GE2025 Kwa hili CHADEMA chukueni hatua nyingine

GE2025 Kwa hili CHADEMA chukueni hatua nyingine

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Whitesmith

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
454
Reaction score
635
Habari ya Leo GT.

Kwa hili CHADEMA CHUKUENI HATUA;
1: Kesi hizi zilitengenezwa ili muanze kuhangaika na muhimili wa mahakama, Je nia yao ni nini?
a: Kupunguza pressure mtaani
b: Kupunguza mzigo kwa CCM
c: CCM na watu wao kujificha katika muhimili mwingine, ionekane ya kwamba suala liko mahakamani na huku wao wakichezesha mhimili wa mahakama kwa mlango wa nyuma.

2: Nini kifanyike?
a: Chama kianze harakati zake kama kawaida.
b: Chama kiandae wapambanaji mbadala Kila hatua, ili wakiwakamata waliopo wengine waendelee.

c: Tuwe tayari wote kwenda gerezani, isiwe suala la Lissu peke yake kuwa gerezani, kama mikoa yote tuna Kesi mahakamani hii itasaidia siyo tu kuonesha ukatili wa CCM kupitia mahakama Bali itasaidia kuhuisha Ari na mapambano ya kweli, Africa kusini hakwenda Mandela peke yake. Mapambano lazima yaendelee NRNE.

d: Tupunguze kulia lia, ndo Maana Lissu anatuuliza Kila siku "Mimi sijachoka nyinyi mmechoka?" anaona kabisa hatuna Ari ya mapambano, nani aliwaambia vitani akifa kamanda Ari ya mapambano inakufa? Ari ndo inazidi kuongezeka! Ndg Heche toa mwongozo kwenye mabaraza yote ya Chama, VIONGOZI wa Kanda na wote katika mikoa Yao mashambulizi yaendelee, acha kulia lia na mahakama.

e: Punguza mahudhurio ya Mahakama! anza kuchora ramani ya mapambano kuna kina Heche wa Tarime, tuna wapambanaji wa songea kule, tuna wapambanaji wa Arusha, Dodoma, tuna wakiki Matata, Lema arudi field nk, haki haiombwi inapambaniwa.

f: Tusiwafundishe wanachama unyoge na kulia lia, ndo maana Lissu alitamka wazi mahakamani mjiandae nikitoka tunarudi barabarani. Mlisema mtafanya siasa ngumu, inawezekanaje kiongozi katekwa hakuna amsha amsha? mnalia Lia kama uongozi uliopita? Tunataka nchi yote iwe kama Wamasai, huwaoni wakilalamika mtandaoni ila wako organized unawakuta wamekusanyika elfu 40 wanadai haki Yao.

Sasa tunatakiwa tumdai Lissu aachiwe kwa maandamano nchi nzima na mikoa yote, tunataka reform kwa maandamano yasiyokama huku wanachama wakishikilia majani mikononi na sime kiunoni kama ishara yakuwa tayari kwa mapambano. Kama kweli viongozi wa serikali ya mitaa hawakuchaguliwa basi wananchi wawe tayari kuwaotoa madarakani wakakusanyike Dodoma huko.

g: Ni muda wakuchagua mitume nakuwaosha miguu. nimemtumia huo mfano wa alichofanya Yesu, sasa basi mpaka muda huu tunawajua wapambanaji gani wawe front line na field wawe kina nani. Waite mikoa yote au pita Kanda zote waoshe miguu yaani wape mamlaka na wawe tayari kwa utii na wawe tayari kwa kiapo kuwa kwa damu ya wapambanaji wenzao walioanguka udongoni ( Ali Kibao, na wenzake, ) hawatasaliti mapambano iwe ni kiapo.

h: Viongozi wa matawi na shina hadi ngazi watengeneze mtandao wa mawasiliano wawe wanaweza kuwasiliana nakukusanyika kwa ghafla na very surprised, ili watesi wakute nchi nzima tumekutana na tunadai kitu kimoja, fikiria kina Bibi Titi waliwezaje kuwa organize watu na mikutano ikafanyika kipindi ambacho barabara ni mbovu mitaa iko mbali mbali, hakuna simu.

