Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Fridah mmanga - mratibu wa Sauti ya Mwanamke Sandukuni Kuelekea kwenye uchaguzi mkuu 2025 sauti ya mwanamke wamezindua kampeni ya #MwanamkeSandukuni ambayo inamtaka mwanamke kushiriki uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
284 Views
CCM wala Chama chochote, hakiwezi kuleta ugali mezani kwangu, na hivyo, silazimiki kuwa mtumwa wa CCM au chama kingine chochote Mimi kama mpiga kura, nahitaji kuona sheria za uchaguzi...
5 Reactions
14 Replies
543 Views
Nipo hapa Isimani naelekea Dodoma Kiukweli Unaweza kudhani uko Kibondo maporini huko au kule Upareni ndani ndani karibu na Rombo ambako maendeleo wanayasikia redioni tu Tatizo ni nini hasa ikiwa...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
My Take Wale wa Katiba Mpya na stori mnazoambiwa muwe mnachanganya na zenu. Ni afadhari Kusiwe kabisa na Katiba Mpya kuliko.kuwa na Katiba Mpya ambayo itaingiza matapeli wapya kwenye madaraka...
10 Reactions
209 Replies
5K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, ameiagiza Idara ya Uhamiaji kuwekeza nguvu zaidi katika kuimarisha doria na misako usiku na mchana nchi nzima katika kipindi cha kuelekea...
0 Reactions
1 Replies
456 Views
Mawakili wanaojiita WASOMI wa CHADEMA wanashindwa kugundua hilo, kesi kila siku mapingamizi hayaishi kesi itaishaje jamani hawajui value ya muda katika kesi ndio linawa cost mwaka utaisha wapo...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Machifu Tanzania Mtemi Msogata Fundikila ametangaza kuwa kesho ataungana na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Tabora na mikoa ya jirani kufanya Dua maalumu ya kuiombea amani...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Ukiona mtu anaona kuwa kupewa baiskeli ni ukombozi wa maisha yake magumu, ujue jamii aliyomo ni maskini sana. Kuna wakati ada ya shilingi 20,000 na 70,000 kwenye shule za kutwa na bweni za...
14 Reactions
70 Replies
3K Views
Wasalaam wana jamvi Leo Lissu kaendelea na kampeni lakini jambo la kushtua zaidi ni mpango wa CHADEMA wa kuigawa Tanzania kwa majimbo kwa kisingizio kuwa majimbo ndio chanzo cha maendeleo Lissu...
9 Reactions
228 Replies
17K Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya (EU) anawasili kesho jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo muhimu na serikali ya Tanzania kuhusu demokrasia, haki za binadamu na maandalizi ya uchaguzi mkuu...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Nadhani Mwamba wa nchi jirani alijisahau kwamba yeye ndiye mwenyekiti wa EAC Inasemekana T-shirts zenye Picha ya Tundu Lisu zinanunuliwa kwa kugombaniwa nchini humo Inasemekana Congo nako...
15 Reactions
38 Replies
3K Views
Huo mfumo unaitwa DUMA tangu tarehe 30/6/2025 malipo Yamesimama. Hawa wahindi washishindwa na wafanyakazi wao wana Hali mbaya kifedha. Na wahindi hawataki kukubali wameshashindwa Pichani ni...
2 Reactions
7 Replies
842 Views
Chama cha ACT Wazalendo kimeonesha kutoridhishwa na namna Mbunge wa Same Mashariki mkoani Kilimanjaro, Bi. Anne Kilango Malecela anavyolihudumia jimbo lake kikisema kuwa alitoa taarifa za uongo...
0 Reactions
0 Replies
238 Views
Wananchi wa Jimbo la Mwibara, lililopo mkoani Mara, wamemwomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), awasikilize...
0 Reactions
3 Replies
727 Views
Mchambuzi wa masuala ya siasa nchini, Deus Kibamba, ameshauri kuwa ili nchi ipate maendeleo endelevu, ni muhimu kupunguza maslahi na stahiki mbalimbali wanazopata viongozi wa kisiasa, ambazo...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Hawa ndio Wabunge wanawake Watano bora Bunge la 2020/2025 kwa MICHANGO yao Bora kabisa kwa Taifa na Kwa majimbo yao kwa wale wenye majimbo! I. Sophia Mwakagenda,Viti Maalum Chadema,kwa sasa Chama...
0 Reactions
6 Replies
557 Views
Wakuu, ivi kuna kipindi tuliambiwa tupo uchumi wa kati tulifikaje? kwa sera hizi hizi au kuna zingine mpya ======= Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Mkoa wa Kigoma, Kiza Mayeye ameshangazwa na hali...
2 Reactions
3 Replies
389 Views
Viongozi wa Ulaya wamezindua Alhamisi mjini Rome, mkutano wa kila mwaka wa kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa Ukraine baada ya vita, wakitarajia kukusanya dola bilioni 12. Waziri Mkuu wa Italia...
0 Reactions
1 Replies
289 Views
Rais Donald Trump kwa mara ya kwanza tangu arejee madarakani atatuma silaha nchini Ukraine chini ya mamlaka ya rais ambayo ilitumiwa mara kwa mara na mtangulizi wake, vyanzo viwili vya kuaminika...
1 Reactions
0 Replies
325 Views
Kama wewe ni binadamu na unafikiri vizuri. Fikiria namna Prof. Assad alivyo na madini ya maana kichwani kwake, alafu fikiria kuwa mtu wa namna ile alifanyiwa fitna na kuondolewa kwenye Cheo cha...
2 Reactions
5 Replies
355 Views
Back
Top Bottom