Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wabunge wanaomaliza muda wao. Walipambania Chama Enzi za DP World. Tuwarudishe Bungeni kuendeleza 4R OktobaTUNATIKI Mshana Jr Lucas Mwashambwa Mpwayungu Village
0 Reactions
0 Replies
247 Views
Naanza kupata hisia kwamba anaepeleka askari Kila jumapili kuwasaka waumini wa ufufuo na uzima mabarabarani na makanisani ni msando ! Waziri mkuu ,ama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Watoke hadharan wahojiwe nn kinawaficha? Kama wanahofia usalama wao mahabusu zipo salama kabisa. Wanapata hifadhi
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, yule jaji Mamluki aliyetumwa kuzuia shughuli za Chadema, amebakisha masaa machache kujiondoa mwenyewe kwa aibu baada ya Chadema kumkataa. Taarifa kamili hii hapa
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Aliyetengeneza Baiskeli hizo duni kwa ajili ya hongo ya Uchaguzi kapiga hela za Bure na kachakachua Pakubwa sana! Unaambiwa Baiskeli haiwezi hata kubeba Tikiti la elfu 1 mia 5! hamna baiskeli...
42 Reactions
116 Replies
6K Views
Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika wiki hii. 📆 Tarehe 21 - 27 Julai, 2025
1 Reactions
2 Replies
560 Views
Nakujua vizuri wewe ni msabato safi unayependa Haki pamoja na mapungufu yako kama binadamu. Sidhani kama mnajua picha mnayojenga Mhimili wa Mahakama hasa kwenye kuaminika na kutenda Haki kwa...
4 Reactions
8 Replies
956 Views
Rafiki yangu mmoja kanitafuta leo asubuhi sana na kuniambia kaka kama unaniheshimu pumzika kuandika na kupost kitu chochote Instagram mpaka uchaguzi mkuu upite, nilipomuuliza sababu akasema...
6 Reactions
102 Replies
6K Views
Sisi CCM hatuna Hofu na Vyama vinavyoshiriki Uchaguzi mkuu Hofu yetu iko kwa Chadema tu ambao hata Uchaguzi mkuu hawamo Inashangaza na kufurahisha hapo hapo 🥹😄
3 Reactions
8 Replies
511 Views
Ikiwa anaweza kuvunja utaratibu wa chama chake mchana kweupe na wanachama wake wengi wakakaa kimya, Je, ataweza kuheshimu na kufuata utaratibu wa Nchi?
5 Reactions
22 Replies
900 Views
Rais Samia na Mwenyekiti wa CCM akishiriki Mkutano Mkuu Maalum CCM kwa Njia ya Mtandao White house -Dodoma, leo tarehe 26 Julai, 2025 https://www.youtube.com/live/-Tu6zVGA9PU?si=2ByaTaVIA6m33xsQ...
13 Reactions
196 Replies
13K Views
Baada ya kupitisha mabadiliko ya katiba Rais Samia ameeleza kuwa watajitahidi kuingiza vijana wengi kwenye nafasi hizo za uwakilishi. "Na sasa mnatupa nguvu ya kuanza hii kazi ya kuchuja kesho...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Hakika wana-Kigoma tunajisikia fahari sana kupata bahati ya Kiongozi Makini na mwenye uzoefu wa kutosha katika medani za usalama na Diplomasia (Kimataifa). NB: Kigoma hatuna deni. Lucas...
1 Reactions
17 Replies
512 Views
Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimepokea wanachama wapya 250 kutoka Jimbo la Kinondoni leo Jumapili, Julai 27, 2025 wakati chama hicho kilipofanya mkutano mkuu wa jimbo hilo. Sera za...
1 Reactions
6 Replies
584 Views
Kila wakichekecha kipenzi anadondoshwa, wakimrudisha inabidi kipenzi mwingine aanguke, mchujo umekuwa umekuwa vita🤣🤣🤣 Halafu sasa kulivyokuwa hakuna siri, wanaotiwa ngumu wote wanakuwa...
2 Reactions
1 Replies
465 Views
Dowans suffers 3bn/- penalty former Richmonduli Daily News Reporter Daily News; Thursday,October 04, 2007 @00:02 TANZANIA Electric Supply Company (Tanesco) has asked 2.43 million US dollars...
0 Reactions
2K Replies
199K Views
Waziri Mkuu Mizengo Pinda leo ametamka rasmi kuwa TANESCO itaingia mkataba mpya na Dowans wa kuzalisha umeme. Amesema mitambo ya Dowans itawashwa muda wowote kuanzia sasa licha ya kesi iliyopo...
0 Reactions
122 Replies
10K Views
Wana JF, Hapa kuna kipande cha habari zingine, zimepatikana kwa mdau mmoja hapa. Sina uhakika sana na habari hizi. Naomba senior JF members and experts angalieni ukweli wake. Ndugu JK, Watu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Heshima sana wanajamvi. Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini...
9 Reactions
88 Replies
5K Views
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii inavuta mapato ya ajabu – zaidi ya USD 3.4 bilioni mwaka 2023 na karibu USD 4 bilioni mwaka 2024 – lakini ground reality ni aibu tupu. Angalia Mlima...
8 Reactions
13 Replies
703 Views
Back
Top Bottom