Je, nyinyi mnashindwa nini kuorganize wafuasi? Acheni kulia lia na mahakama ni upbavu kwenda kulia lia kwa CCM. wewe unajua kabisa huyu jaji ni WA Mchongo, wachieni nawakili waendelee naye sisi huku field kiwake yaani hamasa iwe kubwa. Yaani sasa hivi ni kama tunamsuburi Lissu atoke ndo vibration ianze!

Na shuka Jukwaani, nimekosa usingizi harakati zinachemka kifuani....
 
Tungepata vijana wazalendo aina ya Captain Ibrahim Traore ndani ya JWTZ na TISS nchi ingepona vinginevyo kwa njia za kistaarabu tutasubiri sana wakoloni weusi CCM hawataki siasa za kistaarabu wamegeuka genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
 
Habari ya Leo GT.
Kwa hili CHADEMA CHUKUENI HATUA;
1: Kesi hizi zilitengenezwa ili muanze kuhangaika na muhimili wa mahakama, Je nia yao ni nini?
a: Kupunguza pressure mtaani
b: Kupunguza mzigo kwa CCM
c: CCM na watu wao kujificha katika muhimili mwingine, ionekane ya kwamba suala liko mahakamani na huku wao wakichezesha mhimili wa mahakama kwa mlango wa nyuma.

2: Nini kifanyike?
a: Chama kianze harakati zake kama kawaida.
b: Chama kiandae wapambanaji mbadala Kila hatua, ili wakiwakamata waliopo wengine waendelee.
c: Tuwe tayari wote kwenda gerezani, isiwe suala la Lissu peke yake kuwa gerezani, kama mikoa yote tuna Kesi mahakamani hii itasaidia siyo tu kuonesha ukatili wa CCM kupitia mahakama Bali itasaidia kuhuisha Ari na mapambano ya kweli, Africa kusini hakwenda Mandela peke yake. Mapambano lazima yaendelee NRNE.
d: Tupunguze kulia lia, ndo Maana Lissu anatuuliza Kila siku "Mimi sijachoka nyinyi mmechoka?" anaona kabisa hatuna Ari ya mapambano, nani aliwaambia vitani akifa kamanda Ari ya mapambano inakufa? Ari ndo inazidi kuongezeka! Ndg Heche toa mwongozo kwenye mabaraza yote ya Chama, VIONGOZI wa Kanda na wote katika mikoa Yao mashambulizi yaendelee, acha kulia lia na mahakama.

e: Punguza mahudhurio ya Mahakama! anza kuchora ramani ya mapambano kuna kina Heche wa Tarime, tuna wapambanaji wa songea kule, tuna wapambanaji wa Arusha, Dodoma, tuna wakiki Matata, Lema arudi field nk, haki haiombwi inapambaniwa.

f: Tusiwafundishe wanachama unyoge na kulia lia, ndo maana Lissu alitamka wazi mahakamani mjiandae nikitoka tunarudi barabarani. Mlisema mtafanya siasa ngumu, inawezekanaje kiongozi katekwa hakuna amsha amsha? mnalia Lia kama uongozi uliopita? Tunataka nchi yote iwe kama Wamasai, huwaoni wakilalamika mtandaoni ila wako organized unawakuta wamekusanyika elfu 40 wanadai haki Yao. Sasa tunatakiwa tumdai Lissu aachiwe kwa maandamano nchi nzima na mikoa yote, tunataka reform kwa maandamano yasiyokama huku wanachama wakishikilia majani mikononi na sime kiunoni kama ishara yakuwa tayari kwa mapambano. Kama kweli viongozi wa serikali ya mitaa hawakuchaguliwa basi wananchi wawe tayari kuwaotoa madarakani wakakusanyike Dodoma huko.

g: Ni muda wakuchagua mitume nakuwaosha miguu. nimemtumia huo mfano wa alichofanya Yesu, sasa basi mpaka muda huu tunawajua wapambanaji gani wawe front line na field wawe kina nani. Waite mikoa yote au pita Kanda zote waoshe miguu yaani wape mamlaka na wawe tayari kwa utii na wawe tayari kwa kiapo kuwa kwa damu ya wapambanaji wenzao walioanguka udongoni ( Ali Kibao, Soka na wenzake, mdude nk) hawatasaliti mapambano iwe ni kiapo.

