Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waliokuwa wanaibeza CHAUMMA kuna ujumbe wenu hapa. Unaambiwa watu wamejaa uwanja wa Furahisha kama mchanga. Hakika CHAUMMA sasa ipo tayari kuikabili CCM kiulalo ulalo.
15 Reactions
62 Replies
3K Views
Wakati kina Mrema wanahama, walitangaza wao ndo walikuwa mastermind wa Chadema,na kuwa wamehama na wafuasi wengi. Chakushangaza mpaka Leo X ata wafuasi elfu Moja Hawana. Je watanzania wamewapuuza...
2 Reactions
19 Replies
885 Views
Kwa mujibu wa mahakama wenyewe watarusha matangazo ya moja Kwa moja kutoka mahakamani. Kwa mara ya Kwanza tutashudia matangazo hayo ya mahakama ikiwa kweli Wanafanya hivyo
11 Reactions
90 Replies
6K Views
Wakitoa Madukuduku yao mbele ya Viongozi wa Chadema kwenye darasa kabambe la No Reforms No Election Mjini Karagwe, Wananchi wa eneo hilo wamedai kwamba viwanja panapofanyika Mkutano huo vinaitwa...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu, Msaidizi wa Askofu wa Gwajima anayejulikana kama Sister Alinda anadaiwa kukamatwa na Polisi
19 Reactions
82 Replies
6K Views
Kuna Mgombea mmoja 'Motto' wa kampeni zake na chama chake ni 'Kazi na Utu', wakati huohuo katika nchi anayoiongoza watu wametekwa, wameteswa, wameuawa, wengine wametekwa mchana kweupe na miili...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakazi wa kijiji cha Migango hawasafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya tangu zahanati hii iliyojengwa chini ya pesa za mfuko wa jimbo kutoka ofisi ya mbunge wa biharamulo Eng Ezra Chiwelesa...
0 Reactions
1 Replies
279 Views
https://youtu.be/CJxcv40HPc8?si=incSZXUCBCtZpofw Kwa vitendo vinavofanywa na Jeshi la Polisi Tanzania kwa raia, basi tunaweza kusema kuwa hawa ni Magaidi, Majambazi, Maharamia na Wauaji. Matukio...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Katiba hii ya 1977 alituachia Baba wa taifa Mwl Nyerere. Kama ni nzuri au mbaya yafaa tujadiliane sote maana nchi ni yetu sote sio ya kikundi kidogo cha watu wanaotaka kutuwakilisha sisi sote. Mwl...
-2 Reactions
10 Replies
512 Views
Have we! Or just practicing what we missed during colonial days, are we!
2 Reactions
20 Replies
884 Views
Mapigano Goma, Congo vikao kwenye majiji mengine barani mara Harare na sasa Dar es Salaam ambako viongozi toka SADC na EAC (joint summit) watakutana physically Dar kujadili mgogoro ule ule...
1 Reactions
12 Replies
751 Views
Baadhi ya waamini na Watu ambao wanaoelekea kwenye Kanisa la Askofu Gwajima au kwenye mwelekeo wa Kanisa hilo lilipo wanazuiwa na kuamriwa na askari kuondoka eneo hilo. Mpaka majira ya saa tano...
8 Reactions
105 Replies
5K Views
Wakuu Uzinduzi wa C4C ya CHAUMMA Mwanza, Uwanja mweupe hakuna watu, yaani kuna bodaboda tu ambao ni kama wamewekewa mafuta ya bure. Maandalizi yakiendelea katika uwanja wa Furahisha kikundi...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Unaweza kukuta Tatizo kuu lipo kwenye Sheria zenyewe za usajili wa vyama vya Siasa na Huduma za Kiroho Mfano Mitume, Manabii na Maaskofu kwenye Huduma za Kiroho wanapatikanaje?! Nabii na Mtume...
3 Reactions
18 Replies
634 Views
Baada ya kuunganisha mifuko minne ya hifadhi ya jamii Serikali imetoa kanuni mpya zinazozuia fao la kukosa ajira. Kwa mwanachama atakayeachishwa kazi, kanuni zinasema atalipwa fao la kutokuwa na...
7 Reactions
64 Replies
34K Views
Jenerali ulimwengu ambaye ni mwanahabari nguri amepinga vikali hatua ya kumpa Rais Samia Suluhu siku 100 za kumjadili. Amesema kwanza hatupaswi kutumia njia hiyo sababu ni njia ambayo wamarekani...
23 Reactions
65 Replies
7K Views
Serikali (simaanishi CCM) labda walikuwa wapo sahihi kuweka hii kesi online, ili kumuhakikishia usalama Tundu Lissu, kwasababu kwa sasa ni 'red line' - kiongozi mwenye ushawishi kwa watanzania...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Moja ya mambo ambayo ntafanya ni kuactivate nyota ambazo hazipo active ambazo kitaalamu zinaitwa blackholes
9 Reactions
126 Replies
4K Views
KAMA NI KWELI: Inaweza kumaanisha hivi.. Eti Kanisa Limefungwa au kufutiwa usajili. Kisa? Kiongozi wake kakosana na waliomsajili au kadaiwa kuhubiri kinyume na alivyotegemewa. Kama ni kweli...
43 Reactions
63 Replies
6K Views
Kinachoendelea ni kwa serikali na vyombo vyake kujaribu kuwaziba midomo wale wote wanaofichua vitendo viovu vya utekaji na upotevu wa wananchi. Lakini la ajabu ni kwamba badala ya serikali kutoa...
2 Reactions
3 Replies
474 Views
Back
Top Bottom