Jenerali ulimwengu ambaye ni mwanahabari nguri amepinga vikali hatua ya kumpa Rais Samia Suluhu siku 100 za kumjadili.
Amesema kwanza hatupaswi kutumia njia hiyo sababu ni njia ambayo wamarekani...
Serikali (simaanishi CCM) labda walikuwa wapo sahihi kuweka hii kesi online, ili kumuhakikishia usalama Tundu Lissu, kwasababu kwa sasa ni 'red line' - kiongozi mwenye ushawishi kwa watanzania...
KAMA NI KWELI: Inaweza kumaanisha hivi..
Eti Kanisa Limefungwa au kufutiwa usajili. Kisa? Kiongozi wake kakosana na waliomsajili au kadaiwa kuhubiri kinyume na alivyotegemewa.
Kama ni kweli...
Kinachoendelea ni kwa serikali na vyombo vyake kujaribu kuwaziba midomo wale wote wanaofichua vitendo viovu vya utekaji na upotevu wa wananchi. Lakini la ajabu ni kwamba badala ya serikali kutoa...
Kufuatia Press conference ya Askofu May 24, 2025 kuhusu utekaji, utesaji na mauaji, ambapo alidai huenda kipo kikundi kinachotenda mambo haya kwa maslahi ya mwanasiasa fulani, kumekuwa na mijadala...
Heading hapo juu inajipambanua vizuri.
Kila mtu amejionea na kukusifu kwa namna ulivyoonesha uvumilivu, utulivu, ukomavu na busara dhidi ya matusi, udharirishaji na mashambulizi yanayoendelea...
Akizungumzia dhana ya kuwa tarehe ya Uchaguzi Mkuu haiwezi kubadilika, Mdau wa Siasa, Profesa Azaveli Lwaitama amesema si kweli na kwamba tarehe inaweza kubadilika kwa sababu mbalimbali ikiwemo...
Kwa siasa za sasa hivi jinsi zilivyo za kusifu na kuabudu, zinafanana na hadithi fulani ya Kidenmark inayozungumzia mfalme mmoja aliyependa sana kusifiwa na watu wake, huku akishindwa kujua kuwa...
Ningeshangaa sana kama Freeman Mbowe angeuvaa mtego wa G55 wa kuhamia Chadema na kukiacha chama alichokijenga kwa jasho na damu hadi kukaa jela miaka 2
Bush Star wamedunda kwa Mwamba 🐼🇹🇿
Prof. Sospeter Muhongo, LEO BUNGENI DODOMA (Bajeti ya Wizara ya Afya)
Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ametoa mchango wake Bungeni akielezea mengi yakiwemo:
Musoma...
Habari wakuu
Hili baraza liliundwa baada ya mashauriano kati ya taasisi za kidini kama BAKWATA, TEC, CCT, CPCT, pamoja na wawakilishi wa dini ya Hindu, Baha’i, na Budha.
Malengo ya IRCPT ni...
Chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA, kimeahirisha uzinduzi wa mkutano wake wa hadhara uliokuwa ufanyike Juni Mosi, 2025 baada kukukosa kibali cha helkopta kutua na uwanja wa kufanyia mkutano huo...
Askofu Josephat Gwajima ameielezea dhana ya Gwajimanization kama hali ya kuwa na ujasiri usiotetereka wa kusema ukweli na kutanguliza maslahi ya taifa mbele ya maslahi binafsi, hata kama ukweli...
Kila wakati huwa sielewi akili za watu wanaowalaumu CHADEMA kwa matendo maovu yanayotendwa na CCM.
Serikali kwa sasa inaongozwa na CCM (hakuna Serikali ya CCM) kwa ivo kila baya linatendwa dhidi...
Hakika kama Gwaji boy alikuwa hana mpango mkakati wa kukabiliana na dola basi ndo kaishia hapa na hatutakuja kumsikia tena.
Waumini wake mmoja mmoja watanyoosha njia za kurudi ma kwao na kufanya...
Pamoja na kwamba alikuwepo wakati wanavamia kanisa siku ya jana, bado hawajafanikiwa kumuona.
Taarifa nilizopata ni kwamba anaenda kushusha "press" na wakali wa "Mahanaim" wanatinga mahakamani...
Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha
Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda.
Na Magufuli mpaka akampa ubunge!!
Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza...
Haki na amani ni vitu ambavyo huwezi kuviachanisha.
Huwezi kuhubiri amani kama hakuna haki.
Haki ya kupiga kura ni silaha ya mwananchi kwani ndo inayompa thamani kwa viongozi anaowachagua...
Je Tanzania inaenda kwenye utawala wa kifamilia? Kama hata CCM ni ndiyo Mama ndiyo Baba tutafika sehemu familia chache tu na ndugu zao ndiyo watakuwa watawala wa nchi hii kama Uganda au Rwanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.