h: Viongozi wa matawi na shina hadi ngazi watengeneze mtandao wa mawasiliano wawe wanaweza kuwasiliana nakukusanyika kwa ghafla na very surprised, ili watesi wakute nchi nzima tumekutana na tunadai kitu kimoja, fikiria kina Bibi Titi waliwezaje kuwa organize watu na mikutano ikafanyika kipindi ambacho barabara ni mbovu mitaa iko mbali mbali, hakuna simu. Je, nyinyi mnashindwa nini kuorganize wafuasi? Acheni kulia lia na mahakama ni upbavu kwenda kulia lia kwa CCM. wewe unajua kabisa huyu jaji ni WA Mchongo, wachieni nawakili waendelee naye sisi huku field kiwake yaani hamasa iwe kubwa. Yaani sasa hivi ni kama tunamsuburi Lissu atoke ndo vibration ianze!

Na shuka Jukwaani, nimekosa usingizi harakati zinachemka kifuani....
actions, actions .................
 
Habari ya Leo GT.

Kwa hili CHADEMA CHUKUENI HATUA;
1: Kesi hizi zilitengenezwa ili muanze kuhangaika na muhimili wa mahakama, Je nia yao ni nini?
a: Kupunguza pressure mtaani
b: Kupunguza mzigo kwa CCM
c: CCM na watu wao kujificha katika muhimili mwingine, ionekane ya kwamba suala liko mahakamani na huku wao wakichezesha mhimili wa mahakama kwa mlango wa nyuma.

2: Nini kifanyike?
a: Chama kianze harakati zake kama kawaida.
b: Chama kiandae wapambanaji mbadala Kila hatua, ili wakiwakamata waliopo wengine waendelee.

c: Tuwe tayari wote kwenda gerezani, isiwe suala la Lissu peke yake kuwa gerezani, kama mikoa yote tuna Kesi mahakamani hii itasaidia siyo tu kuonesha ukatili wa CCM kupitia mahakama Bali itasaidia kuhuisha Ari na mapambano ya kweli, Africa kusini hakwenda Mandela peke yake. Mapambano lazima yaendelee NRNE.

d: Tupunguze kulia lia, ndo Maana Lissu anatuuliza Kila siku "Mimi sijachoka nyinyi mmechoka?" anaona kabisa hatuna Ari ya mapambano, nani aliwaambia vitani akifa kamanda Ari ya mapambano inakufa? Ari ndo inazidi kuongezeka! Ndg Heche toa mwongozo kwenye mabaraza yote ya Chama, VIONGOZI wa Kanda na wote katika mikoa Yao mashambulizi yaendelee, acha kulia lia na mahakama.

e: Punguza mahudhurio ya Mahakama! anza kuchora ramani ya mapambano kuna kina Heche wa Tarime, tuna wapambanaji wa songea kule, tuna wapambanaji wa Arusha, Dodoma, tuna wakiki Matata, Lema arudi field nk, haki haiombwi inapambaniwa.

f: Tusiwafundishe wanachama unyoge na kulia lia, ndo maana Lissu alitamka wazi mahakamani mjiandae nikitoka tunarudi barabarani. Mlisema mtafanya siasa ngumu, inawezekanaje kiongozi katekwa hakuna amsha amsha? mnalia Lia kama uongozi uliopita? Tunataka nchi yote iwe kama Wamasai, huwaoni wakilalamika mtandaoni ila wako organized unawakuta wamekusanyika elfu 40 wanadai haki Yao.

Sasa tunatakiwa tumdai Lissu aachiwe kwa maandamano nchi nzima na mikoa yote, tunataka reform kwa maandamano yasiyokama huku wanachama wakishikilia majani mikononi na sime kiunoni kama ishara yakuwa tayari kwa mapambano. Kama kweli viongozi wa serikali ya mitaa hawakuchaguliwa basi wananchi wawe tayari kuwaotoa madarakani wakakusanyike Dodoma huko.

g: Ni muda wakuchagua mitume nakuwaosha miguu. nimemtumia huo mfano wa alichofanya Yesu, sasa basi mpaka muda huu tunawajua wapambanaji gani wawe front line na field wawe kina nani. Waite mikoa yote au pita Kanda zote waoshe miguu yaani wape mamlaka na wawe tayari kwa utii na wawe tayari kwa kiapo kuwa kwa damu ya wapambanaji wenzao walioanguka udongoni ( Ali Kibao, na wenzake, ) hawatasaliti mapambano iwe ni kiapo.

