Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua...
10 Reactions
66 Replies
4K Views
Je alilenga nini na ili Iweje? ==== Kuhusu Mzozo: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu alikuwa anawaelezea mawakili wake kuhusu matukio za kuporwa nyaraka ambayo ni kinyume cha sheria...
30 Reactions
192 Replies
13K Views
NO REFORMS NO ELECTION ni kauli mbiu kuu ya wananchi na CHADEMA kwa ujumla, yaani ni kwamba hii statement sio ya CHAMA bali tangu 2005 watu walitaka mabadiliko ila watu wenye IQ kubwa kutoka...
0 Reactions
3 Replies
398 Views
Gambo umejionea mwenyewe . Lema yupo na Access ya Canada Familia yake inaishi na watoto wanasoma ulaya . Ulimfanyia Figisu Akakosa ubunge Ukaharibu reputation yake But now it is ur time to...
46 Reactions
147 Replies
8K Views
MAFAO YA KIINUA MGONGO; WABUNGE WANAOGELEA. Kiinua mgongo kwa mbunge mmoja wa Bunge la Tanzania ni Sh272 milioni baada ya kipindi cha miaka 5 akihudumu kama mbunge wa Bunge la Tanzania. Jumla ya...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kwa heshima na taadhima, nakuandikia kwa sauti ya wananchi si kwa ghadhabu, si kwa jazba, bali kwa uchovu wa matumaini na kilio cha mabadiliko...
7 Reactions
11 Replies
810 Views
Nimeamini siasa ni mchezo mchafu huwa hazitegemei akili ya mtu bali mapenzi ya kiongozi wa wakati huo hasa ukitegemea na sheria zetu za uchaguzi zilivyo mbovu huna cha kufanya. Tusione watu...
1 Reactions
4 Replies
724 Views
Unaweza kuwa somo kwa wengine
14 Reactions
44 Replies
2K Views
Amani iwe nanyi Wana Jukwaa , Nitaandika Kwa kifupi ili kila mmoja atoe mtazamo wake. Nchi yetu inaelekea kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais. Tumeshuhudia wafanyakazi wa...
5 Reactions
11 Replies
779 Views
Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Siasa inahitaji watu tena wale wenye kujenga hoja. YAnayoendelea ndani ya CCM kipindi hiki cha kupitisha majina ya wanaotarajia kugombe ubunge na udiwani...
0 Reactions
1 Replies
300 Views
Askofu mteule wa Dayosisi ya Mwanga amempongeza Rais Samia kwa nia yake thaniti ya kuhuisha mchakato wa Katiba mpya na amewataka Waumini wote kumuombea Rais ili NIA yake hiyo iweze kutimia na...
1 Reactions
5 Replies
388 Views
Kwa kufanya hivyo watakuwa independent kutenda haki! AS long as wanateuliwa na Rais, basi lazima wampendelee incumbent president katika kila kitu. Tunaona wa sasa wanavyofanya katika kesi za...
3 Reactions
6 Replies
555 Views
Kama ni Utapeli basi huu wa huyu jamaa umepitiliza, Au kama ndio Heshima ya kwao basi Mungu amzidishie. Toa Maoni yako
15 Reactions
76 Replies
5K Views
Nilikuwa najiuliza Pamoja na; Mabango yote nchi nzima Fedha zote za miradi zimetoka kwa mama Machawa kila kona ya nchi Maendeleo yote haya mpaka tumezishinda nchi za Ulaya Kulikuwa na haja gani...
16 Reactions
26 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassimu Majaliwa,Leo hii Tarehe 13 Amemuwailisha Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania...
0 Reactions
13 Replies
591 Views
Hakika Mungu ni mwema, baada ya miaka mingi kupita sasa walimu wameanza kuelewa na kutumia elimu yao kwa ajili ya manufaa ya Taifa zima. Hii imetokea kwa kukataa na kugoma kujishughulisha na...
9 Reactions
62 Replies
3K Views
Hakuna anayeweza kutoa ushauri huu kwa sababu ambao wangemshauri wanafaidika na mfumo, wamejizima data wala hawaoni Mambo yanaenda ndivyo siyo, hawaoni majirani zetu wanavyopata taabu kurudisha...
8 Reactions
34 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Wahenga walishasema ya kuwa Ukitaka kuruka angani agani kwanza na nyonga . Lissu Aliruka angani bila kuagana na nyonga ,bila kujua ni vipi atatua chini ,ni wapi...
-1 Reactions
93 Replies
4K Views
6 Reactions
11 Replies
813 Views
Vijana wa umri wa 30s ambao wanajipambanua kiuchumi kwa ujasiriamali then from No where wanapewa kesi za uhujumu uchumi. Hivi hili rika letu lina nini cha kuhujumu nchi? Kijana ndo kwanza...
20 Reactions
84 Replies
4K Views
Back
Top Bottom