani kuwa Tanzania inaweza kuwa bora zaidi, salama zaidi na ya haki zaidi kwa wote. Rais wangu, ulionesha...
2 Reactions
10 Replies
692 Views
Aisee katika mahojiano clouds tv yule mwenyekiti wa G55 john mrema baada ya kuulizwa nini maana ya no reform no election kasema imekosa neno la kiswahili. Wazazi wa john mrema kama mlijua mna...
17 Reactions
49 Replies
3K Views
Baada ya Polisi kujua kwamba wakionesha ukali kwa CHADEMA ndo wanapandishwa vyeo, hivi ndivyo wanafanya. Mwanaume mwenzangu anipige hivi, nitakubali ila lazima ntamfuatilia yeye na kizazi chake...
4 Reactions
20 Replies
980 Views
Nilikuwa nimesahau kuwa vikao vya bunge vinaendelea Dodoma! Muda mfupi uliopita niliingia YouTube nikakutana na "title" yenye maneno kama GWAJIMA KIKAANGONI BUNGENI. Nikifikiri kuwa suala la...
1 Reactions
0 Replies
393 Views
"Endapo wengi wakijua nguvu ya dola, hata kuitaja kwa utani wangekuwa wanavaa tai kwanza, achilia mbali kuikanyaga miguu!" 😂😂😂— Alloyce, P.R.
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Tuanaishi ili tule au tunakula ili TUISHI! Yanayojiri Tanzania chini ya Watawala dhidi ya watawaliwa yanaondoa uhalali wa kuwa na serikali ambayo ni sovereignity state. Serikali inayokubali watu...
2 Reactions
3 Replies
359 Views
Wandugu Kama alivyosema, leo moshi unafuka. Tujiandae kwa press kubwa kuwahi kutokea chini ya ardhi ya Tanzania Nakushauri urekodi, tupatie kideo, live press haitaishi ushavamiwa. Kila la kheri
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Aliyekuwa Askofu mkuu wa TAG alitoa angalizo hili wakati Mchungaji Rwakatare alipoteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum Hayati Mwenesongole alionya wakati Rwakatare alipokataa kukabidhi Huduma yake...
2 Reactions
15 Replies
494 Views
Ewe mkulima- pambania maslahi yako ya shamba. Mfanyabishara- pambania ridhiki yako. Mfanyakazi- pambana kulinda ulaji wako. Usidanganywe na mtu kupambania cha mtu. Sasa ni muda sahihi kupambana...
7 Reactions
28 Replies
839 Views
Hii inamaana kwamba makanisa 2000 nchi nzima na wachungaji na maaskofu wote wa kanisa la ufufuo na uzima kuanzia dar mpaka huko ujiji na maeneo ya katonto huko sumbawanga wote wanaadhibiwa Kwa...
2 Reactions
18 Replies
941 Views
Palitokea Rais mmoja mwanamke aliyerithi kiti hiko na akawa mbaya kupita maelezo. Wakosoaji wake aliwaua, akawapoteza na wengine akasimamia wafirwe. Viongozi wa dini akawatesa na wengine...
1 Reactions
6 Replies
527 Views
Duniani kote, hata Marekani, unatii kwanza amri ya mamlaka, kama huridhiki nayo kuna hatua za kuchukua. Dar Ina kamanda wa FFU, kama anashundwa kudhibiti kagenge ka watu 200,na haombi msaada...
2 Reactions
52 Replies
3K Views
Rais wa Jamhuri ya Kosovo, Mhe. Dkt. Vjosa Osmani Sadriu amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo alipomtembelea...
0 Reactions
5 Replies
444 Views
Wakuu Siku moja mara baada ya vyama 14 vya siasa nchini kutangaza rasmi kuunda umoja wao kuwa vitashiriki uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, Chama cha Wananchi CUF kimetangaza kutoungana na chama...
0 Reactions
1 Replies
389 Views
Sababu kuu ya Gwajima kutendewa haya yote ni baada ya kuongelea mambo ya watu KUTEKWA, KUUAWA na KUPOTEA bila kujulikana wameenda wapi na wakati huohuo mamlaka kuendelea kuwa kimya. Msimamo na...
0 Reactions
3 Replies
368 Views
Back
Top Bottom