Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kumjibu kwa maana ya Ku balance story Kujibu kwa maana ya kukanusha alichokiongea Kumjibu kwa fact Ikumbukwe hajataja mtu kwenye hoja kuu bali kaongelea taasisi kwa sehemu kubwa.. Katumia mifano...
25 Reactions
114 Replies
7K Views
Nimeona habari bado haijawa-comfirm kama ni kweli kwamba HUMPHREY POLEPOLE KAOMBA HIFADHI SWEDEN Nijambo ambalo linafikrisha sana leo hii polepole anaogopa kurudi Tanzania maisha yanaenda speed...
11 Reactions
28 Replies
1K Views
Mbunge wa Ilemela, Mwanza anayemaliza muda wake Dkt. Angelina Mabula amesema hajawahi kuingia kwenye mashindano ya fedha na mimi zaidi nafanya kazi za Jamii hakuna mahali ambapo nimeweka fedha...
1 Reactions
6 Replies
904 Views
Askofu Gwajima amesema kuhusu suala la utekaji hamuogopi mtu hata kama kanisa litafungw akwa miaka 100. Ameyasema hayo wakati kizungumza na waandishi wa habari leo Julai 16, 2025. Amemalizia kwa...
3 Reactions
8 Replies
874 Views
Sarakasi za polepole tumeziona. Hebu tujikumbushe kidogo ni nani aliyetengeneza precedent ya uchafu wote huu unaolalamikiwa na Polepole???? 1. Nani aliyeacha precedent ya kuteka, kupoteza, kutesa...
18 Reactions
108 Replies
5K Views
Bunge la ulaya kwa mara nyingine tena litaijadili Tanzania Kwa mara ya pili na kuja na resolution kali saana. Stay tuned Updates Wabunge wanakaribia kuanza
20 Reactions
65 Replies
4K Views
Kufuatia idadi kubwa ya watiania katika nafasi ya Ubunge Mkoa wa Kilimanjaro ikiwemo Wilaya ya Hai kupitia vyama mbalimbali vya siasa, Viongozi wa chama cha wazee Wilaya ya Hai wameonesha...
0 Reactions
8 Replies
450 Views
Kwakutumia akili nzuri kabisa isiyoambatana na mihemko na mahaba ya uchama. CHADEMA waliona mbali sana, ukweli ni kua CHADEMA walijua fika kua uchaguzi wa 2025 hawataweza kua na wagombea wenye...
1 Reactions
0 Replies
315 Views
Hello GT! With due respect to NRE and whatever results that can be achieved, baada ya uchaguzi mkuu 2025 kukamilika mtajwa ana uwezo mkubwa wa kuwa PM ikiwa mamlaka itamuona na kumpa nafasi hiyo...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Je, CCM inaimarisha utulivu wa nchi au inaunda kisima cha upinzani mkali kwa kizazi kijacho? Na… Je, CHADEMA ni sauti ya wananchi au ni chapa ya kisiasa inayofaidika na kukandamizwa? Siasa ya...
1 Reactions
4 Replies
381 Views
Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa...
23 Reactions
1K Replies
137K Views
TANZIA: Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Kapteni John Damian Komba amefariki dunia ktk Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam leo saa kumi jioni. CCM Wameandika kwenye...
6 Reactions
1K Replies
364K Views
Joseph Mungai enzi za uhai wake Habari za kushtusha toka chanzo cha kuaminika Hospitali ya Muhimbili kinathibitisha aliyewahi kuwa waziri wa Elimu ndugu Joseph Mungai na Mbunge wa Mufindi...
10 Reactions
317 Replies
70K Views
Wanasiasa Ambao mnavyeti vyamagumashi kiukweli Mnaonekana kuwa hampo vizuri kiutendaji . Mimi nimeona hilo.
5 Reactions
13 Replies
578 Views
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa jumla ya shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari...
10 Reactions
79 Replies
4K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza na Wasafi FM, jana Julai 15, 2025 katika Kipindi cha Jana na Leo.
0 Reactions
0 Replies
339 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi...
29 Reactions
200 Replies
14K Views
Kiukweli Lissu amebarikiwa Sana kichwani . MTU Kama Lissu hapa Tanzania wapo wachache Sana . Ukimuangalia yule hakimu na Mwanasheria wa Serikali unaona hawa walipataje hizo Kazi .
23 Reactions
80 Replies
3K Views
Back
Top Bottom