Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine Joseph Mushy, amefariki dunia kwa ajali ya gari eneo la Mkata, wilayani Handeni mkoani Tanga.
Ajali hiyo imetokea jana usiku wakati akiendesha gari...
Habari zenu wana JF wenzang
Baada ya tumbua tumbua iliyofanyika jana, na kupelekea vijana wawili (maadui wa taifa) kutumbuliwa na mwenye nchi yake, inasemekana na kuonekana kabisa kuwa...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Grenada, Dickon Thomas Mitchell na kumhakikishia kuwa Tanzania itaendeleza mahusiano kidiplomasia na kibiashara kwa manufaa ya...
Bila shaka wewe umepitia mafunzo ya kijeshi na umekula viapo vingi sana vya kizarendo, kulinda Taifa, kwa ajili ya masilai maana ya nchi yetu Tanzania (Tanganyika).
Toka hadharani basi...
Nakumbuka kipindi cha utawala wa JK kule wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma iligundulika hazina kubwa ya madini ya Uranium
Ila tangu wakati huo sijasikia mwendelezo wa uchimbaji wa madini hayo...
Kiukweli sisi watanzania ni hatujitambui na atuelewi tunataka nini.
Kwa mtu kama Lissu hatukutakiwa kukubali kabisa kusulubiwa na dola namna hii, tangia kupigwa risasi hadi kesi yake ya uhaini...
Yusuph Makamba ambaye aliwahi kuwa katibu mkuu wa CCM.
Hakuwa na sifa ya kuwa kiongozi wa chama ngazi ta taifa.
Alijawa na dharau majivuno na kujiamini kuliko pitiliza.
Ni tabia hii iliyo...
Wenzangu, salaam?
Nadhani sasa ni wakati muafaka wa kuweka wazi yale madili aliyofanya huyu bwana kwa jina la Ammy Mpungwe...wakati akina yona na mkapa wakiandaliwa kesi kwenda kwa vyombo vya...
Nauliza tu kwa sababu nimemsikia Ruto akimwambia Museveni kuwa Ujenzi huo utaanza mwisho wa mwaka huu
Mkataba wa makubaliano ya Biashara umesainiwa Leo
Ahsanteni sana
Kwako Kafulila 😄
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kinalaani kitendo cha utekaji, utesaji na kutelekezwa kwa raia wa Kenya, Bw. Mwabili Mwagodi.
Tukio hili linatishia misingi ya haki, amani, na utawala...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uzinduzi wa kiwanda cha majaribio cha uchenjuaji wa madini ya urani kilichopo Namtumbo mkoani Ruvuma, ni hatua muhimu na...
Kama jaji au hakimu anastaafu kumbe alikuwa anafanya huku ana kadi ya CCM unategemea nini?
Jaji au hakimu anastaafu alafu anagombea ubunge au urais.
Hakuna haki itayopatikana.
Utangulizi
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa kesi inayomkabili Mwanasheria na Mwanasiasa mashuhuri nchini, Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu. Katika ufuatiliaji huu, kwa masikitiko...
Habari ya Leo GT.
Kwa hili CHADEMA CHUKUENI HATUA;
1: Kesi hizi zilitengenezwa ili muanze kuhangaika na muhimili wa mahakama, Je nia yao ni nini?
a: Kupunguza pressure mtaani
b...
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.
Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.
Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.
So kama una Amini Kuna...
Mpina kapata adhabu ya kuwa mzalendo kwenye nchi ya kifamilia (Kikwete, Mwinyi na Samia). Kushindana na mafisadi na hizi familia. Hatakiwi CCM maana hiki si chama cha wazalendo tena
Kufuatia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutoa orodha ya watia nia waliopita kuwa nia Ubunge hatua ya awali katika Majimbo mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar, kumekuwa na sura tofauti za maoni kuhusu...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza majina ya wagombea ubunge walioteuliwa kugombea katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kufuatia vikao vya juu vya chama hicho, ikiwemo Kamati Kuu ya Halmashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.