Wakati fulani nyuma niliandika humu kuwa siasa za mwaka huu zitakuwa kama za Kenya ambapo Rais ataungana na kiongozi mkuu wa upinzani kwenye jukwaa moja kama Uhuru na Odinga walivyoungana...
Mwenezi wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) Taifa, Bi. Sigrada Mligo, amehutubia kwenye mkutano wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), uliofanyika Makambako...
Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete...
Huu ndio ukweli mchungu
CCM hawajui walitendalo!
Wanasahau Mbowe kashindwa uchaguzi na anaonekana kuwa na kinyongo.
Wanasahau wazungu wanafika mahakama kufuatilia kesi ya Lissu na huyo Mbowe...
Kuna watu waliuwawa na kutekwa na Lissu yupo gerezani na chama chake kimezuiwa kwa fitina badala ya kutazama haya na kukemea yeye tunamuona tu anacheka cheka kwenye mikatano anasahau damu zilizo...
Mwandishi Maalum
MWISHO wa utawala unaodaiwa kuwa wa ‘kisultani’ ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umefikia kikomo ambapo Freeman Mbowe amekubali kuachia wadhifa wa uenyekiti...
Wakufunzi ndio wanaokesha na mbinu za ufundishaji na ujifunzaji mavyuoni ndiyo wanaojua mbinu gani zitumike ili kuboresha Elimu yetu, ni vema wakatufata pia mashuleni wanatukagua wao kama walimu...
Katika ukurasa wa Marai Sarungi kwenye mtandao wa X, kuna tangazo kwenye gazeti la serikali ambalo ni tangazo la tarehe 11/07/2025 likiwa ni tangazo la serikali kuhusu kanuni za kulinda...
Asalam aleykum waislam wenzangu.
Kwanza niwapongeze kwa kuamka salama,niwape pole wenye madhira,Mungu atawapa tahfif.
Twende kwenye mada,ndugu wanajf,tangu tuingie mwaka mtakatifu wa nchi yetu...
Siwakubali Chadema lakini ukweli mwingine Uko wazi kabisa
Unapomjadili Mbowe huwezi kuacha kuijadili Chadema na Tundu Lisu
Sidhani kama Lucas hata anaelewa ninachozungumza na kuhofia
Anyway...
This could be one of the most exceptional and Exparte injunctions ever issued in the history of countries that follow the Common Law system.
Ordinarily, an injunction is granted to preserve the...
Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA aliyesaliti mapambano Freeman Mbowe akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kumalizikwa kwa uzinduzi wa Dira ya Taifa 2050 amekwepa kujibu swali la Mwandishi wa...
Leo imezinduliwa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Shabaha ya Dira ni kuwa na Pato la Taifa la USD 1 trillion ambapo pato la mtu mmoja liwe wastani wa USD 7,000 kwa mwaka kutoka USD 1,200 za sasa...
Tukiiga na hii kutoka Uingereza ina maana Vijana wa kuanzia Form Three Watajikuta ni Wapiga Kura
Kwahiyo Siasa zitahamia Secondary schools ambako kutakuwa na Kura karibia million 2
Mlale unono 🙏
Msishangae Raisi Mama Samia mambo ya nchi naona hayaendi vizuri sasa anatafuta middle man wa kumsaidia ili aweze kujirudi.
Mtu huyo anataka awe Mbowe ili naye Mbowe aonekane ndiye kasaidia...
Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango Dkt. Fred Msemwa ameeleza ufanisi uliotumika wa ukusanyaji wa maoni ya wananchi kuhusu Dira ya Taifa 2050, akieleza kuwa walitumia njia shirikishi...
Waratibu na wasimamizi wa uchaguzi kutoka mikoa ya Kilimanjaro na Tanga, wametakiwa kupunguza makundi sogezi 'Whats App' katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, ili kuepuka...
Uongozi mbaya wa Kikwete ulaumiwe kwa kukosa
1. katiba,
2. Mungu mtu Magufuli,
3. Magu na umungu mtu akaleta bunge butu maana alijiona yeye pekee ni Mungu
4. Magu katuletea Mama kujifanya malkia...
Godfrey Sitta, mtia nia wa Ubunge wa jimbo la Meatu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) ametoa wito kwa makada wa chama hicho na wakazi wa Meatu kwa ujumla wake kuhakikisha wanaufanyia kazi...
Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe amesema licha ya Serikali kufanya kazi kubwa kuandaa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, lakini bado haijakiri kuhusu...