Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jenerali ulimwengu ambaye ni mwanahabari nguri amepinga vikali hatua ya kumpa Rais Samia Suluhu siku 100 za kumjadili. Amesema kwanza hatupaswi kutumia njia hiyo sababu ni njia ambayo wamarekani...
23 Reactions
65 Replies
7K Views
Serikali (simaanishi CCM) labda walikuwa wapo sahihi kuweka hii kesi online, ili kumuhakikishia usalama Tundu Lissu, kwasababu kwa sasa ni 'red line' - kiongozi mwenye ushawishi kwa watanzania...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Moja ya mambo ambayo ntafanya ni kuactivate nyota ambazo hazipo active ambazo kitaalamu zinaitwa blackholes
9 Reactions
126 Replies
4K Views
KAMA NI KWELI: Inaweza kumaanisha hivi.. Eti Kanisa Limefungwa au kufutiwa usajili. Kisa? Kiongozi wake kakosana na waliomsajili au kadaiwa kuhubiri kinyume na alivyotegemewa. Kama ni kweli...
43 Reactions
63 Replies
6K Views
Kinachoendelea ni kwa serikali na vyombo vyake kujaribu kuwaziba midomo wale wote wanaofichua vitendo viovu vya utekaji na upotevu wa wananchi. Lakini la ajabu ni kwamba badala ya serikali kutoa...
2 Reactions
3 Replies
474 Views
Kufuatia Press conference ya Askofu May 24, 2025 kuhusu utekaji, utesaji na mauaji, ambapo alidai huenda kipo kikundi kinachotenda mambo haya kwa maslahi ya mwanasiasa fulani, kumekuwa na mijadala...
1 Reactions
3 Replies
461 Views
Heading hapo juu inajipambanua vizuri. Kila mtu amejionea na kukusifu kwa namna ulivyoonesha uvumilivu, utulivu, ukomavu na busara dhidi ya matusi, udharirishaji na mashambulizi yanayoendelea...
8 Reactions
38 Replies
2K Views
Akizungumzia dhana ya kuwa tarehe ya Uchaguzi Mkuu haiwezi kubadilika, Mdau wa Siasa, Profesa Azaveli Lwaitama amesema si kweli na kwamba tarehe inaweza kubadilika kwa sababu mbalimbali ikiwemo...
3 Reactions
4 Replies
704 Views
Kwa siasa za sasa hivi jinsi zilivyo za kusifu na kuabudu, zinafanana na hadithi fulani ya Kidenmark inayozungumzia mfalme mmoja aliyependa sana kusifiwa na watu wake, huku akishindwa kujua kuwa...
1 Reactions
0 Replies
500 Views
Ningeshangaa sana kama Freeman Mbowe angeuvaa mtego wa G55 wa kuhamia Chadema na kukiacha chama alichokijenga kwa jasho na damu hadi kukaa jela miaka 2 Bush Star wamedunda kwa Mwamba 🐼🇹🇿
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Prof. Sospeter Muhongo, LEO BUNGENI DODOMA (Bajeti ya Wizara ya Afya) Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ametoa mchango wake Bungeni akielezea mengi yakiwemo: Musoma...
0 Reactions
1 Replies
401 Views
Habari wakuu Hili baraza liliundwa baada ya mashauriano kati ya taasisi za kidini kama BAKWATA, TEC, CCT, CPCT, pamoja na wawakilishi wa dini ya Hindu, Baha’i, na Budha. Malengo ya IRCPT ni...
0 Reactions
1 Replies
286 Views
Chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA, kimeahirisha uzinduzi wa mkutano wake wa hadhara uliokuwa ufanyike Juni Mosi, 2025 baada kukukosa kibali cha helkopta kutua na uwanja wa kufanyia mkutano huo...
6 Reactions
60 Replies
4K Views
Askofu Josephat Gwajima ameielezea dhana ya Gwajimanization kama hali ya kuwa na ujasiri usiotetereka wa kusema ukweli na kutanguliza maslahi ya taifa mbele ya maslahi binafsi, hata kama ukweli...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kila wakati huwa sielewi akili za watu wanaowalaumu CHADEMA kwa matendo maovu yanayotendwa na CCM. Serikali kwa sasa inaongozwa na CCM (hakuna Serikali ya CCM) kwa ivo kila baya linatendwa dhidi...
0 Reactions
3 Replies
474 Views
Hakika kama Gwaji boy alikuwa hana mpango mkakati wa kukabiliana na dola basi ndo kaishia hapa na hatutakuja kumsikia tena. Waumini wake mmoja mmoja watanyoosha njia za kurudi ma kwao na kufanya...
2 Reactions
7 Replies
587 Views
Pamoja na kwamba alikuwepo wakati wanavamia kanisa siku ya jana, bado hawajafanikiwa kumuona. Taarifa nilizopata ni kwamba anaenda kushusha "press" na wakali wa "Mahanaim" wanatinga mahakamani...
7 Reactions
24 Replies
3K Views
Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda. Na Magufuli mpaka akampa ubunge!! Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza...
11 Reactions
42 Replies
2K Views
Haki na amani ni vitu ambavyo huwezi kuviachanisha. Huwezi kuhubiri amani kama hakuna haki. Haki ya kupiga kura ni silaha ya mwananchi kwani ndo inayompa thamani kwa viongozi anaowachagua...
0 Reactions
0 Replies
189 Views
Je Tanzania inaenda kwenye utawala wa kifamilia? Kama hata CCM ni ndiyo Mama ndiyo Baba tutafika sehemu familia chache tu na ndugu zao ndiyo watakuwa watawala wa nchi hii kama Uganda au Rwanda...
1 Reactions
6 Replies
462 Views
Back
Top Bottom