h: Viongozi wa matawi na shina hadi ngazi watengeneze mtandao wa mawasiliano wawe wanaweza kuwasiliana nakukusanyika kwa ghafla na very surprised, ili watesi wakute nchi nzima tumekutana na tunadai kitu kimoja, fikiria kina Bibi Titi waliwezaje kuwa organize watu na mikutano ikafanyika kipindi ambacho barabara ni mbovu mitaa iko mbali mbali, hakuna simu.

Je, nyinyi mnashindwa nini kuorganize wafuasi? Acheni kulia lia na mahakama ni upbavu kwenda kulia lia kwa CCM. wewe unajua kabisa huyu jaji ni WA Mchongo, wachieni nawakili waendelee naye sisi huku field kiwake yaani hamasa iwe kubwa. Yaani sasa hivi ni kama tunamsuburi Lissu atoke ndo vibration ianze!

Na shuka Jukwaani, nimekosa usingizi harakati zinachemka kifuani....
Utakuwa Kiongozi katika hizo harakati, tukutane barabarani.
 
Tungepata vijana wazalendo aina ya Captain Ibrahim Traore ndani ya JWTZ na TISS nchi ingepona vinginevyo kwa njia za kistaarabu tutasubiri sana wakoloni weusi CCM hawataki siasa za kistaarabu wamegeuka genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
Je, tusubiri huruma ya JWTZ na TISS? kama wao washakuwa sehemu ya uzalimu itakuwaje?
 
Habari ya Leo GT.

Kwa hili CHADEMA CHUKUENI HATUA;
1: Kesi hizi zilitengenezwa ili muanze kuhangaika na muhimili wa mahakama, Je nia yao ni nini?
a: Kupunguza pressure mtaani
b: Kupunguza mzigo kwa CCM
c: CCM na watu wao kujificha katika muhimili mwingine, ionekane ya kwamba suala liko mahakamani na huku wao wakichezesha mhimili wa mahakama kwa mlango wa nyuma.

2: Nini kifanyike?
a: Chama kianze harakati zake kama kawaida.
b: Chama kiandae wapambanaji mbadala Kila hatua, ili wakiwakamata waliopo wengine waendelee.

c: Tuwe tayari wote kwenda gerezani, isiwe suala la Lissu peke yake kuwa gerezani, kama mikoa yote tuna Kesi mahakamani hii itasaidia siyo tu kuonesha ukatili wa CCM kupitia mahakama Bali itasaidia kuhuisha Ari na mapambano ya kweli, Africa kusini hakwenda Mandela peke yake. Mapambano lazima yaendelee NRNE.

d: Tupunguze kulia lia, ndo Maana Lissu anatuuliza Kila siku "Mimi sijachoka nyinyi mmechoka?" anaona kabisa hatuna Ari ya mapambano, nani aliwaambia vitani akifa kamanda Ari ya mapambano inakufa? Ari ndo inazidi kuongezeka! Ndg Heche toa mwongozo kwenye mabaraza yote ya Chama, VIONGOZI wa Kanda na wote katika mikoa Yao mashambulizi yaendelee, acha kulia lia na mahakama.

e: Punguza mahudhurio ya Mahakama! anza kuchora ramani ya mapambano kuna kina Heche wa Tarime, tuna wapambanaji wa songea kule, tuna wapambanaji wa Arusha, Dodoma, tuna wakiki Matata, Lema arudi field nk, haki haiombwi inapambaniwa.

f: Tusiwafundishe wanachama unyoge na kulia lia, ndo maana Lissu alitamka wazi mahakamani mjiandae nikitoka tunarudi barabarani. Mlisema mtafanya siasa ngumu, inawezekanaje kiongozi katekwa hakuna amsha amsha? mnalia Lia kama uongozi uliopita? Tunataka nchi yote iwe kama Wamasai, huwaoni wakilalamika mtandaoni ila wako organized unawakuta wamekusanyika elfu 40 wanadai haki Yao.

