In every country, there’s that one name you don’t have to say.
In Tanzania...
You just say:
“She’s the worst.”
And kama uchawi vile—
🧠 everyone knows who you mean.
No name.
No description.
No...
Wanabodi,
Ni ajabu Watanzania kuamini maneno haya ya Mchungaji Gwajima.
Kuliko kukiamini kiapo hiki mbele ya Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Ni ukweli usiofichika watu wana...
Nimefuatilia Kesi ya Uongo ya Uhaini aliyobambikiwa Tundu Lissu na Serikali Katili ya Tanzania leo Mahakamani Kisutu.
Lakini kama kawaida yangu nilijikita katika kuangalia namna Jumuiya ya...
Achana na ufaulu kwakuwa unaweza kuchora duara na bado mambo yako yakawa supa sana.. Kikubwa uwe kada mtiifu halafu usiwe mchoyo...! Halafu ujue kuwanyenyekea wakubwa!
Kule kwa wavimba macho na...
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, nakuletea ujumbe huu kama raia mpenda haki na mwenye imani kuwa Tanzania inaweza kuwa bora zaidi, salama zaidi na ya haki zaidi kwa wote. Rais wangu, ulionesha...
Aisee katika mahojiano clouds tv yule mwenyekiti wa G55 john mrema baada ya kuulizwa nini maana ya no reform no election kasema imekosa neno la kiswahili.
Wazazi wa john mrema kama mlijua mna...
Baada ya Polisi kujua kwamba wakionesha ukali kwa CHADEMA ndo wanapandishwa vyeo, hivi ndivyo wanafanya.
Mwanaume mwenzangu anipige hivi, nitakubali ila lazima ntamfuatilia yeye na kizazi chake...
Nilikuwa nimesahau kuwa vikao vya bunge vinaendelea Dodoma!
Muda mfupi uliopita niliingia YouTube nikakutana na "title" yenye maneno kama GWAJIMA KIKAANGONI BUNGENI. Nikifikiri kuwa suala la...
Tuanaishi ili tule au tunakula ili TUISHI!
Yanayojiri Tanzania chini ya Watawala dhidi ya watawaliwa yanaondoa uhalali wa kuwa na serikali ambayo ni sovereignity state. Serikali inayokubali watu...
Wandugu
Kama alivyosema, leo moshi unafuka. Tujiandae kwa press kubwa kuwahi kutokea chini ya ardhi ya Tanzania
Nakushauri urekodi, tupatie kideo, live press haitaishi ushavamiwa.
Kila la kheri
Aliyekuwa Askofu mkuu wa TAG alitoa angalizo hili wakati Mchungaji Rwakatare alipoteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum
Hayati Mwenesongole alionya wakati Rwakatare alipokataa kukabidhi Huduma yake...
Ewe mkulima- pambania maslahi yako ya shamba.
Mfanyabishara- pambania ridhiki yako.
Mfanyakazi- pambana kulinda ulaji wako.
Usidanganywe na mtu kupambania cha mtu. Sasa ni muda sahihi kupambana...
Hii inamaana kwamba makanisa 2000 nchi nzima na wachungaji na maaskofu wote wa kanisa la ufufuo na uzima kuanzia dar mpaka huko ujiji na maeneo ya katonto huko sumbawanga wote wanaadhibiwa Kwa...
Palitokea Rais mmoja mwanamke aliyerithi kiti hiko na akawa mbaya kupita maelezo. Wakosoaji wake aliwaua, akawapoteza na wengine akasimamia wafirwe. Viongozi wa dini akawatesa na wengine...
Duniani kote, hata Marekani, unatii kwanza amri ya mamlaka, kama huridhiki nayo kuna hatua za kuchukua.
Dar Ina kamanda wa FFU, kama anashundwa kudhibiti kagenge ka watu 200,na haombi msaada...
Rais wa Jamhuri ya Kosovo, Mhe. Dkt. Vjosa Osmani Sadriu amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo alipomtembelea...
Wakuu
Siku moja mara baada ya vyama 14 vya siasa nchini kutangaza rasmi kuunda umoja wao kuwa vitashiriki uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, Chama cha Wananchi CUF kimetangaza kutoungana na chama...
Sababu kuu ya Gwajima kutendewa haya yote ni baada ya kuongelea mambo ya watu KUTEKWA, KUUAWA na KUPOTEA bila kujulikana wameenda wapi na wakati huohuo mamlaka kuendelea kuwa kimya.
Msimamo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.