Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tupo Salama! Kwa wagonjwa na wanaopitia changamoto ngumu, Mungu awapatie ufumbuzi. Unajua maji yakishamwagika yamemwagika. Yatazoleka lakini yakiwa na mchanga. Na hayatajaa kwa ujazo uleule...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu Nchemba PhD amesema kwa sasa Tanzania ina matatizo makuu matatu ambayo ni Umaskini, Ajira na Upungufu wa Maadili Dr Mwigullu amesema wengi wanadhani Upungufu wa...
19 Reactions
210 Replies
12K Views
Rais Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali, na amemteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF). Kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Tawi la Operesheni...
47 Reactions
355 Replies
98K Views
1. Mkoa wa Tanga katika kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025 umeongeza vituo vya kutolea huduma za Afya vya serikali kutoka 325 hadi 417 ikiwa ni ongezeko la vituo 92. 2. Zahanati zimeongezeka kutoka...
0 Reactions
1 Replies
368 Views
Nakiangalia mapito wanayopitia CHADEMA na Viongozi wake kama ndiyo wangekuwa wanapitia CCM,basi chama kingekuwa kilishakufa zamani. Naamini ni mda wa kukipa madaraka chama cha Chadema kama...
4 Reactions
5 Replies
345 Views
Hamjambo Wote! Mimi Niko fresh Kabisa, nashukuru Mungu anasaidia. Kwenye Mada. Nilikuwa nafuatilia kwa ukaribu Kabisa Sababu ya upole au tuite Ulofa kama alivyosemaga Hayyati Benjamin Mkapa...
50 Reactions
146 Replies
6K Views
Rais, walimu ambao tunawategemea walinde kura Oktoba wanatuhumiwa kuiba Maharage, mahindi na Mchele vilivyoletwa na wanafunzi – jamani, kwa njaa hii kweli watalinda kura? Soma pia: Walimu...
0 Reactions
1 Replies
263 Views
Hakika bado sijaona, wengi watakuja na kuondoka ila huyu mzee yupo intact. Powerful kwa maana ya ushawishi na control kwenye siasa za nchi (shot caller)
2 Reactions
21 Replies
916 Views
Ndugu Humphrey Polepole nakusalimu. Lakini pia nataka nikueleze mambo yafuatayo. 1. Timing yako kulifanya hili jambo ni nzuri sana, umechagua muda muafaka Kipindi hiki bi kilembwe anapambania...
14 Reactions
24 Replies
1K Views
Wengi wetu, walio na wasio wanachama au mashabiki wa CCM, tumeiona barua ya kujiuzulu ya Polepole, na sababu za yeye kujiuzulu. Kuna waliompongeza na kumwona shujaa wa Tanzania, na kuna...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Kuna watu wakishapata madaraka basi wanajiona washakuwa maarufu kiasi cha kuanza dharau na majigambo, kiasi cha kuona wao ndiyo wenye sifa zaidi kuliko wengine kitu ambacho si sikweli ni...
4 Reactions
84 Replies
3K Views
Mwanasiasa Bernard Membe anasema kuna umuhimu kwa viongozi wote kufanyiwa uchunguzi wa kina ili kujua historia na taarifa zao kwa kuwa baadhi yao si Watanzania. Huu ni mfululizo wa habari...
29 Reactions
184 Replies
20K Views
Salaam! Amewakumbusha ccm kuwa Yeye Gwajima ni hazina ndani ya chama Cha mapinduzi, wamtumie vizuri. Na alivaa tai nyekundu Leo, sasa nichukue wasaa huu kumpongeza maana tai Ile ilimpendeza...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Joto limekuwa kali zaidi hasa kwa wapinzani na wakosoaji bila kujali ni wa ndani au international, Yaani hata wale wa kwenye dini hakuna mwenye nafuu wala red line. Tulidhani jua la Dar lilikuwa...
1 Reactions
3 Replies
329 Views
Bora usiwe na elimu apo nitakuelewa ila unaelimu umesoma CIVICS,G.S &D.S na bado UNATETEA uhuni wa UMINYWAJI haki uonevu kwa vyama mbadala wewe ni mjinga tu na hauna tofauti na ambae hakuenda...
12 Reactions
21 Replies
587 Views
Natoa tu angalizo kwa sababu Press za kila siku kutoka kwa Wanachama hazina afya kwa ustawi wa Chama Chama kina Msemaji mkuu ambaye ni Katibu mkuu Dr Nchimbi na Msaidizi wake katika Usemaji ni...
10 Reactions
46 Replies
2K Views
Sijui niko sawa au laah! Lakini, Watanzania wengi wanahitaji faraja ya kiongozi anayejua maumivu wanayopitia waumini wa makanisa ya ufufuo na uzima, wanahitaji faraja, na wale wenzetu wote...
0 Reactions
0 Replies
167 Views
Kuna kitu hakiko sawa, sijui kama nanyi wana JF mme note. Waziri wa siku nyingi, mzee George Huruma Mkuchika ambaye yuko Ikulu miaka mingi, kiasi cha vijana wengi mawaziri kumuamkia shikamoo...
11 Reactions
123 Replies
8K Views
Nimeona askari magereza wakinangwa pasipo sababu, kwamba wanazuia Lissu asipeane mikono wala kubadilishana nyaraka na mawakili wake. Watu wanatakiwa kuelewa kwamba Lussu is a red line; ndo...
2 Reactions
11 Replies
602 Views
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma Tanzania Bara (CHAUMMA) Bw. Benson Kigaila, amesema wako tayari kusimamisha wagombea katika majimbo 272 na wana uhakika wa kushinda viti vyote...
5 Reactions
13 Replies
629 Views
Back
Top Bottom