Sasa tunatakiwa tumdai Lissu aachiwe kwa maandamano nchi nzima na mikoa yote, tunataka reform kwa maandamano yasiyokama huku wanachama wakishikilia majani mikononi na sime kiunoni kama ishara yakuwa tayari kwa mapambano. Kama kweli viongozi wa serikali ya mitaa hawakuchaguliwa basi wananchi wawe tayari kuwaotoa madarakani wakakusanyike Dodoma huko.

g: Ni muda wakuchagua mitume nakuwaosha miguu. nimemtumia huo mfano wa alichofanya Yesu, sasa basi mpaka muda huu tunawajua wapambanaji gani wawe front line na field wawe kina nani. Waite mikoa yote au pita Kanda zote waoshe miguu yaani wape mamlaka na wawe tayari kwa utii na wawe tayari kwa kiapo kuwa kwa damu ya wapambanaji wenzao walioanguka udongoni ( Ali Kibao, na wenzake, ) hawatasaliti mapambano iwe ni kiapo.

h: Viongozi wa matawi na shina hadi ngazi watengeneze mtandao wa mawasiliano wawe wanaweza kuwasiliana nakukusanyika kwa ghafla na very surprised, ili watesi wakute nchi nzima tumekutana na tunadai kitu kimoja, fikiria kina Bibi Titi waliwezaje kuwa organize watu na mikutano ikafanyika kipindi ambacho barabara ni mbovu mitaa iko mbali mbali, hakuna simu.

Je, nyinyi mnashindwa nini kuorganize wafuasi? Acheni kulia lia na mahakama ni upbavu kwenda kulia lia kwa CCM. wewe unajua kabisa huyu jaji ni WA Mchongo, wachieni nawakili waendelee naye sisi huku field kiwake yaani hamasa iwe kubwa. Yaani sasa hivi ni kama tunamsuburi Lissu atoke ndo vibration ianze!

Na shuka Jukwaani, nimekosa usingizi harakati zinachemka kifuani....

Haki haiombwi karata ya ushindi iko hapa:

"c: Tuwe tayari wote kwenda gerezani, isiwe suala la Lissu peke yake kuwa gerezani, kama mikoa yote tuna Kesi mahakamani hii itasaidia siyo tu kuonesha ukatili wa CCM kupitia mahakama Bali itasaidia kuhuisha Ari na mapambano ya kweli, Africa kusini hakwenda Mandela peke yake. Mapambano lazima yaendelee NRNE."
 
Naamini hata wewe haupo tayari kujitoa kupambania wengine.
Haunijui vizuri mkuu ngoja niishie hapo mimi nilikuwa muoga kama wewe nilibadili mtazamo wangu baada ya kusoma vitabu viwili tu kwenye hvyo vitabu wanasema maendeleo hayaletwi na watu wengi yaani mtu mmoja anaweza akabadilisha mtazamo au mustakabali wa nchi na kuikomboa nchi kama Martin Luther king jr na malcom x vitabu hvyo ni "LONG WALK TO FREEDOM BY NELSON MANDELA "
Na "I'M MALALA ".

Kwa mfano kama Malala historia yake ni ya kusikitisha sana Taliban walimpiga risasi nusu ya kutoa uhai wake lakini ndio alibadilisha mtazamo wa elimu kwa wanawake huko Taliban maana ilikuwa hawaruhusisiwi kwenda shule yaani mimi kwenye haki yangu sizulumiwi mkuu mpaka naamuliwa na watu hapa ofisini ninapofanya kazi wananijua vizuri.
 
Habari ya Leo GT.

Kwa hili CHADEMA CHUKUENI HATUA;
1: Kesi hizi zilitengenezwa ili muanze kuhangaika na muhimili wa mahakama, Je nia yao ni nini?
a: Kupunguza pressure mtaani
b: Kupunguza mzigo kwa CCM
c: CCM na watu wao kujificha katika muhimili mwingine, ionekane ya kwamba suala liko mahakamani na huku wao wakichezesha mhimili wa mahakama kwa mlango wa nyuma.

2: Nini kifanyike?
a: Chama kianze harakati zake kama kawaida.
b: Chama kiandae wapambanaji mbadala Kila hatua, ili wakiwakamata waliopo wengine waendelee.

c: Tuwe tayari wote kwenda gerezani, isiwe suala la Lissu peke yake kuwa gerezani, kama mikoa yote tuna Kesi mahakamani hii itasaidia siyo tu kuonesha ukatili wa CCM kupitia mahakama Bali itasaidia kuhuisha Ari na mapambano ya kweli, Africa kusini hakwenda Mandela peke yake. Mapambano lazima yaendelee NRNE.

d: Tupunguze kulia lia, ndo Maana Lissu anatuuliza Kila siku "Mimi sijachoka nyinyi mmechoka?" anaona kabisa hatuna Ari ya mapambano, nani aliwaambia vitani akifa kamanda Ari ya mapambano inakufa? Ari ndo inazidi kuongezeka! Ndg Heche toa mwongozo kwenye mabaraza yote ya Chama, VIONGOZI wa Kanda na wote katika mikoa Yao mashambulizi yaendelee, acha kulia lia na mahakama.

e: Punguza mahudhurio ya Mahakama! anza kuchora ramani ya mapambano kuna kina Heche wa Tarime, tuna wapambanaji wa songea kule, tuna wapambanaji wa Arusha, Dodoma, tuna wakiki Matata, Lema arudi field nk, haki haiombwi inapambaniwa.

f: Tusiwafundishe wanachama unyoge na kulia lia, ndo maana Lissu alitamka wazi mahakamani mjiandae nikitoka tunarudi barabarani. Mlisema mtafanya siasa ngumu, inawezekanaje kiongozi katekwa hakuna amsha amsha? mnalia Lia kama uongozi uliopita? Tunataka nchi yote iwe kama Wamasai, huwaoni wakilalamika mtandaoni ila wako organized unawakuta wamekusanyika elfu 40 wanadai haki Yao.

Sasa tunatakiwa tumdai Lissu aachiwe kwa maandamano nchi nzima na mikoa yote, tunataka reform kwa maandamano yasiyokama huku wanachama wakishikilia majani mikononi na sime kiunoni kama ishara yakuwa tayari kwa mapambano. Kama kweli viongozi wa serikali ya mitaa hawakuchaguliwa basi wananchi wawe tayari kuwaotoa madarakani wakakusanyike Dodoma huko.

g: Ni muda wakuchagua mitume nakuwaosha miguu. nimemtumia huo mfano wa alichofanya Yesu, sasa basi mpaka muda huu tunawajua wapambanaji gani wawe front line na field wawe kina nani. Waite mikoa yote au pita Kanda zote waoshe miguu yaani wape mamlaka na wawe tayari kwa utii na wawe tayari kwa kiapo kuwa kwa damu ya wapambanaji wenzao walioanguka udongoni ( Ali Kibao, na wenzake, ) hawatasaliti mapambano iwe ni kiapo.

h: Viongozi wa matawi na shina hadi ngazi watengeneze mtandao wa mawasiliano wawe wanaweza kuwasiliana nakukusanyika kwa ghafla na very surprised, ili watesi wakute nchi nzima tumekutana na tunadai kitu kimoja, fikiria kina Bibi Titi waliwezaje kuwa organize watu na mikutano ikafanyika kipindi ambacho barabara ni mbovu mitaa iko mbali mbali, hakuna simu.

Je, nyinyi mnashindwa nini kuorganize wafuasi? Acheni kulia lia na mahakama ni upbavu kwenda kulia lia kwa CCM. wewe unajua kabisa huyu jaji ni WA Mchongo, wachieni nawakili waendelee naye sisi huku field kiwake yaani hamasa iwe kubwa. Yaani sasa hivi ni kama tunamsuburi Lissu atoke ndo vibration ianze!

Na shuka Jukwaani, nimekosa usingizi harakati zinachemka kifuani....
Yaani umeandika nacholalamika daily... chadema tumezidi kulia lia mtandaoni..
Hivi kina Lema wanshindwa kuorganize maandamno? Aise nafsi inanichemka mimi balaa..shenzi ..hebu tujioganize...KUFA NI MARA MOJA TU JAMANI!HII ishu ya Lissu ilikua ndo keypoint no 1 kuanzwvuguvugu la maandamano...no2ishu ya Gwajima tungeidandia .aise nachemka nafsi balaa...argh
 
Back
Top Bottom